The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Si amini kama Waislam wanaweza kudanganyika kirahisi hivyo. Kwa Wakatoliki Sina wasiwasi nao.. Naamini hawatampa jukwaa kama hili kuwadanganya. Bado tunajua kwake Gwajima dini ya kiislam ni ya Majini.