Uchaguzi 2020 Askofu Mwingira: Lissu ni mshindi, hajajenga flyover wala reli. Watu wanamfuata

Uchaguzi 2020 Askofu Mwingira: Lissu ni mshindi, hajajenga flyover wala reli. Watu wanamfuata

Naona wafia madaraja na maflyover viti vya mbele kwa nabii wamepooza kbs hawamshangilii nabii!
 
Ndege haziongelewi tena wananchi wanadai haki, uhuru na maendeleo.
Wananchi hawahawa wanaosimama barabarani wakimshangilia Jiwe anavyocheza wimbo wa Zuchu wa ccm? Au wale wanaojazana kwenye mikutano ya ccm na huku wakiburudishwa na wasanii?
 
Mwingira Mungu alimuita kuhubiri habari za Yesu sio za Tundu Lisu na risasi zake kapotezea muda waumini walioenda kusikiliza habari za Yesu halafu wakaishia kusikiliza habari za Tundu Lisu

Mwingira 2015 alikuwa UKAWA na mgombea wake CCM tulimshinda ajiandae na huyu wake Lisu tutamshinda
 
Mwingira Mungu alimuita kuhubiri habari za Yesu sio za Tundu Lisu na risasi zake kapotezea muda waumini walioenda kusikiliza habari za Yesu halafu wakaishia kusikiliza habari za Tundu Lisu

Mwingira 2015 alikuwa UKAWA na mgombea wake CCM tulimshinda ajiandae na huyu wake Lisu tutamshinda
Wewe tumekupuuza. Taarifa ya jana imetufumbua macho.

Wewe ni muuaji. Kwa maandishi yako, ndiye uliyeomba upewe kazi ya kumwua Tundu Lisu. Mtu mwenye roho ya shetani kiasi hicho, huna cha maana unachobeba moyoni mwako zaidi ya laana juu yako na kizazi chako.

Mungu wa enzi akutendee kwa kadiri ya ubaya wa moyo wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwingira kwa wakongwe wa jf wanajua zile threads zilizokua zikianzishwa miaka ya nyuma namna alivyozaa na wanawake za watu kibao ila sababu yupo upande wa pili hayo madhambi yake yote yenye ushahidi yametakaswa na hayaonekani

Ila mtu fudenge yeye anachanganya siasa na dini, nasikia kuna maaskofu walikua wanahutubia majukwaa ya siasa juzi Bukoba, watanzania unafiki utatuua
 
Akaunti zake na za kanisa ziangaliwe yaweza kuwa katakatisha pesa za Lisu toka nje at a fee ndio anapiga hizo kelele za kupamba baada ya mzigo wa pesa kuingia
 
Kura yangu ni kwa Tundu Lisu. Siwezi kuishi maisha ya kumsikiliza mtu mmoja.
Anaye jijali yeye tu. Ashibe yeye tu na anaowachagua.
Hashim Rungwe simpi kura yangu. Bora nimpigie Mrema.
Kwanini usiache kupiga kura kabisa kama mie?sijawahi kujuta.

Maana wewe unaonekana hauendi kupiga kura ili kumpata kiongozi unayeona ndiyo sahihi bali unaenda kupiga kura kutokana na hasira ulizonazo kwa Magufuli.

Ukienda kupiga kura halafu matokeo unaona usiyempenda ndio kashinda hapo lazima stress zizidi.
 
''Askofu Mwingira'' aliwahi kutuambia kuwa Lazaro Nyalandu atakuwa Rais wa Tanzania mwaka 2015!

Kauli kama hizi za 'Wachungaji, Maaskofu na Manabii'' tumezisikia sana na tuna kumbukumbu nazo hizi;

“Raisi ajae wa Tanzania ni Lowassa licha ya kuwa baadhi ya watu wamepanga mambo mabaya dhidi yake. Aidha alisema kwamba Mungu alimwambia awaambie wana CCM kuwa amemtuma yeye (Askofu Komanya) aseme kuwa Mungu ndiye aliyemchagua Lowassa” (Chanzo: Gazeti la Jambo Leo la tarehe 21/03/2014 siku ya Ijumaa).
Kwa Mtanzania yeyote aliye na hulka na tabia ya kuheshimu na kuamini viongozi wa dini anajenga imani ya dhati kwamba Mheshimiwa Lowassa ni lazima atakuwa Raisi wa Tanzania tu kwani hayo sio mawazo ya wanaadamu bali ni maono yaliyotoka kwa Mwenye ezi Mungu.
Pamoja na kuaminishwa hivyo na Askofu Komanya, Watanzania pia walipokea “maono” mengine kutoka kwa Nabii Josephat Mwingira wa Huduma ya EFATHA.

