Askofu Gwajima atangaza mfungo wa kumng'oa AMALEKI katika nchi

Askofu Gwajima atangaza mfungo wa kumng'oa AMALEKI katika nchi

Askofu angeanza kwa kufunga,kuvunja Yale maagano ya mapangoni bagamoyo.Moja ya masharti waliyopewa "UHURU mtapata lakini lazima nchi iwe masikini" hawa wazee wapumbavu Sana kukubali masharti ya kijinga toka kwa shetani.
Kuwa huru lakini haupo huru dhidi ya umasikini ni kuruka mkojo.
Ni bora tusingekuwa huru lakini tupo huru dhidi ya umasikini,maradhi na ujinga.
Amalek anatikitwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!. Ikiwa Mungu amekusudia Watu wawe na maisha muruwa, halafu lipo liabudu shetani limoja linasimama na Amalek anayezuia watu wasiwe na maisha Murua, haijalishi limeasisiwa mapangoni ama makaburini ama majini, Leo ni kipigo!. Amaleki safari hii anashika adabu! Muda wake umekwisha!.
 
Kumekucha
Askofu wa maneno meeeeengi alikuwa kimyaaaaa ndio karudi na uchonganishi mwingine
Yetu macho na masikio
Tupo sebuleni tunawasubiri mkuye
 
Amaleki ni nani??
Amaleki ni mtawala, mjukuu wa Essau, aliyewashambulia wana wa Israel. Kisha Mungu akawaagiza wana wa Israel kuangamiza utawala wa Amaleki.

Amaleki ni mtawala
Amaleki ni ufalme ulioasisiwa na Amaleki
Waamaleki ni wale waliokuwa chini ya utawala wa Amaleki.
 
Mgambo wanaruka na kukanyagana.

Tulisha sema sana juu ya nia ya hawa watu mara tu walipo anzisha vuguvugu la kuanzisha kundi lao la sukuma gang.
Ilikuwa kama ni utani kumbe ni kweli bhana.
 
Wewe ndiye unaonaka hujui kiroho wala siasa. Amalek ni nani? Siasa ni nini na kiroho ni kitu gani? If you don't kow, ask or else keep kimya. Hapa anapigwa Amalek!.
Hapo ndio tatizo linapoanzia kuchanganya siasa na dini. Mimi sijui ndio. Lakini wengi hawatawaelewa kwa hii tred.
 
Wapi ameyatAmka hayo???
Uwongo umeanzia hapa.
Huyu ni wale wale wa maigizo. Sasa utatangazaje kumng'oa mtawala?. Lini maombi yake yakaenda sawa?. Ccm wamejaa maigizo hakuna mwenye afadhali
Halafu watu wasiokuwa na muda wa kusoma kwa undani ,wakadakia na kubeba udanganyifu wa Amalek.

Lakini ukweli wa Amalek katika mfungo huu ni huu hapa:-

 
Amaleki ni mtawala, mjukuu wa Essau, aliyewashambulia wana wa Israel. Kisha Mungu akawaagiza wana wa Israel kuangamiza utawala wa Amaleki.

Amaleki ni mtawala
Amaleki ni ufalme ulioasisiwa na Amaleki
Waamaleki ni wale waliokuwa chini ya utawala wa Amaleki.
Amalek, alikuwa matawala wa Israel? Weka huo mstari wa Biblia hapa, uache kupotosha watu. Kwa hiyo Sauli alipokwenda kupigana na Amalek, alifanya mapinduzi kwa kumpiga kiongozi wa taifa lake?

WAkati Isarel wanatoka Goshen, kwenda Kanani, walipopigana na Amalek aliyezuia wasipite katika ardhi yake, walikuwa viongozi wa Israel?

Amalek wakati wanawaua Israel wakiwa dhaifu wanawake, aliua raia wake?

Please Please Please kabla hujaelewa maandiko, usiropoke hadharani. Acha kupotosha watu.

 
SHERIA IANGALIE UPYA BAADHI YA HAYA MAKANISA AMBAYO HUWA YANACHUKUA MUDA MWINGI ZAIDI KUHUBIRI HABARI ZA CHUKI NA SIASA BADALA YA KULISHA WAUMINI CHAKULA CHA KIROHO UPENDO UMOJA MSHIKAMANO NA KUMLILIA NA KUMSUJUDIA MOLA WETU JUU YA USTAWI MWEMA WA TAIFA LETU NADHANI WIZARA YA MAMBO YA NDANI IPITIE SAJILI ZAO UPYA WAKUMBUSHWE MAJUKUMU YA LESENI ZAO [mpwa wangu simbachawene wakumbushe wana]
Kufunga makanisa hakusaidii lolote.
Huko ni kupambana na matokeo badala ya kupambana na chanzo cha tatizo.
Ccm bila nguvu za polisi, sheria bandia na udhalimu hamtaweza kubaki madarakani.
 
SHERIA IANGALIE UPYA BAADHI YA HAYA MAKANISA AMBAYO HUWA YANACHUKUA MUDA MWINGI ZAIDI KUHUBIRI HABARI ZA CHUKI NA SIASA BADALA YA KULISHA WAUMINI CHAKULA CHA KIROHO UPENDO UMOJA MSHIKAMANO NA KUMLILIA NA KUMSUJUDIA MOLA WETU JUU YA USTAWI MWEMA WA TAIFA LETU NADHANI WIZARA YA MAMBO YA NDANI IPITIE SAJILI ZAO UPYA WAKUMBUSHWE MAJUKUMU YA LESENI ZAO [mpwa wangu simbachawene wakumbushe wana]
Wewe ni njinga na mpumbavu usiyejitambua! Kwa hiyo kwako wewe kisa Gwajima anakosoa serkali ndo uzungumzie kanisa lake? Pambaneni na Gwajima sio kanisa lake kwa sisi wakristo tunaamini kanisa ni mwili Kristo mwenyewe!
 
Hapa Chini ni official Instagram account ya Gwajima, na mambo yanayohusu activities za kanisani kwake yote huyaposti hapo, hakuna hicho ulichoweka mleta mada katika account yake!! Wewe umetoa wapi hicho ulichoweka? Kuna harufu ya UCHONGANISHI, Mods fanyeni kazi yenu...

View attachment 2048220
Ipo kwa facebook na youtube account zake. Link hii hapa Fb

sketch-1639811058738.png
 
Kweli kabisa. Tena wapitie kabisa mengine eti unaambiwa umuombe marehemu bikira Maria ! Hayo ndio ya kufutiwa kabisa usajili. Ala.
Yaani kazi ya makanisa kama hayo ni kuabudu wafu sasa Gwajima anahuburi neno la Mungu halisi!
 
Hebu wenye ujuvi tufafanulieni yule Amaleki orijino aliyeongelewa kwenye biblia, tumlinganishe na huyu Amaleki wa hapa bongolala......
 
Back
Top Bottom