Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Hakuna watu masikini kama wafuasi wa Gwajima; na bado li ligwajima linawakamua sadaka kila Jumapili.Hilo swali umewahi kumuuliza Mbowe lini atajenga ofisi ili muhame kwenye ile servant quarter?
Una maoni gani kwa CHADEMA ambao na wao licha ya kupokea ruzuku nono toka serikalini, kupokea michango ya lazima kwa wabunge wake na kutembeza bakuli kwa wanachama wake ila bado wameshindwa kujenga jengo la ofisi? Miaka kibao wapo kwenye servant quarterHakuna watu masikini kama wafuasi wa Gwajima; na bado li ligwajima linawakamua sadaka kila Jumapili.
Huko Birmingham Marekani sijui Japan sijui utopolo wa Boat za uvuvi , sijui treni na chuo cha uvuvi angeanza na waumini wake.
Gwajima Tapeli huyo hata kanisa ameshindwa kujenga huku anatembelea Hammer kwa sadaka za mazuzu wake.
Alishindwa kuamuru wajumbe wampe kura zote, wanachi ataweza? Labda aamuru kura za misukuleHuyu si anaweza kuamuru kura zote ziwe zake? Alifufuaga mfu mjue!
Bwashee Gwajiboy anataka kutupeleka kwa mabeberu inakuwaje tunamkubalia tena? Yani atupeleke kwa mabeberu na mababeru yaje kwetu? Si yatamuhujumu Magufuli mzalendo wa kweli anayepingana na wanyonyaji mabeberu?Atawaboreshe hizo madrasa!
Juzi akasema kuwa Gwajima anaenda kupanua hudumaHivi ni huyu huyu aliyesema hawezi kugombea Urais wala kuwa Waziri au Ubunge kwa kuwa akifanya hivyo atakuwa kajishusha, au mimi nimechanganya mkuu?
Nadhani umemchanganya na askofu Gamanywa!Hivi ni huyu huyu aliyesema hawezi kugombea Urais wala kuwa Waziri au Ubunge kwa kuwa akifanya hivyo atakuwa kajishusha, au mimi nimechanganya mkuu?
Gwajiboy alisema kuutaka ubunge ni kujishusha cheo, vp hapo una neno lolote kwake? Huyo ni tapel tuBora mchezaji porn kuliko Mdee anayeshinda Twitter akitukanana na watu.
So wamchague yule aliyesema kugombea ubunge ni kujishusha cheo?Unajua vitu vingine hata havitaji kutumia akili ivi kweli mtu na akili zake timamu aache kumchagua Gwajima aende akamchague mwanaharakati Mdee ambae maisha yake yote ni harakati tu na yupo attached na genge la kaskazini all the time yani Kawe kama mtafanya Ujinga itakuwa mnajichelewesha tu na project mbali mbali ndani ya jimbo lenu
Ni huyo Bwashee alisema uaskofu ni zaidi ya Rais na Mbunge, "Gwajima hawezi kugombea urais, kufanya hivyo anajishusha"Nadhani umemchanganya na askofu Gamanywa!
Njia ya mwongo ni fupi sana.
Kama anatangazia watu kuwaanauwezo wa kuwaponya na anafufua misukule, Ambulance za nini tena? Si awaombee ili wagonjwa wapone?
Waweza toa mfano mkuu?Hiyo ni Mihemko ya watoa mawaidha wala siyo mambo ya kuchukulia siliasi!
Kuna maustadhi wengi wanaongeaga maneno zaidi ya hayo lakini watu wa dini nyingine wala hawachukulii maananani wanaendelea na shughuli zao !