“Siku chache baada ya kutangaza kujitosa rasmi kuwania ukuu wa dola (uraisi), Waziri wa Maliasili na Utalii, Mheshimiwa Lazaro Nyalandu aliadhimisha sherehe za mwaka mpya wa 2015 katika Kanisa la EFATHA huku Mchungaji wa Kanisa hilo Josephat Mwingira alimtabiria ushindi wa safari yake aliyoianza.

Zaidi Mchungaji Mwingira alisema neno hilo ni la kinabii na kusisitiza hakuna wa kumzuia Nyalandu kwa sababu ukuu umeamriwa juu yake. Mwingira ambaye alisema neno hilo limetoka kwa Bwana alisisitiza kuwa vikwazo juu ya Nyalandu havitakuwepo tena” (Chanzo: Gazeti la Mtanzania la tarehe 02/01/2015 ukurasa wa tatu).

Pamoja na maono hayo kuonekana yanapingana juu ya ni nani haswa ndiye atakuwa Raisi wetu katika awamu ya tano.

Kwa sasa tunajua hatma ya maono yao ya mwaka 2015 lakini kwa kushangaa wameanza tena kuja na kile wanachodai ''maono'' kutoka kwa Mungu!

Tanzania kuna vituko!
Kwani 2015 matokeo ya kura yalikuwaje? Na huyu sauli alinyenyanganya nafasi ya mwingine umeona ameishia wapi? Acha kushupaza shingo
 
Kwanini usiache kupiga kura kabisa kama mie?sijawahi kujuta.

Maana wewe unaonekana hauendi kupiga kura ili kumpata kiongozi unayeona ndiyo sahihi bali unaenda kupiga kura kutokana na hasira ulizonazo zidhi ya Magufuli.

Ukienda kupiga kura halafu matokeo unaona usiyempenda ndio kashinda hapo lazima stress zizidi.
Mi sijamtaja huyo unayemtaja, mi nimewataja watu wawili Tu.
Tafadhari usinizurie kesi.
 
Mwingira kwa wakongwe wa jf wanajua zile threads zilizokua zikianzishwa miaka ya nyuma namna alivyozaa na wanawake za watu kibao ila sababu yupo upande wa pili hayo madhambi yake yote yenye ushahidi yametakaswa na hayaonekani

Ila mtu fudenge yeye anachanganya siasa na dini, nasikia kuna maaskofu walikua wanahutubia majukwaa ya siasa juzi Bukoba, watanzania unafiki utatuua
Na Kuna Maaskofu lukuki nao wanaunga mkono juhudi....na ndio hukusanywa kuombea amani na Maendeleo ya Awamu ya Tano....hapa tumeshavurugana na hili donda halitapona....Mimi siwezi fuata Kanisa ambalo lilikaa kimya WAKATI WATAWALA WAKIPIGA MARUFUKU KUMUOMBEA TUNDU LISU AKIWA KITANDA CHA MAUTI...HILO KWANGU NI KANISA LA MASHETANI.....!
 
Ni katika video clip ambayo inasambaa kwa kasi nchi nzima ktk mitandao ya kijamii instagram, twitter, Whatapp, facebook na Youtube ambapo Askofu huyo Mtumishi Wa Mungu anatanabaisha maajabu yanayotendeka ktk harakati za Lissu.

Nabii na mtume Mwingira anasema Mtu huyu ( Tundu) hajawahi kujenga Reli wala daraja la juu( fly over) lakini tazama jinsi alivyo na wafuasi wengi sana.

Hakika mtu huyu ni Victor(mashindi) na kwamba Mungu yuko ndani yake.

