Mwenye ushawishi wa umma yaani anayemiliki umma ndie anaemiliki dola.Hii ya kumiliki mabosi wa 'Mabaka' haina tofauti na walivonunua wabunge na madiwani, leo hawaamini macho yao.
"Wapinzani wanachakata picha za mikutano ya nyuma" by Meko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye ushawishi wa umma yaani anayemiliki umma ndie anaemiliki dola.Hii ya kumiliki mabosi wa 'Mabaka' haina tofauti na walivonunua wabunge na madiwani, leo hawaamini macho yao.
"Wapinzani wanachakata picha za mikutano ya nyuma" by Meko.
Kama issue ni uzinzi hata huyo unayemuita kiongozi wa nchi naye ni mzinzi wa kutupwa, hence wote ni wazinziUko serious kabisaaa unataka kiongozi wa nchi akàjadiri mipango miji na nabii mzinzi kama mwingira
Kuna sehemu flani walimwambia “hatuna nauli”Ndege haziongelewi tena wananchi wanadai haki..
Huyu kalegeaNawatazama kisha nasema h!!!!!!!!!!!!!!...View attachment 1578819
100% correct!!Mwenye ushawishi wa umma yaani anayemiliki umma ndie anaemiliki dola.
kwani Meko anasumbuliwa na nyomi la Upinzani ?Hii ya kumiliki mabosi wa 'Mabaka' haina tofauti na walivonunua wabunge na madiwani, leo hawaamini macho yao.
"Wapinzani wanachakata picha za mikutano ya nyuma" by Meko.
Kwa kuzingatia kauli yake mwenyewe, hizi nyomi za Upinzani zinamnyima usingizi.kwani Meko anasumbuliwa na nyomi la Upinzani ?
@stroke hakika utaishi muda mrefu maana una roho ngumu kama ya kenge![emoji23][emoji23] yaani never say die hadi utoke damu masikioni.Mzee anahaki ya kutumia mfano wowote katika kufundisha watu Wake.
Ila Mamlaka iliyopo sasa imekubalika na ilishapata kibali Mbele za Mungu Rais Magufuli anakwenda kushinda term nyingine,
Tunakwenda kuiona Tanzania ikiimarika zaidi ya sasa.
Cha kusikitisha ni kuwa "nyomi" haijawahi kuwa kigezi cha ushindi:cfs---lyatonga, Ngoyai et ceteraKwa kuzingatia kauli yake mwenyewe, hizi nyomi za Upinzani zinamnyima usingizi.
Hata kama ni wewe mkuu, mtu aliyekuwa branded 'msaliti' kisha akamiminiwa risasi 16 na akawa nje ya nchi kwa miaka almost mitatu kwa matibabu na mikutano yake haina wasanii wala haitumii malori, mabasi wala matela kujaza watu na huku
'WEWE' umejenga Mareli, Madaraja, Mabwawa, Ma airport na Mandege umenunua then anakuzidi wafuasi lazima 'ulegee'.
Bashiru na polepole wanamdanganya eti picha za mikutano ya Tundu Lissu ni za 2015kwani Meko anasumbuliwa na nyomi la Upinzani ?
Yes tunataka haki ya kuishi BASHITE amedhulumu Sana watu wengi haki yao ya kuishi ili tu kumfurahisha MekoNdege haziongelewi tena wananchi wanadai haki, uhuru na maendeleo.
Hapa ndo tunasema watu wengi wapo kimya lkn wana jambo lao moyoniNi katika video clip ambayo inasambaa kwa kasi nchi nzima ktk mitandao ya kijamii instagram, twitter, Whatapp, facebook na Youtube ambapo Askofu huyo Mtumishi Wa Mungu anatanabaisha maajabu yanayotendeka ktk harakati za Lissu.
Nabii na mtume Mwingira anasema Mtu huyu ( Tundu) hajawahi kujenga Reli wala daraja la juu( fly over) lakini tazama jinsi alivyo na wafuasi wengi sana.
Hakika mtu huyu ni Victor(mashindi) na kwamba Mungu yuko ndani yake.
Anasema kutokana na Lissu kuwa competitor na wengine Loosers hivyo hakuna wakumwangusha Lissu na wala hakuna wakumtisha maana ni victor.
Video hii hapa chini.
View attachment 1578769
So Much love to this manUkifikiria kwa jicho la kiroho kama ambavyo Mshana Jr ameshawahi kueleza humu kuwa Lissu sio binadamu tena. Anayejaribu kupamabana naye ajiulize mara mbili mbili.
View attachment 1578779
Anaweza kufanya Uhalifu wowote lakini ajue Mungu keshamkataa, hushangai Anashindwa kuhimili Kampeni kwa siku 5 mfululizo?Magufuli mtu wa Mungu uliletwa uikomboe Tz toka kwa Hawa wenye akili ndogo za kitumwa. Twende kazi jembe!
Upinzani kwa ujumla km watafikisha 20% ya kura uchaguzi huu tutawapa nchi!
Magumashi ni mpango wa pepo mchafuTundu Lissu ni mpango Wa Mungu