Amalek anatikitwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!. Ikiwa Mungu amekusudia Watu wawe na maisha muruwa, halafu lipo liabudu shetani limoja linasimama na Amalek anayezuia watu wasiwe na maisha Murua, haijalishi limeasisiwa mapangoni ama makaburini ama majini, Leo ni kipigo!. Amaleki safari hii anashika adabu! Muda wake umekwisha!.Askofu angeanza kwa kufunga,kuvunja Yale maagano ya mapangoni bagamoyo.Moja ya masharti waliyopewa "UHURU mtapata lakini lazima nchi iwe masikini" hawa wazee wapumbavu Sana kukubali masharti ya kijinga toka kwa shetani.
Kuwa huru lakini haupo huru dhidi ya umasikini ni kuruka mkojo.
Ni bora tusingekuwa huru lakini tupo huru dhidi ya umasikini,maradhi na ujinga.