Anasema kutokana na Lissu kuwa competitor na wengine Loosers hivyo hakuna wakumwangusha Lissu na wala hakuna wakumtisha maana ni victor.

Video hii hapa chini.
View attachment 1578769
Maneno yenye ukweli mzito kutoka kwa mtumishi wa Mungu. Tundu Antiphas Lissu ni muujiza kweli unaotembea.

Niliwai sema na nasema tena. Mungu hawezi kukuponya kwenye risasi 16 kirahisi tu bila kuwa na sababu kubwa na wewe!!

Mungu anaenda kuandika historia kuu Tanzania mwaka huu. Tundu Antiphas Lissu anaenda kumuangusha Magufuli vibaya sana na kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020- 2025
 
Mzee anahaki ya kutumia mfano wowote katika kufundisha watu Wake.

Ila Mamlaka iliyopo sasa imekubalika na ilishapata kibali Mbele za Mungu Rais Magufuli anakwenda kushinda term nyingine,

Tunakwenda kuiona Tanzania ikiimarika zaidi ya sasa.
Mkuu na wewe unaishi Tanzania hii hii inayopakana na kenya,uganda,burundi,DRC,zambia,malawi na msumbiji au unaishi Tanzania nyingine?
 
''Askofu Mwingira'' aliwahi kutuambia kuwa Lazaro Nyalandu atakuwa Rais wa Tanzania mwaka 2015!

Kauli kama hizi za 'Wachungaji, Maaskofu na Manabii'' tumezisikia sana na tuna kumbukumbu nazo hizi;

“Raisi ajae wa Tanzania ni Lowassa licha ya kuwa baadhi ya watu wamepanga mambo mabaya dhidi yake. Aidha alisema kwamba Mungu alimwambia awaambie wana CCM kuwa amemtuma yeye (Askofu Komanya) aseme kuwa Mungu ndiye aliyemchagua Lowassa” (Chanzo: Gazeti la Jambo Leo la tarehe 21/03/2014 siku ya Ijumaa).
Kwa Mtanzania yeyote aliye na hulka na tabia ya kuheshimu na kuamini viongozi wa dini anajenga imani ya dhati kwamba Mheshimiwa Lowassa ni lazima atakuwa Raisi wa Tanzania tu kwani hayo sio mawazo ya wanaadamu bali ni maono yaliyotoka kwa Mwenye ezi Mungu.
Pamoja na kuaminishwa hivyo na Askofu Komanya, Watanzania pia walipokea “maono” mengine kutoka kwa Nabii Josephat Mwingira wa Huduma ya EFATHA.

“Siku chache baada ya kutangaza kujitosa rasmi kuwania ukuu wa dola (uraisi), Waziri wa Maliasili na Utalii, Mheshimiwa Lazaro Nyalandu aliadhimisha sherehe za mwaka mpya wa 2015 katika Kanisa la EFATHA huku Mchungaji wa Kanisa hilo Josephat Mwingira alimtabiria ushindi wa safari yake aliyoianza.

Zaidi Mchungaji Mwingira alisema neno hilo ni la kinabii na kusisitiza hakuna wa kumzuia Nyalandu kwa sababu ukuu umeamriwa juu yake. Mwingira ambaye alisema neno hilo limetoka kwa Bwana alisisitiza kuwa vikwazo juu ya Nyalandu havitakuwepo tena” (Chanzo: Gazeti la Mtanzania la tarehe 02/01/2015 ukurasa wa tatu).

Pamoja na maono hayo kuonekana yanapingana juu ya ni nani haswa ndiye atakuwa Raisi wetu katika awamu ya tano.

Kwa sasa tunajua hatma ya maono yao ya mwaka 2015 lakini kwa kushangaa wameanza tena kuja na kile wanachodai ''maono'' kutoka kwa Mungu!

Tanzania kuna vituko!
Nimekugongea "like". Yahitaji kujitoa ufahamu ili umsikilize nabii mzinzi
 
Sanduku la kura lina maajabu! watu watakuimbia, kukubeba na watasukuma hadi gari lako ila kura watapiga kwa chama chao!
 
Back
Top Bottom