Askofu Mkuu Jimbo Kuu Katoliki Mwanza awataka wanyonge kukataa wanaomtukana Hayati Magufuli

Hawawezi kuelewa, wamelemewa na hydrogen sulfides, methane na carbon dioxide baada ya ASALI nyingi.

Kaa mbali nao, hali ya hewa haiko salama!
 
Jiwe limekufa tumebaki na amani. ASKOFU ASITUPANGIE CHA 5UFANYA AHUBIRI BIBLIA. Siasa na dini wapi na wapi?
 
Nitatoa Zaka,sadaka ya mavuno,kuwezesha Kanisa,mchango wa ujenzi wa Kanisa,Sadaka ya Jumuiya na hakuna kitu utafanya na Kanisa na Viongozi wake litaendelea kusimama Imara.
Sitoi na hakuna kitu utafanya. Siulei ujinga mimi. Kwanza Papa mwenyewe roporopo tu.
 
Sitoi na hakuna kitu utafanya. Siulei ujinga mimi. Kwanza Papa mwenyewe roporopo tu.
Mimi nishasema nitatoa mara mbili yako.Unadhani Papa anajua kuna kiumbe kama wewe unaishi? Walau ungekuwa pale Vatican angeweza stuka kuna mtu anavuta pumzi ya Vatican sawa na yeye,lakini upo huku madongo kuinama mwishoni mwa Dunia,hauna madhara kabisa.
 
We kapuku wa dunia ya tatu ata ukitoa mara kumi yangu, utabaki maskini hivyo hivyo, wa akili na mali.
 
We kapuku wa dunia ya tatu ata ukitoa mara kumi yangu, utabaki maskini hivyo hivyo, wa akili na mali.
Kumbe unajijua upo maporomokoni mwa Dunia,hiyo mikwara ya kutokutoa sadaka unampa nani sasa? Hata Bishop Nkwande hajui kama upo na wewe unavuta pumzi achilia mbali Papa.
 
Ulipolwa kiasi gani wewe masikini mkubwa na nimnyonge wa kufa unauza duka la shemeji yako hapo na wewe unajiona mwenye pesa! Shithole mkubwa wewe.
 
Mbona yeye sio mnyonge ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…