Uchaguzi 2020 Askofu Mwingira: Lissu ni mshindi, hajajenga flyover wala reli. Watu wanamfuata

Uchaguzi 2020 Askofu Mwingira: Lissu ni mshindi, hajajenga flyover wala reli. Watu wanamfuata

Wachungaji wa siku hizi sijui wamekuwaje, anajua madhara na faida ya kile anachokiongea kweli huyu?
Eti hajajenga reli na flyover, anampiga dongo JPM wazi wazi kwa miradi inayomtambulisha, ngoja tusubili kwenda kufugia kuku kwenye jengo la kanisa lake pale Mwenge.
 
Cha kusikitisha ni kuwa "nyomi" haijawahi kuwa kigezi cha ushindi:cfs---lyatonga, Ngoyai et cetera
Unadhani Meko hajui hizi historia za Mrema, Slaa na Ngoyai?

Anajua the truth behind votes ndio maana yuko so obsessed na 'nyomi' za upinzani.
 
Wachungaji wa siku hizi sijui wamekuwaje, anajua madhara na faida ya kile anachokiongea kweli huyu?
Eti hajajenga reli na flyover, anampiga dongo JPM wazi wazi kwa miradi inayomtambulisha, ngoja tusubili kwenda kufugia kuku kwenye jengo la kanisa lake pale Mwenge.
Shetani hajawahi mshinda Mungu cc Erythrocyte
 
the man has spiritual power within...ni unabii umetendeke kwa Lissu.
 
Mtume na nabii Mwingira ametoa unabii wake kuhusu Uchaguzi huu wa 2020 Oktoba.

Moja ya pointi kubwa aliyoizungumzia ni kuwa mshindi hawezi kuzuiwa, kama Mungu alimpa ushindi basi atashinda.

Japokuwa ametumia kiingereza huku ikitafsiriwa lakini ujumbe huu unaweza kuwa wa kwanza kwa Kanisa la Kipentekoste hasa makanisa yenye huduma za mtu binafsi.

View attachment 1578719
View attachment 1578721


Mungu akimchagua mtu, hakuna mwanadamu anayeweza kumwangamiza. Halafu mtu akichaguliwa na Mungu lazima atafanyiwa kila aina ya ubaya kutaka kumwangamiza. Sauli aliyekuwa mfalme alianza kumuwinda Daudi kwa kutumia majeshi yake na mara kadha Sauli alimkosa Daudi kwa kumrushia mkuki na kumpiga mshale.

Hata Yusufu kwa kuwa alichaguliwa na Mungu ndugu zake walimtupa kwenye shimo refu lakini Mungu alimuokoa hivyo akamfanya kuwa waziri wa Misri. Danieli alitupwa kwenye tundu la simba wenye njaa ila Mungu alimlinda akatoka salama na akawa kiongozi mkuu katika nchi ya Babeli. Mtu akichaguliwa na Mungu hawezi kuzuiliwa na mwanadamu
 
Mzee wangu Mwingira hajifunzi, 2015 alimbeza na kumtukana JPM na bado alishinda.

Nyuma ya pazia huyu mzee anaongozwa na ukabila wa mkewe mambo ya uchagani, wachaga wengi walikuwa wezi, njia za wizi zimebanwa, kujipendelea kazi nako siku hizi imekua ngumu so wamechanganyikiwa. Dkt Magufuli ndiye rais wetu atake asitake!

Mungu akimchagua mtu, hakuna mwanadamu anayeweza kumwangamiza. Halafu mtu akichaguliwa na Mungu lazima atafanyiwa kila aina ya ubaya kutaka kumwangamiza. Sauli aliyekuwa mfalme alianza kumuwinda Daudi kwa kutumia majeshi yake na mara kadha Sauli alimkosa Daudi kwa kumrushia mkuki na kumpiga mshale.

Hata Yusufu kwa kuwa alichaguliwa na Mungu ndugu zake walimtupa kwenye shimo refu lakini Mungu alimuokoa hivyo akamfanya kuwa waziri wa Misri. Danieli alitupwa kwenye tundu la simba wenye njaa ila Mungu alimlinda akatoka salama na akawa kiongozi mkuu katika nchi ya Babeli. Mtu akichaguliwa na Mungu hawezi kuzuiliwa na mwanadamu
 
Wachungaji wa siku hizi sijui wamekuwaje, anajua madhara na faida ya kile anachokiongea kweli huyu?
Eti hajajenga reli na flyover, anampiga dongo JPM wazi wazi kwa miradi inayomtambulisha, ngoja tusubili kwenda kufugia kuku kwenye jengo la kanisa lake pale Mwenge.
ngoja tuone
 
Naona Mwingira hajajifunza kwa akina Gwajima na Kakobe. Pole sana askofu.
 
Mzee wangu Mwingira hajifunzi, 2015 alimbeza na kumtukana JPM na bado alishinda.

Nyuma ya pazia huyu mzee anaongozwa na ukabila wa mkewe mambo ya uchagani, wachaga wengi walikuwa wezi, njia za wizi zimebanwa, kujipendelea kazi nako siku hizi imekua ngumu so wamechanganyikiwa. Dkt Magufuli ndiye rais wetu atake asitake!
Sasa hapa wachaga wa watu wanatokea wapi.
Au kwa kuwa wachaga ni kabila LA watu waliofanikiwa sana ndo mana chuki
 
Wakuu, kuna Sauti zimeanza kuongezeka hadharani Kwa sasahivi, watu wanaopasa Sauti wameanza kuongezeka na Jana ameunga tella Mchungaji mwiingira.

Akiwa kanisani kwake Jana mahubiri yalikuwa ni juuu Ya ushindi wa lisu anahoji kuwa mtu ulieshindwa kumuua Kwa risasi 16 utamshindaje kwenye kura? Unajua kiukweli lisu anaenda kushinda Uchaguzi huuu kimzaha mzaha hivi hivi lisu anaenda kuwa mshindi na hata huo wizi unaopangwa utayeyuka Kama risasi zilivyo yeyuka
 
Back
Top Bottom