Nsoji go Nvaa
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 999
- 1,948
Chid bhana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbavu si zangu!Rashid Aache Uongo Muda Umekwenda Sana October 28 Hiyo
Ajiite Muhammad kabisaaa ila amechemka.Anashangaa Rashidi
Hata angeitwa Abdulrahmaan, Abdullah ambayo ndiyo majina mazuri zaid katika uislaam bado hai justify upuuzu wake
[emoji860]Nileteeni Rashidiiiiiiiiiiiii[emoji860]Nileteeni Gwajimaaaa.
Juzi nilisikia jina lako lingine ni Ponda ..Ponda leo Rashid tena ....basi kuna mgongano kama wabosi chini kwenye link hii chini....Mgombea Ubunge Jimb la Kawe kwa tiketi ya CCM, Askofu Josephat Gwajima amesema ana jina la kiislamu ambalo ni Rashidi Gwajima
Amesema alipata jina hilo baada ya kutelekezwa kwenye msikiti ambapo pia alisema waislamu ndio waliomsomesha katika miaka yake ya awali
Kutokana na suala hilo Gwajima amesema alipata sababu ya kuusaidia uislamu hata alipokwenda Dar aliwasaidia kujenga visima vya maji
Gwajima aliyasema hayo alipokuwa kwenye Mahafali ya darasa la saba ya shule ya Al Irshaad
View attachment 1605612
Ccm yote kwa ujumla ipumzishwe ikae pembeni ijifunze kuheshimu umma.Mimi ni mwana CCM damu, hapa nasema tena nasisitiza, Halima Mdee akimshinda Gwajima, nitafanya karamu Kawe, nitatoa ng'ombe wawili junia na mchele tena wa basmati, gharama ya mapishi. Yote hayo kwa furaha ya huyu mchawi na mshirikina akipigwa chini. Nina washawishi watanzania wote wa Kawe wampigie kura Halima au mbunge yoyote mwengine isipokuwa Gwajima, nazidi kushauri apigiwe Halima kwa sababu kura zikitawanyika Gwajima anaweza shinda.