Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,265
- 4,735
Nasubiri hoja yako dhidi ya hoja ya 'stroke'Mkuu na wewe unaishi Tanzania hii hii inayopakana na kenya,uganda,burundi,DRC,zambia,malawi na msumbiji au unaishi Tanzania nyingine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasubiri hoja yako dhidi ya hoja ya 'stroke'Mkuu na wewe unaishi Tanzania hii hii inayopakana na kenya,uganda,burundi,DRC,zambia,malawi na msumbiji au unaishi Tanzania nyingine?
Sasa mtu fudenge alivyokua akishiriki kwa hali na mali nyingi kwenye campaign za Lowassa na kumpopoa bashite alikua hachanganyi siasa na dini? Ila kaanza kuzichanganya alivyorudi upande wa pili? Cha msingi nasema watanzania ni wanafiki na wazandiki na huwezi kujiita mpigania haki huku umejaa unafiki.Na Kuna Maaskofu lukuki nao wanaunga mkono juhudi....na ndio hukusanywa kugombea amani na Maendeleo ya Awamu ya Tano....hapa tumeshavurugana na hilibdonds halitapona....Mimi siwezi fuata Kanisa ambalo lilikaa kimya WAKATI WATAWALA WAKIPIGA MARUFUKU KUMUOMBEA TUNDU LISU AKIWA KITANDA CHA MAUTI...HILO KWANGU NI KANISA LA MASHETANI.....!
Na barabara zitadekiwaSanduku la kura lina maajabu! watu watakuimbia, kukubeba na watasukuma hadi gari lako ila kura watapiga kwa chama chao!
Kama risasi 49 hazikufua dafu mwanadamu anayeshindana naye ajue anashindana na Mwenyezi Mungu na kamwe hatafanikiwa.Igwee!
Mtume na nabii mwingira ametoa unabii wake kuhusu uchaguzi huu wa 2020 oktoba, katika moja ya point kubwa aliiyoizungumzia ni kuwa mshindi hawezi kuzuiwa, kama Mungu alimpa ushindi basi atashinda, Japokuwa ametumia kiingereza huku ikitafsiriwa lakini ujumbe huu unaweza kuwa wa kwanza kwa kanisa la kipentekoste hasa makanisa yenye huduma za mtu binafsi.
Karibu usikilize[emoji1370]View attachment 1578719View attachment 1578721
Hoja yake ni ipi hapo?Nasubiri hoja yako dhidi ya hoja ya 'stroke'
Una kazi ngumu sana we mwanamkeAkaunti zake na za kanisa ziangaliwe yaweza kuwa katakatisha pesa za Lisu toka nje at a fee ndio anapiga hizo kelele za kupamba baada ya mzigo wa pesa kuingia
Magufuli anajua alikuwaje rais 2015,ninyi mapoyoyo kazi yenu kupayuka tuSanduku la kura lina maajabu! watu watakuimbia, kukubeba na watasukuma hadi gari lako ila kura watapiga kwa chama chao!
Nabii alitaka watu washirikishwe katika Maendeleo ya Watu mwanzoni kabisa wa utawala wa Awamu ya Tano lakini CCM Mpya Mpya mlikuwa wabishi
23 January 2019 angalizo la Nabii Mwingira juu ya CCM Mpya alivyoiona jinsi ilipoanza safari kwa kutumia 'mguu usio sahihi' hapo 2016 na hivyo Nabii Josephat Mwingira alisema haya kama ushauri :
MANENO MAGUMU ALIYOAMBIWA RAIS MAGUFULI NA NABII MWINGIRA
Hatuhitaji gazeti, ... bali kila neno litokalo kwa bwana!''Askofu Mwingira'' aliwahi kutuambia kuwa Lazaro Nyalandu atakuwa Rais wa Tanzania mwaka 2015!
Kauli kama hizi za 'Wachungaji, Maaskofu na Manabii'' tumezisikia sana na tuna kumbukumbu nazo hizi;
“Raisi ajae wa Tanzania ni Lowassa licha ya kuwa baadhi ya watu wamepanga mambo mabaya dhidi yake. Aidha alisema kwamba Mungu alimwambia awaambie wana CCM kuwa amemtuma yeye (Askofu Komanya) aseme kuwa Mungu ndiye aliyemchagua Lowassa” (Chanzo: Gazeti la Jambo Leo la tarehe 21/03/2014 siku ya Ijumaa).
Kwa Mtanzania yeyote aliye na hulka na tabia ya kuheshimu na kuamini viongozi wa dini anajenga imani ya dhati kwamba Mheshimiwa Lowassa ni lazima atakuwa Raisi wa Tanzania tu kwani hayo sio mawazo ya wanaadamu bali ni maono yaliyotoka kwa Mwenye ezi Mungu.
