Askofu Lusekelo (Mzee wa Upako): Kesi ya Mbowe inakera sana na inaniumiza moyo

Wewe kwenda zako. Hatujawahi kukalia kimuya vitendo vya uminyaji haki. Sisi tumekuwa mstari wa mbele. Historia itatuhukumu kwa Haki.

Uliwateteta wapi mbona hatujawasikia kuwatetea hao waislamu waliobaki ndani zaidi ya kumtetea Mbowe ??
 
Kumbe wanatuchora tu.
Asante Jasusi kwa comment yako.
 
Walipofungwa wale wengine miaka 9 na kuambiwa Magaidi bila ya uthibitisho mbona hakusema kitu au kisa mb*w ni Wa imani yke?
Lakini kama una kumbu kumbu nzuri kelele zilipigwa sana na kila mpenda amani na haki. Madai siku zote yalikuwa kama ni Magaidi mbona kesi haipelekwi mahakamani ili wahukumiwe kwa haki?

Hatimaye Kama Mungu tu wakaachiwa.
 
Mzee wa upako subiri mahakana itoe jibu. Endelea na mambo yako ya Biblia.
 
HAA KUMBE NAWE UMO?
 
Kwa akili zako chache aliyekwambia amani ya nchi inalindwa kwa njia hiyo ni nani,maana wote mlikutana wajinga.Omba Mungu akupe siku zakuishiili uje ushuhidie nchi inakapokuja kuingia kwenye matatizo uko mbele ambayo chanzo chake ni hawa hawa viongozi zalimu.
 
Hakunaga funzo kwenye uonevu,kesi ni ya kijinga,uonevu,ufujaji wa kodi zetu bure...actually mtu mwenye takataka kichwani tu ndio anaweza sema hii ni kesi halali.

Kesi ni ya kubumba na uzushi,ni suala la muda tu wataumbuka..Mbowe sio gaidi.
Mbowe sio Malaika.
 
Usitudanganye hapa, CCM wamechezea amani ya nchi yetu kwa maneno na kwa vitendo, na HAKUNA kitu wamefanywa!

Watu wametamka hadharani,kuwa "watakaompinga Magufuli hawastahili kuishi" wakaenda mbali zaidi, wakaua wengi walioonyesha kutokubaliana na style ya uongozi ya JPM, wapo walionusurika vifo kwa kudra za Mwenyezi Mungu tu, mf.Mdude na Lissu, ingekuwa nchi zingine pangekuwa pamechafuka haswa...lakini kwa upole wa raia wa nchi yetu basi CCM wanaona wote hatujielewi kabisa!
 
Mpaka Leo siamini vyema nguvu wafuasi mwendazake kumchomekea Mama hili gari bovu! Hope leo Shauri litafutwa
Mnajaribu kumpa huyu mtu mnayemuita mama utakatifu ambao hana. Huyu ni muovu kama waovu wengine ndani ya chama chake. Mnataka mpaka afanye jambo gani la hovyo zaidi ndiyo muelewe kuwa naye hafai?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…