Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitoi na hakuna kitu utafanya. Siulei ujinga mimi. Kwanza Papa mwenyewe roporopo tu.Nitatoa Zaka,sadaka ya mavuno,kuwezesha Kanisa,mchango wa ujenzi wa Kanisa,Sadaka ya Jumuiya na hakuna kitu utafanya na Kanisa na Viongozi wake litaendelea kusimama Imara.
Mimi nishasema nitatoa mara mbili yako.Unadhani Papa anajua kuna kiumbe kama wewe unaishi? Walau ungekuwa pale Vatican angeweza stuka kuna mtu anavuta pumzi ya Vatican sawa na yeye,lakini upo huku madongo kuinama mwishoni mwa Dunia,hauna madhara kabisa.Sitoi na hakuna kitu utafanya. Siulei ujinga mimi. Kwanza Papa mwenyewe roporopo tu.
We kapuku wa dunia ya tatu ata ukitoa mara kumi yangu, utabaki maskini hivyo hivyo, wa akili na mali.Mimi nishasema nitatoa mara mbili yako.Unadhani Papa anajua kuna kiumbe kama wewe unaishi? Walau ungekuwa pale Vatican angeweza stuka kuna mtu anavuta pumzi ya Vatican sawa na yeye,lakini upo huku madongo kuinama mwishoni mwa Dunia,hauna madhara kabisa.
Tunajua usingesema hayo angekuwa ni askofu wa KKKTJiwe limekufa tumebaki na amani. ASKOFU ASITUPANGIE CHA 5UFANYA AHUBIRI BIBLIA. Siasa na dini wapi na wapi?
Kumbe unajijua upo maporomokoni mwa Dunia,hiyo mikwara ya kutokutoa sadaka unampa nani sasa? Hata Bishop Nkwande hajui kama upo na wewe unavuta pumzi achilia mbali Papa.We kapuku wa dunia ya tatu ata ukitoa mara kumi yangu, utabaki maskini hivyo hivyo, wa akili na mali.
Ulipolwa kiasi gani wewe masikini mkubwa na nimnyonge wa kufa unauza duka la shemeji yako hapo na wewe unajiona mwenye pesa! Shithole mkubwa wewe.Siwe kukubali kazi za tapeli wa maneno kama yule , katili na muuaji kama yule , huyo alikubalika na wapumbavu tu wa aina yako mlio kuwa mnachekelea kuitwa wanyonge wakati mwenzenu amefungua account uchina kwa ajili ya kuficha hela anazo pora watu kwenye account zao za bank.
Wewe ni MNYONGE?Kwani unafikiri hilo neno lipo kwa ajili ya kutumika vipi? Wanyonge wapo wengi tu TZ labda wewe siyo mnyonge. Hivyo kutumika hilo neno la mnyonge siyo hiari yako.
Iko video nzima ya AskofuPicha picha mbona habari ipo kavu kavu?
NdioWewe ni MNYONGE?
Acha uongo wewe!Mimi mkatoliki ila Huyu askofu nae Mnafiki tu
Kwani ukiwa mkatoliki ndio huwezi kuwa fisadi na nyumbu kama nyumbu wengine mkuu?!Mimi mkatoliki ila Huyu askofu nae Mnafiki tu
do yourself favor search maana ya mnyongeNdio
Askofu Mkuu jimbo Catholic Lenatus Nkwande ameongoza misa leo uwanja wa Kawe Kamo umefurika watu wakiwa wamekusanyika kumkumbuka Magufuli kwa kweli Magufuli anapendwa.
Baba askofu amewausia kuendelea kumuombea Magufuli na kuwaombea haters wake wakiwemo walamba asali na wazuri hawafi.
Pia alikuwepo na Anna Makinda hongera sana watu wote mliofika.
---
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, Mhashamu Baba Askofu Renatus Nkwande amesema wanyonge huwa wanatetewa na wachache sana lakini wanyonge huwa wanajisahau hata aliyekutetea wakati mwingine unasahau, anasemwa vibaya umesahau, lazima wakati fulani useme hapana bila shaka hiyo ni demokrasia pia eti kwani demokrasia lazima useme ndio tu bila shaka hata kusema hapana sivyo
Baba Askofu Nkwande kwenye Misa Takatifu ya kumuombea aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, Hayati Dk. John Pombe Joseph Magufuli iliyofanyika katika Madhabahu ya Bikira Maria Malkia wa Kawekamo Mwanza Jumamosi Tarehe 25/03/2023.
"Bahati mbaya kweli demokrasia hii wako wanatukana tukana,lakini hata huyu ambaye tumeona amefanya mazuri makubwa kwa nia njema kwa sadaka kubwa leo hii mfu lakini bado tunasemasema hawa watu wanatufundisha hatimaye kutujue na sisi kusema hapana, wanatoa funzo wanatukumbusha kwamba ikiwezekana ifikie mahali tuseme hapana" Askofu Nkwande
"sasa unataka kutuambia kwamba hiyo SGR kwamba hakuifanya na alifanya kwa ajli ya nini ya familia yake si kwa ajili yetu sisi hizo stendi hizo zinaingiza magari yake mle, hiyo treni linajengwa tayari ni la nani alafu leo mtuambie kwamba sasa ni mabaya ni mabaya ni mabaya" Askofu Nkwande
"Nilianza kwa kusema kwamba wanyonge huwa wanatetewa na wachache sana lakini wanyonge huwa wanajisahau hata aliyekutetea wakati mwingine unasahau, anasemwa vibaya umesahau, lazima wakati fulani useme hapana bila shaka hiyo ni demokrasia pia eti kwani demokrasia lazima useme ndio tu bila shaka hata kusema hapana sivyo" Askofu Nkwande