Askofu Mkuu Jimbo Kuu Katoliki Mwanza awataka wanyonge kukataa wanaomtukana Hayati Magufuli

Askofu Mkuu Jimbo Kuu Katoliki Mwanza awataka wanyonge kukataa wanaomtukana Hayati Magufuli

Mkuu katika watu ambao wako humble na fair ni huyu kama unakumbuka wakati wafuasi wa chadema wanakamatwa kanisani st. Joseph Mwanza kwa kisingizio walifanya fujo Askofu lenatus Nkwande alipambania watoke na kulalamika wazi wazi mbele ya vyimbo vya habari.
Between sikatai kanisa catholic ni taasisi inayoongozwa na watu na tusifichane kuna watu wanavyama vyao licha ya kuwa ni vionozi wa kanisa kama father kitima katibu wa TEC yule ni chadema damu damu toka yuko sauti university.
Askofu lenatus Nkwande hajawahi kuonyesha yuko upande wa Magufuli akiwa hai tofauti na Kardinal Pengo logic yake ni kumsema mtu ni mbaya kila siku as if hakuna alicho fanya sio fair between kwa imani ya ki-catholic na ya kikristo in geral mtu akifa sio sawa kumsema vibaya achilia mbali Magufuli amekufa akiwa amepata sacrament ya kitubio na mpako wa mafuta matakatifu.
Logic yake ni kuwa kama kuna watu wanamsema vibaya Magufuli basi sio mbaya wale wanao msema vizuri waonekane wabaya
Nimependa hicho ulichoandika, hoja yenye mfano.
 
Lenatus Nkwande anajielewa sana sio kama wale waliochukua hela za escrow kwenye sandarusi.
Chawa wa mama na ufipa watapita kimya kimya.
Chawa wa Mwendakuzimu mnahaha, na bado lile Hutu hukohuko kaburini litaendelea kuvuna lilichopanda.
 
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, Mhashamu Baba Askofu Renatus Nkwande amesema wanyonge huwa wanatetewa na wachache sana lakini wanyonge huwa wanajisahau hata aliyekutetea wakati mwingine unasahau, anasemwa vibaya umesahau, lazima wakati fulani useme hapana bila shaka hiyo ni demokrasia pia eti kwani demokrasia lazima useme ndio tu bila shaka hata kusema hapana sivyo

Baba Askofu Nkwande kwenye Misa Takatifu ya kumuombea aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, Hayati Dk. John Pombe Joseph Magufuli iliyofanyika katika Madhabahu ya Bikira Maria Malkia wa Kawekamo Mwanza Jumamosi Tarehe 25/03/2023.

"Bahati mbaya kweli demokrasia hii wako wanatukana tukana,lakini hata huyu ambaye tumeona amefanya mazuri makubwa kwa nia njema kwa sadaka kubwa leo hii mfu lakini bado tunasemasema hawa watu wanatufundisha hatimaye kutujue na sisi kusema hapana, wanatoa funzo wanatukumbusha kwamba ikiwezekana ifikie mahali tuseme hapana" Askofu Nkwande

"sasa unataka kutuambia kwamba hiyo SGR kwamba hakuifanya na alifanya kwa ajli ya nini ya familia yake si kwa ajili yetu sisi hizo stendi hizo zinaingiza magari yake mle, hiyo treni linajengwa tayari ni la nani alafu leo mtuambie kwamba sasa ni mabaya ni mabaya ni mabaya" Askofu Nkwande

"Nilianza kwa kusema kwamba wanyonge huwa wanatetewa na wachache sana lakini wanyonge huwa wanajisahau hata aliyekutetea wakati mwingine unasahau, anasemwa vibaya umesahau, lazima wakati fulani useme hapana bila shaka hiyo ni demokrasia pia eti kwani demokrasia lazima useme ndio tu bila shaka hata kusema hapana sivyo" Askofu Nkwande


Sawa
 
Shida ni CCM yenyewe! Haijawahi kutokea waziri ambaye ni active kumkebehi Rais aliyepita hadharani na hata haonywi! Chama hakina tena nguvu ya kuisimamia serikali.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Mbona Jiwe mwenyewe alikuwa akiwaambia marais wastaafu kwamba wanawashwawashwa, acha aendelee kuvuna alichopanda huku Sukuma gang wakizidi kahangaika namna ya kuficha mauchafu yake aliyoyafanya.
 
Viongozi wengi wa dini ni corrupt!! Washanunuliwa na system na ushabiki!!!
Kila mtu na akili zake but hatutoretea roho za uhasama, ubaguzi ba kiburi kisichotaka maridhiano....
 
Chawa wa Mwendakuzimu mnahaha, na bado lile Hutu hukohuko kaburini litaendelea kuvuna lilichopanda.
Hakuna chawa anaye kaa kwa mfu kama hujui, chawa wanakaa kwa watu walio hai kwa sababu wana kitu cha kubenefit.
Mimi silipwi kuongea hichi ninachoongea wala sifaidiki na chochote material zaidi ya kujaribu kutoa maoni yangu kwa kile ninacho kifikiria na kukiamini.
 
