- Thread starter
- #21
Tanesco 😂😂Lile kanisa lipo kwenye hifadhi ya barabara pale Mwenge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanesco 😂😂Lile kanisa lipo kwenye hifadhi ya barabara pale Mwenge
Freedom and development.Ndege haziongelewi tena wananchi wanadai haki na uhuru
Hii ndio kanuni ya Kijeshi. Wale wa mabaka mabaka wako wanasoma mchezo. Kuna mtu anadhani watamuokoa.Anayemiliki nguvu ya umma ndie anaemiliki dola
Haki na maendeleoFreedom ans development.
Better a hungry freeman than well fed slave
Mungu wa Israel ametenda miujizaView attachment 1578778
Wana
Wabaya wake walitaka aitwe Marehemu Lissu lakini Mungu Mwenyezi alipanga aitwe Rais Lissu.
Sasa nimeelewa pale Lissu anaposema mtu mmoja asijaribu kuchezea uchaguzi the Hague itamuhusu ni ukweli kunajambo linakujaHii ndio kanuni ya Kijeshi. Wale wa mabaka mabaka wako wanasoma mchezo. Kuna mtu anadhani watamuokoa.
Mwingira ni tajiri..atajenga kanisa kwa siku tatu..if you know what I'm sayingLile kanisa lipo kwenye hifadhi ya barabara pale Mwenge
Hata ukiongea na mabaka wa chini wanawalaumu wananchi uoga wao ndio kikwazo Chao pa kuanzia,so siku akiingiza mabaka ndipo atapoona Moto ukimuwakia.Anadhani kuwamiliki mabosi zao ndio kuwamiliki wote,wanamchora tu.Hii ndio kanuni ya Kijeshi. Wale wa mabaka mabaka wako wanasoma mchezo. Kuna mtu anadhani watamuokoa.
Mmh hali sio haliHata ukiongea na mabaka wa chini wanawalaumu wananchi uoga wao ndio kikwazo Chao pa kuanzia,so siku akiingiza mabaka ndipo atapoona Moto ukimuwakia.Anadhani kuwamiliki mabosi zao ndio kuwamiliki wote,wanamchora tu.
Mbona Sasa anawaumiza watu na kuwarudisha utumwani watzMagufuli mtu wa Mungu uliletwa uikomboe Tz toka kwa Hawa wenye akili ndogo za kitumwa. Twende kazi jembe!
Upinzani kwa ujumla km watafikisha 20% ya kura uchaguzi huu tutawapa nchi!
Mtu wa Mungu amkosei Mungu kwa kuzivunja amri kumi za Mungu Kuwanunua viongozi wa dini kupiga picha kanisani hakukupi tiketi ya utakatifu au kuwa karibu ya Mungu.Magufuli mtu wa Mungu uliletwa uikomboe Tz toka kwa Hawa wenye akili ndogo za kitumwa. Twende kazi jembe!
Upinzani kwa ujumla km watafikisha 20% ya kura uchaguzi huu tutawapa nchi!
Umeumia wapi mkuu? Huko utumwani ulienda lini?Mbona Sasa anawaumiza watu na kuwarudisha utumwani watz
Umeumia wapi mkuu? Huko utumwani ulienda lini?