LGE2024 Askofu Juda Ruwa'ichi atoa tamko kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Sahihi kabisa watu wanauliwa kama kuku kisa uchaguzi
 
Halafu sijui ana mapengo, ila ni mchaga, wanachadema wengi wanatokea huko. Kitima yeye anamuunga mkono msingida mwenzake. Wakatoliki wakiona Rais muislamu wanakuwaga na midomo mirefu
 
Kama Serikali haitaingilia kati na kuwashughulikia Hawa viongozi uchwara wa dini nchi itaingia kwenye machafuko muda sio mrefu. Huko Rwanda hawa Maaskofu wa Kikatoliki walihusika sana kwenye kuchochea na kisabisha Genocide. Serikali iwe makini!!!
Amka kumekucha, usije ukakojoa kitandani. Nawa au oga uende shule. Mia tano ya maandazi ipo hapo mezani. Uwe makini unapovuka barabara sawa?
 
Kwani walipokuwa wanamkemea Magufuli alikuwa KKKT ?
 
Cc Lucas Mwashambwa
 
Kama Serikali haitaingilia kati na kuwashughulikia Hawa viongozi uchwara wa dini nchi itaingia kwenye machafuko muda sio mrefu. Huko Rwanda hawa Maaskofu wa Kikatoliki walihusika sana kwenye kuchochea na kisabisha Genocide. Serikali iwe makini!!!
Kwahiyo mkielezwa ukweli mnageukia kuwashughulikia watu! Halafu unalinganisha yanayoendelea Tanzania na Rwanda genocide vitu viwili tofauti! Kwamba yaliyotokea kwenye mchakato wa uchaguzi Ndio yanayofaa kuigwa na jamii ikiyostaarabika kabisa. Kwamba mnauwa watu halafu viongozi wa dini wawe kazi Yao ni kuzika na kutokemea mauaji. Mpumbavu wewe.
 
Hakuna shule ya ujinga sijui hii masters ya upumbavu uliisomea wapi. Hata huyo Rais anaona kabisa alipokosea
 
Hao mashetani wana unabii gani, wametubu wapi dhambi ya kuwaangamiza wanyarwanda.
Utakua umehama kutoka Facebook ukaja jukwaa hili kuchafua Hali ya hewa Kwa maslahi ya watawala ambao Mikono Yako Ina damu za watu wasio na hatia
 
Neither right NOR Left doctrine rules
 
Mashoga mnajiona mna akili sana awamu hii
Gentleman,
unazungumzia hilo li kibaraka la mabwenyenye lililoolewa na whites huko mbele sio?
si ndiyo kiongozi wenu?🐒
 
Kwa sasa roho wa uongo, uovu na kiburi cha madaraka kimewapofusha ccm. Maaskofu wametoa hili tamko, litakuwa ni rejea ya unabii wao kwa kile kitakachotokea huko mbeleni.
 
Wewe ni kama farisayo ama sadukayo tu wa kale, hivyo haishangazi. Unachojali ni tumbo lako tu basi, haki ya wengine hapana. Endelea hivyo waache wanaojali waseme.
haki yako ni nguvu zako,

uvivu tu unakutia wivu, kaza kiuno hicho mwanaume.

ng'we ng'we ng'we za nini kama zuzu na huna pwainti!!alaaah!🐒
 
2020 huyo mnafiki alikuwa bado hajazaliwa? Magu alivyokuwa anaua alijitokeza kusema lolote? Hao maaskofu wote ni km Policap Pengo, hawaonagi hata aibu. Huwa nawadharau sana, wanajaribu kuleta uchochezi kwa kuokoteza vitakataka.
Kama kuna taasisi ilikemea uovu wa magu ni hiyo RC. Usidhani hatukuona matamko yao wakati wa yule kiongozi muovu. Hilo tamko la maaskofu ni baadhi tu ya viashiria vya mwisho wa ccm. Kwasababu ccm wanafaidika na huu udhaifu wa katiba, ni lazima wamchukie kila anayeweka uhalifu wao hadharani. Maaakofu wameweka msimamo wao hadharani, wakati wa mahesabu mikono yao itakuwa safi.
 
Wewe kichaa, si bure. Ni wananchi gani waliamua kuwaua wagombea au viongozi wa CHADEMA? Hayo mmeyafanya ninyi mashetani, halafu kwa uwendawazimu mkubwa, mnasema ni maamyzi ya wananchi!!
wagombeaji uongozi wa chadema hawakua na sifa wala vigezo vya uongozi kikatiba.

kuenguliwa ilikua ndiyo haki na stahiki yao ya msingi kabisa.

Lazima muwe wastaarabu na wangwana kukubali matokeo ndrugu zango 🐒
 
Kama Serikali haitaingilia kati na kuwashughulikia Hawa viongozi uchwara wa dini nchi itaingia kwenye machafuko muda sio mrefu. Huko Rwanda hawa Maaskofu wa Kikatoliki walihusika sana kwenye kuchochea na kisabisha Genocide. Serikali iwe makini!!!
Kama ni machafuko yataletwa na ccm ndani ya nchi hii, hao maaskofu ni wajumbe tu. Uovu wote unafanywa na ccm ndani ya nchi hii kwa kushirikiana na vyombo vya usalama. Ifahamike ccm imefikia mwisho, hakuna uwezekano wa kuendelea kudanganya tena wananchi, zama zenu zimefikia mwisho.
 
Supu nzuri ikiwa ya moto, bora wao wamejitokeza kusema siku zote, wakati wa zoezi la kujiandikisha, walijitokeza kuhamasisha wananchi wajitokeze kupiga kura, na sasa wanatoa tathmini ya uchaguzi.

Matokeo tuliyajua kabla, ila tuliamini watawala wangekubali kufuata utaratibu kama walivyo ahidi, na hawakufuata hivyo, hakuna haja kusubiri matokeo tunayoyafahamu.

HUkusikia vyama vile vinavyounga mkono ccm, vimeshasema uchaguzi, ulienda vizuri, na ulikuwa huru na haki? Wao vipi hawakupaswa kusubiri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…