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, Mhashamu Baba Askofu Renatus Nkwande amesema wanyonge huwa wanatetewa na wachache sana lakini wanyonge huwa wanajisahau hata aliyekutetea wakati mwingine unasahau, anasemwa vibaya umesahau, lazima wakati fulani useme hapana bila shaka hiyo ni demokrasia pia eti kwani demokrasia lazima useme ndio tu bila shaka hata kusema hapana sivyo

Baba Askofu Nkwande kwenye Misa Takatifu ya kumuombea aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, Hayati Dk. John Pombe Joseph Magufuli iliyofanyika katika Madhabahu ya Bikira Maria Malkia wa Kawekamo Mwanza Jumamosi Tarehe 25/03/2023.

"Bahati mbaya kweli demokrasia hii wako wanatukana tukana,lakini hata huyu ambaye tumeona amefanya mazuri makubwa kwa nia njema kwa sadaka kubwa leo hii mfu lakini bado tunasemasema hawa watu wanatufundisha hatimaye kutujue na sisi kusema hapana, wanatoa funzo wanatukumbusha kwamba ikiwezekana ifikie mahali tuseme hapana" Askofu Nkwande

"sasa unataka kutuambia kwamba hiyo SGR kwamba hakuifanya na alifanya kwa ajli ya nini ya familia yake si kwa ajili yetu sisi hizo stendi hizo zinaingiza magari yake mle, hiyo treni linajengwa tayari ni la nani alafu leo mtuambie kwamba sasa ni mabaya ni mabaya ni mabaya" Askofu Nkwande

"Nilianza kwa kusema kwamba wanyonge huwa wanatetewa na wachache sana lakini wanyonge huwa wanajisahau hata aliyekutetea wakati mwingine unasahau, anasemwa vibaya umesahau, lazima wakati fulani useme hapana bila shaka hiyo ni demokrasia pia eti kwani demokrasia lazima useme ndio tu bila shaka hata kusema hapana sivyo" Askofu Nkwande


Wanyonge wangapi wanaweza kupanda SRG na ndege na wangapi wanaumeme na maji masafi ndani ??Hili kanisa limejisahau kuwa hao wanyonge ndio wanatoa sadaka .Bila kuwahadaa wanyonge kama Magufuli wasinge pata pesa ya kuchezea
 
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, Mhashamu Baba Askofu Renatus Nkwande amesema wanyonge huwa wanatetewa na wachache sana lakini wanyonge huwa wanajisahau hata aliyekutetea wakati mwingine unasahau, anasemwa vibaya umesahau, lazima wakati fulani useme hapana bila shaka hiyo ni demokrasia pia eti kwani demokrasia lazima useme ndio tu bila shaka hata kusema hapana sivyo

Baba Askofu Nkwande kwenye Misa Takatifu ya kumuombea aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, Hayati Dk. John Pombe Joseph Magufuli iliyofanyika katika Madhabahu ya Bikira Maria Malkia wa Kawekamo Mwanza Jumamosi Tarehe 25/03/2023.

"Bahati mbaya kweli demokrasia hii wako wanatukana tukana,lakini hata huyu ambaye tumeona amefanya mazuri makubwa kwa nia njema kwa sadaka kubwa leo hii mfu lakini bado tunasemasema hawa watu wanatufundisha hatimaye kutujue na sisi kusema hapana, wanatoa funzo wanatukumbusha kwamba ikiwezekana ifikie mahali tuseme hapana" Askofu Nkwande

"sasa unataka kutuambia kwamba hiyo SGR kwamba hakuifanya na alifanya kwa ajli ya nini ya familia yake si kwa ajili yetu sisi hizo stendi hizo zinaingiza magari yake mle, hiyo treni linajengwa tayari ni la nani alafu leo mtuambie kwamba sasa ni mabaya ni mabaya ni mabaya" Askofu Nkwande

"Nilianza kwa kusema kwamba wanyonge huwa wanatetewa na wachache sana lakini wanyonge huwa wanajisahau hata aliyekutetea wakati mwingine unasahau, anasemwa vibaya umesahau, lazima wakati fulani useme hapana bila shaka hiyo ni demokrasia pia eti kwani demokrasia lazima useme ndio tu bila shaka hata kusema hapana sivyo" Askofu Nkwande


Nitaungana na Askofu kwa haya aliyoeleza hapa bila ya kinyongo chochote, kama kuna kumbukumbu zozote katika mahubiri yake wakati wa uhai wa Magufuli kuhusu wanyonge au wengine wote waliokuwa si wanyonge lakini wakaguswa na aliyoyafanya Magufuli katika kazi zake angali hai.
 
