Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima: Nina Jina la Kiislamu, ninaitwa Rashidi

Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima: Nina Jina la Kiislamu, ninaitwa Rashidi

Haiwezekani kumchagua mtu ambaye hawezi kushirikiana na serikali ktk kupanga na kutekeleza kwa pamoja mipango ya serikali ktk kuondoa kero, changamoto, matatizo n.k yanayowakabili wananchi wa Kawe na hatimae kuleta maendeleo jimboni.

Tatizo siyo kwamba ni mpinzani tatizo ni yeye mwenyewe hulka yake ilivyo.

Gwajima hazuiliki
 
Kwa njaa uliyokuwa nayo acha kujidanganya mwenyew
Mimi ni mwana CCM damu, hapa nasema tena nasisitiza, Halima Mdee akimshinda Gwajima, nitafanya karamu Kawe, nitatoa ng'ombe wawili junia na mchele tena wa basmati, gharama ya mapishi. Yote hayo kwa furaha ya huyu mchawi na mshirikina akipigwa chini. Nina washawishi watanzania wote wa Kawe wampigie kura Halima au mbunge yoyote mwengine isipokuwa Gwajima, nazidi kushauri apigiwe Halima kwa sababu kura zikitawanyika Gwajima anaweza shinda.
 
Ataropoka yote mwaka huu, walimsomesha akiwa mdogo halafu alivyokuwa mkubwa akawageuka kwa kusema angekuwa na uwezo angebadilisha misikiti yote iwe Sunday School.
Anajichanganya
 
Mtu asiipungukie Neema ya Mungu ili shina la uchungu lisije chipuka na kutia wengi unajisi.
 
Wajuzi na wataalamu wa saikolojia naomba mtuambie kuhusu maana ya Josephat Gwajima mgombea ubunge Jimbo la kawe.
 
Back
Top Bottom