Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima: Nina Jina la Kiislamu, ninaitwa Rashidi

Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima: Nina Jina la Kiislamu, ninaitwa Rashidi

Ndio maana sisi wengine tunawadharau sana wanaoenda kusali kwenye vijiwe vinavyoitwa makanisa ya watu binafsi mjinga kama huyo angekuwa mtumishi wa RC or Kkkt angeondelewa mapema sana...Unafikia
kukana Imani ili uchaguliwe kuwa mBunge SHAME
hajakana mzee!! issue ya kukaa msikitini na kuwajengea waislamu visima alishawahi kuiongelea muda mrefu tu kabla ya kugombea ubunge
 
Ataropoka yote mwaka huu, walimsomesha akiwa mdogo halafu alivyokuwa mkubwa akawageuka kwa kusema angekuwa na uwezo angebadilisha misikiti yote iwe Sunday School.
sio shida ilimradi hatumii nguvu kuwalazimisha yeye anapiga maombi tu
 
Mimi ni mwana CCM damu, hapa nasema tena nasisitiza, Halima Mdee akimshinda Gwajima, nitafanya karamu Kawe, nitatoa ng'ombe wawili junia na mchele tena wa basmati, gharama ya mapishi. Yote hayo kwa furaha ya huyu mchawi na mshirikina akipigwa chini. Nina washawishi watanzania wote wa Kawe wampigie kura Halima au mbunge yoyote mwengine isipokuwa Gwajima, nazidi kushauri apigiwe Halima kwa sababu kura zikitawanyika Gwajima anaweza shinda.
Gwajima ana Mungu lazima ashinde hilo halina mjadala
 
We ni muongo sana ndio maana unadaiwa ada!


Ni wazi kuwa upeo na uwezo wako wa kujadili na kuchambua mada/hoja ni mdogo sana !

Umeandika kwa akili ya kitoto sana!

Kwani wewe ni yule ambaye ulisema ni mwalimu wa Shule za vidudu vile?
 
Ahache unafiki wake, uyu nguruwe pori kaahidi kuigeuza misikiti yetu mitukufu kuwa sunday school.
Kwa wakristo wanaopenda amani kwa vyovyote wamechukizwa na mpango wake huo na watamnyima kura ila kwa mwislam atakayempigia kura Naamini Laaaana ya Allah lazima imfike yeye na uzao wake inshallah.
kwani analazimisha misikiti kuwa Sunday school? yeye anapiga maombi tu.ingekuwa anawatishia waislamu wabadili dini hapo sawa
 
Hivi aliimba radhi kwa kashfa zake dhidi ya Waislamu?
 
Na Mimi ni Mwana Ccm tena Mkazi wa Kawe kanisani, katika Mambo yatayonihuzunisha kwa kweli ni Sisi kupata ushindi kwny Jimbo hili!


Kamati kuu ya Ccm imetudharau sana watu wa Kawe kutuletea hiki Kinyago
Ccm yote haifai. Dawa ni kuipiga chini hiyo October 28
 
Hahaha Gwajima a.k.a UNO kawa Rashid sasa.

Halima Mdee na chadema wanatisha sana.

CCM mtakunya mwaka huu.
 
Kila Kundi lazima kiwe na kiongozi au kiranja, Huyu sasa ndo kiranja au kiongozi wa wajinga
 
Mgombea Ubunge Jimb la Kawe kwa tiketi ya CCM, Askofu Josephat Gwajima amesema ana jina la kiislamu ambalo ni Rashidi Gwajima.

Amesema alipata jina hilo baada ya kutelekezwa kwenye msikiti ambapo pia alisema waislamu ndio waliomsomesha katika miaka yake ya awali.

Kutokana na suala hilo Gwajima amesema alipata sababu ya kuusaidia uislamu hata alipokwenda Dar aliwasaidia kujenga visima vya maji.

Gwajima aliyasema hayo alipokuwa kwenye Mahafali ya darasa la saba ya shule ya Al Irshaad.


linganisha na video hii
 
Amesikika akisema kwamba yeye ana jina la Kiislam, anaitwa Rashidi.

Jinsi alivyolipata hilo jina:
Alitelekezwa Msikitini Waislam wakamchukua na kuanza kumtunza. Hatuambii kwamba kuna wakati wowote alipata kuwa muislam baada ya kubadilisha dini.

Maana yake nini?
Mtoto yule masikini baada ya kutekelezwa Msikitini, aliokotwa na Waislam ambao waliamu kwanza kumbadilisha jina ili afanane nso ndiyo waweze kumsaidia. Gwajima anajaribu kutuambia kwamba, waislam hawapo tayari kumsaidia mtu ambaye si wa imani na utamaduni wao. Kwamba msaada wa waislam unaendana na masharti kwamba ni lazima uwe mwenzao na kinyume chake hawana msaada kwako.

Kadiri anavyo dhidi kujitahidi kushawishi ndivyo Gwajima anazidi kujizamisha.
Tangu mvua zinyeshe jujini Dar es salaam tumeona vile anachagua kutembea kwenye maji machafu ili kutafuta kura. Sasa hivi Gwajima ukitaka kumpiga picha ndani au sehemu isiyo na maji machafu ni lazima mgombani. Tafuta maji machafu au jalalani ndipo umpigie picha, hapo mtakua marafiki.

Mpaka ifikapo October 28, Gwajima atakua ameshakua chizi
 
Mgombea Ubunge Jimb la Kawe kwa tiketi ya CCM, Askofu Josephat Gwajima amesema ana jina la kiislamu ambalo ni Rashidi Gwajima...

KWANI HAPA TUNACHAGUA SHEHE? Kamati ya Maadili ya Tume Uchaguzi wako wapi?
HUU NI UDINI KWA 100%++++
Official language ni KISWAHILI kwanini anatumia Kiingereza na Kiswahili mchanganyiko?
Ameahidi mabus 2 hii Ni Rushwa!!!
Jinga kabisa.
 
Back
Top Bottom