Pamoja na kuaminishwa hivyo na Askofu Komanya, Watanzania pia walipokea “maono” mengine kutoka kwa Nabii Josephat Mwingira wa Huduma ya EFATHA.
“Siku chache baada ya kutangaza kujitosa rasmi kuwania ukuu wa dola (uraisi), Waziri wa Maliasili na Utalii, Mheshimiwa Lazaro Nyalandu aliadhimisha sherehe za mwaka mpya wa 2015 katika Kanisa la EFATHA huku Mchungaji wa Kanisa hilo Josephat Mwingira alimtabiria ushindi wa safari yake aliyoianza.
Zaidi Mchungaji Mwingira alisema neno hilo ni la kinabii na kusisitiza hakuna wa kumzuia Nyalandu kwa sababu ukuu umeamriwa juu yake. Mwingira ambaye alisema neno hilo limetoka kwa Bwana alisisitiza kuwa vikwazo juu ya Nyalandu havitakuwepo tena” (Chanzo: Gazeti la Mtanzania la tarehe 02/01/2015 ukurasa wa tatu).
Pamoja na maono hayo kuonekana yanapingana juu ya ni nani haswa ndiye atakuwa Raisi wetu katika awamu ya tano.
Kwa sasa tunajua hatma ya maono yao ya mwaka 2015 lakini kwa kushangaa wameanza tena kuja na kile wanachodai ''maono'' kutoka kwa Mungu!
Tanzania kuna vituko!
Ana hakiMzee anahaki ya kutumia mfano wowote katika kufundisha watu Wake.
Ila Mamlaka iliyopo sasa imekubalika na ilishapata kibali Mbele za Mungu Rais Magufuli anakwenda kushinda term nyingine,
Tunakwenda kuiona Tanzania ikiimarika zaidi ya sasa.
Mchungaji ameamua kuchukua nafasi ya Bwana Kakobe na Tapeli Gwajima kwa kutoa support yake kwa upinzani.Ni katika video clip ambayo inasambaa kwa kasi nchi nzima ktk mitandao ya kijamii instagram, twitter, Whatapp, facebook na Youtube ambapo Askofu huyo Mtumishi Wa Mungu anatanabaisha maajabu yanayotendeka ktk harakati za Lissu.
Nabii na mtume Mwingira anasema Mtu huyu ( Tundu) hajawahi kujenga Reli wala daraja la juu( fly over) lakini tazama jinsi alivyo na wafuasi wengi sana.
Hakika mtu huyu ni Victor(mashindi) na kwamba Mungu yuko ndani yake.
Anasema kutokana na Lissu kuwa competitor na wengine Loosers hivyo hakuna wakumwangusha Lissu na wala hakuna wakumtisha maana ni victor.
Video hii hapa chini.
View attachment 1578769
Kwani Magufuli amebomoa nyumba ngapi Mbezi lakini raia hawajasurrender, hilo kanisa halitakuwa la Kwanza kubomolewa.Lile kanisa lipo kwenye hifadhi ya barabara pale Mwenge
Hii ya kumiliki mabosi wa 'Mabaka' haina tofauti na walivonunua wabunge na madiwani, leo hawaamini macho yao.Hata ukiongea na mabaka wa chini wanawalaumu wananchi uoga wao ndio kikwazo Chao pa kuanzia,so siku akiingiza mabaka ndipo atapoona Moto ukimuwakia.Anadhani kuwamiliki mabosi zao ndio kuwamiliki wote,wanamchora tu.
Unamaanisha Magufuli kinaweza kumkuta kilichomkuta Rais wa mali bwana Keita ?Hata ukiongea na mabaka wa chini wanawalaumu wananchi uoga wao ndio kikwazo Chao pa kuanzia,so siku akiingiza mabaka ndipo atapoona Moto ukimuwakia.Anadhani kuwamiliki mabosi zao ndio kuwamiliki wote,wanamchora tu.
Naamini wengi tuliom support Magufuli mwaka 2015, kwa sasa tumeamua kutompa support yetuNasikitika sana, nilimpigia kura yangu pale mwanzo.
Ni kati ya makosa makubwa niliyoyafanya hapa duniani.
Kumjali mtu asiyejali watu. Wacha mawe yampigie kura.
Mabaka hawawezi anza Hadi waanzishiwe wakianza kesi za uhaini zitawahusuUnamaanisha Magufuli kinaweza kumkuta kilichomkuta Rais wa mali bwana Keita ?