Askofu Gwajima: Mama Samia ni mtu mzuri sana, alinifungulia ofisi ya CCM niliyojenga Mbweni. Nitawashughulikia mbweha wanaomuhujumu!

Hahaha! CCM chama kubwa, ni kama Communists Party of China, Untouchables in this world
 
Kwani amebadili msimamo wake?
 
Acha ujinga wewe!!! Chama kikubwa hakiogopi Katiba mpya ná Tume huru ya uchaguzi. Hakiogopi uchaguzi HURU na wa HAKI.
Hahaha! CCM chama kubwa, ni kama Communists Party of China, Untouchables in this world
 
Acha ujinga wewe!!! Chama kikubwa hakiogopi Katiba mpya ná Tume huru ya uchaguzi. Hakiogopi uchaguzi HURU na wa HAKI.
CCM hawaogopi hivyo vitu, wapo tayari kuvipokea, tatizo wanaoongoza harakati ya hivyo vitu ni njaa tupu. Mifano Mdee, Slaa, Waitara, Mashinji, Gekul, Katambi, Silinde na wengineo wengi, Mliwaita makamanda na kuwasifia kwa kila majina mitandaoni but now wako wapi?? Upinzani mmejaa watu wa njaa tu huko, hamna kitu....Nobody mwenye akili can take you serious guys
 
Zile mbwembwe zote za jumapili anarudi tena ndio zimeishia hapo? kweli hakuna mkate mgumu mbele ya chai, japo ameshakula sadaka za wajinga.
 
Hata yule ampingae Jonson!!? Anyway natazama jinsi anavyo yumba kwani Kutumikia mabwana 2 ni kazi kweli kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…