Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,828
- 3,579
Huyo hata akisilimu ataendelea kuwa mnafikiAsilimu kabisa awe Muislam ndiyo tutampigia kura. Vinginevyo tunajua hizo ni fix zake tu huyo mkabila na mpenda movie za kikubwa aka pornografia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo hata akisilimu ataendelea kuwa mnafikiAsilimu kabisa awe Muislam ndiyo tutampigia kura. Vinginevyo tunajua hizo ni fix zake tu huyo mkabila na mpenda movie za kikubwa aka pornografia
Nakuunga mkono 100%.Mimi nasema asipigiwe kura mtu yoyote kigeugeu ambaye yuko tayari kufanya lolote apate anachotaka ni bora mumpigie kura mtu hata kama kuna mambo hamkubaliani naye lakini amekuwa anasisimama katika yale anayoamini, watu mpaka wanataka kubadili dini? mbona hawa watu wanataka kuleta udini hata kama unaitwa Mohd ndio iweje? kwa kweli miaka hii mitano tumeanza kuona hii migawanyiko kila siku na viongozi sababu ndio wanashabikia yanazidi kukua hii ni hatari ni lazima wapigwe stop huko tunakoenda sio salama. Nadhani viongozi waanze hakuna tena viongozi wa dini kwenda katika kuomba du'a katika mikutano ya kisiasa hata shughuli za kiserikali marufuku, kila mtu ataomba katika nyumba zao za ibada na mbaya zaidi du'a zenyewe kama kumdhihaki Mungu tu hakuna uhalisia. Naomba viongozi wasikie hili viongozi wa dini hawatakiwi katika mikutano yoyote katika uchaguzi na baada.
Kabla ya tarehe 28/10/2020 atasema amewahi kuwa Imamu wa Msikiti wa Mwembechai, na MaCCM wenzake wakamshangilia kwa nguvu!! Maana MaCCM akili zao zote walishazisomeshea namba 😲😲😲😲
Umeongea Nini Rashid?Mbona hata Chadema wanaona vitu wanasema hawaoni chochote
Sio kamati Kuu, ni JPM mwenyewe alitamka akiwa Tanganyika Packers kwamba alimkata mtoto wa dada yake kwa sababu aliona hatashinda...Kamati kuu ya Ccm imetudharau sana watu wa Kawe kutuletea hiki Kinyago
Uongo ni jadi ya wanasiasa Kama vile Lissu