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, Mhashamu Baba Askofu Renatus Nkwande amesema wanyonge huwa wanatetewa na wachache sana lakini wanyonge huwa wanajisahau hata aliyekutetea wakati mwingine unasahau, anasemwa vibaya umesahau, lazima wakati fulani useme hapana bila shaka hiyo ni demokrasia pia eti kwani demokrasia lazima useme ndio tu bila shaka hata kusema hapana sivyo

Baba Askofu Nkwande kwenye Misa Takatifu ya kumuombea aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, Hayati Dk. John Pombe Joseph Magufuli iliyofanyika katika Madhabahu ya Bikira Maria Malkia wa Kawekamo Mwanza Jumamosi Tarehe 25/03/2023.

"Bahati mbaya kweli demokrasia hii wako wanatukana tukana,lakini hata huyu ambaye tumeona amefanya mazuri makubwa kwa nia njema kwa sadaka kubwa leo hii mfu lakini bado tunasemasema hawa watu wanatufundisha hatimaye kutujue na sisi kusema hapana, wanatoa funzo wanatukumbusha kwamba ikiwezekana ifikie mahali tuseme hapana" Askofu Nkwande

"sasa unataka kutuambia kwamba hiyo SGR kwamba hakuifanya na alifanya kwa ajli ya nini ya familia yake si kwa ajili yetu sisi hizo stendi hizo zinaingiza magari yake mle, hiyo treni linajengwa tayari ni la nani alafu leo mtuambie kwamba sasa ni mabaya ni mabaya ni mabaya" Askofu Nkwande

"Nilianza kwa kusema kwamba wanyonge huwa wanatetewa na wachache sana lakini wanyonge huwa wanajisahau hata aliyekutetea wakati mwingine unasahau, anasemwa vibaya umesahau, lazima wakati fulani useme hapana bila shaka hiyo ni demokrasia pia eti kwani demokrasia lazima useme ndio tu bila shaka hata kusema hapana sivyo" Askofu Nkwande

Huyo askofu ana maoni gani kuhusu:
-Kupotea kwa Ben Saanane.
-Kupotea kwa Azory Gwanda.
-Kushambuliwa kwa Tundu Antipas Lissu.
-Kuporwa kwa maduka ya kubadili fedha huko Arusha.
-Kauli chafu za Jiwe kwamba hajaleta tetemeko.
-Fedha za plea bargain zilizohufadhiwa China.

Je hayo hayana maana kwake?
 
Huyo askofu ana maoni gani kuhusu:
-Kupotea kwa Ben Saanane.
-Kupotea kwa Azory Gwanda.
-Kushambuliwa kwa Tundu Antipas Lissu.
-Kuporwa kwa maduka ya kubadili fedha huko Arusha.
-Kauli chafu za Jiwe kwamba hajaleta tetemeko.
-Fedha za plea bargain zilizohufadhiwa China.

Je hayo hayana maana kwake?
Askofu ndio alisema zimehifadhiwa china!?
Nyie vichaa fedha za plea bargain zilizohifadhiwa china muulizeni aliyewaambia na ile report ya pale BOT.
Askofu anaongelea fact sio vitu vya kusadikika bila ushahidi.
Sgr, mv hapa kazi tu, kupungua kwa rushwa, uwajibikaji, kuingia middle economy hayo mengine muulzeni mama yenu na DJ
 
Team ya fisadi la msoga inabidi iongeze vibarua/vijana wa kumtukana Rais JPM mitandaoni maana soon nguvu ya wananchi inaenda kuwameza hawa wapuuzi wachache waliyopewa hiyo kazi
 
Askofu mkabila na mdini , hakuyaona aliyo kuwa akiyafanya huyo muhuni anayemtetea hapo? Askofu mzima anatumia neno wanyonge kama silaha anasahau hata biblia imekataa unyonge! Akanye mbele askofu uchwara huyo.
Naona yeye anamuwaza Marehemu tu, itakuwa alifaidika kwenye utawala wake.

IMG-20230312-WA0038.jpg

Screenshot_20230327-213223_Chrome.jpg
Screenshot_20230327-213253_Chrome.jpg
 
Askofu mkabila na mdini , hakuyaona aliyo kuwa akiyafanya huyo muhuni anayemtetea hapo? Askofu mzima anatumia neno wanyonge kama silaha anasahau hata biblia imekataa unyonge! Akanye mbele askofu uchwara huyo.
Heshimu viongozi wa dini hata kama wewe ni dini nyingine
 
Askofu mkabila na mdini , hakuyaona aliyo kuwa akiyafanya huyo muhuni anayemtetea hapo? Askofu mzima anatumia neno wanyonge kama silaha anasahau hata biblia imekataa unyonge! Akanye mbele askofu uchwara huyo.
yuko sahihi kabisa hatuwezi kufikirishwa na watu wachache humu ndani kwa maslahi yao tuyaunge mambo yao.tunajua hakuna aliyemkamilifu hata hao wanaotukana si wakamilifu pia hivyo hakuna sababu ya kutukana watu ambao hatunao kwa sasa lkn wakati wako hai hao watukanaji hatukuwaona.
 
Back
Top Bottom