pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Stupid people aren't annoying me, they are just free entertainmentGet prepared, he is around the corner coming
[emoji3][emoji3][emoji3]
Hazuiliki
Kuna stori moja pengine ushawahi kuisikia.
Jambazi alivamia nyumba moja akawakuta wanandoa wapo sebuleni baada ya kuiba na kutaka kuondoka akamuuliza mke;
Jambazi: Unaitwa nani?
Mke: Naitwa Asha.
Jambazi: Una bahati una jina kama la mama yangu wewe siwezi kukuua.
Akamgeukia mume.
Jambazi: Unaitwa nani?
Mume: Naitwa Athman ila kazini wamezoea kuniita Asha kama jina la mama yako.
[emoji1][emoji1][emoji1]we ni muumini wake eti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nahesabuu siku ukifikaa nikupelekee[emoji1][emoji1][emoji1]we ni muumini wake eti
[emoji849][emoji849][emoji849]Nahesabuu siku ukifikaa nikupelekee
Mzee wa chura umempelekaa wapi[emoji849][emoji849][emoji849]
Jina lingine anaitwa abunwasiMgombea Ubunge Jimb la Kawe kwa tiketi ya CCM, Askofu Josephat Gwajima amesema ana jina la kiislamu ambalo ni Rashidi Gwajima...
Mkuu njoo pm,Inaonekana ana wasiwasi wenye imani hiyo hawamkubali ndiyo maana anahangaika ili awaonyeshe yu upande wao bwana Rashid
Ni kwa bahati mbaya sana bora hata Chadema wangeleta mtu mwingine lakini siyo Halima!
Halima hana jipya!
Hata Campaigns zake Safari hii zimepwaya sana !
Faraja yake imebaki kwenye mtandao wa JF walau akisoma michango yenu ya kumsakama Gwajima yamkini anafarijika lakini sasa haisaidii kitu.
Wapigakura wengi ambao walikuwa wakimuunga mkono Halima Safari hii wamemchoka wengi watampigia kura Gwajima!
[emoji848]umeanzaaaMzee wa chura umempelekaa wapi
Ebhu nipigiee[emoji848]umeanzaaa
[emoji1][emoji1][emoji1]nipo kwenye kampeni buanaEbhu nipigiee