Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kwa mujibu wa mwananzengosio kweli,unataka kuniambia anazitafuna sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mujibu wa mwananzengosio kweli,unataka kuniambia anazitafuna sana
Na wewe unaamini serikali haijabaini?Mmeamua kuimba pambio sasa 😂
Ila hamna majibu kuhusu udhaifu wa intelligent ya nchi maana hadi leo hamjabaini ni nani alimimina hizo risasi 30.
Hii ni tz 😂😂
Nafikira huyu alimwomba Mungu anwombaje?Vipi? -Umeshaanza kuutamani Utume na Unabii?
...Tafuta connection!
Hapo kwenye hofu mzee umepatia sana. Yaani watu walijawa na hofu sana hasa watumishi wa umma.Hakika zama zile zilikuwa ni zama za ujinga. Zama ambazo kila mtu alijawa hofu. Hakika ni zama ambazo sijui vijukuu vyetu tutakuja kuwaeleza nini pale watakapohoji, ilikuwaje mtu mmoja akawa ndiyo Sheria, ndiyo judge ndiye mtoa mahubiri siku za ibaada??
Kwa ulitaka awe na furaha? hayajakukuta wewe yakikukuta rudi hapa uandike tenaAna hasira sana baada ya kale kabenk kake uchwara kufilisiwa!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hata hapa JF walishtakiwa na kutaka kufungwa au umesahau? naona umeamua kujitoa akili kabisa kutetea ujingaMaoni gani ulinyimwa uhuru wa kuyatoa?
Atakuja kukuzalishia mkeo haraka sana we msifie tuUnajua mijitu yenye roho mbaya lakini inavaa ngozi za kondoo, mijitu inayojitamba kuwa yenyewe ni mijoka inayojivua gamba tu siku baada ya siku ,hiyo ni mijitu miovu sana maana nyoka ni shetani, hivyo wananchi tusinyamaze bali tuungane na wenzetu ambao MWENYEZI MUNGU amewapatia ubavu wa kusema,
Tusiwe mazombi basi hata mitandao iwe ina burst kwa kutoa hoja zenye kuwaunga mkono wenzetu hao.
Achana na 4,5,6 hakuna kitu humo nje kijani ndani kumejaa damu za wahanga, ujanja wa tikitimaji.
Kwani c.si,em mnazalishianaga mbona pambio mnapigiana sana,Atakuja kukuzalishia mkeo haraka sana we msifie tu
Viva mwingira,Si tutaongeza Watanzania
Kuna uwezekano "deep state" waliona magu ni aina gani wakaamua kum fix kabla hali haijaendelea kuwa mbaya.Atakuja kukuzalishia mkeo haraka sana we msifie tu
Katiba mpya/bora ndio dawa ya ushetani na uholela wenu huu. Yaonekana mlikuwa mnafaidika nao sana.Sheria na demokrasia ni mali ya waerevu na sio primitive society...Taifa letu bado liko kwenye Primitive stage...
Wapumbavu wapo kila mahala, na ukifuata sheria basi huwezi kutoa hukumu sahihi dhidi ya wapumbavu..
Ukishakuwa na file la mtu fulani na matendo yake mabaya kwa Taifa ni kutoa amri ashughulikiwe, tukiwamaliza hawa basi upumbavu utakuwa umeisha na waerevu watakaobaki watatungiwa sheria na kupewa demokrasia waifuate...Stage hii imepitiwa na mataifa yote tunayoyaita yameendelea..
Limenifikirisha sana lile swala.la malori ya mafuta kupakia weapons as if ni mafuta kuelekea DRC, yaani vitu vya ajabu sana, damu za watu za nje mpaka.za ndani, ndio nikaelewa yule mrefu mwembamba kama msomari somari hivi urafiki ulikuwa mkubwa sana kwa nn,ila MUNGU, acha aitwe MUNGU,Kuna uwezekano "deep state" waliona magu ni aina gani wakaamua kum fix kabla hali haijaendelea kuwa mbaya.
Tatizo lenu mafisadi ni ubwanyenyeUNLESS KAMA NA WEWE NI MMOJA KATI YA WAUAJI. ALIYO YAONGEA MWINGIRA YANATAFAKARISHA SANA KAMA MTU UNA MACHO YA KUANGALIA MUSTAKABALI WA TAIFA HILI.
Kijitu kama hiki utakuta ni cha buku saba tuu pale Lumumba na kina shida kimejaa vumbi mwili mzimaSheria na demokrasia ni mali ya waerevu na sio primitive society...Taifa letu bado liko kwenye Primitive stage...
Wapumbavu wapo kila mahala, na ukifuata sheria basi huwezi kutoa hukumu sahihi dhidi ya wapumbavu..
Ukishakuwa na file la mtu fulani na matendo yake mabaya kwa Taifa ni kutoa amri ashughulikiwe, tukiwamaliza hawa basi upumbavu utakuwa umeisha na waerevu watakaobaki watatungiwa sheria na kupewa demokrasia waifuate...Stage hii imepitiwa na mataifa yote tunayoyaita yameendelea..
Na hao ndio wanadamu hawana dogo wala hawana jema!!!!!!Enzi za Jakaya umelia na mkamuita dhaifu, enzi ya Magu umemtukana, na bado mnapambana na mfu na sasa kwa Mamá nako mmeanza kumdhihaki
Sasa Raisi gani kwenu aliwahi kuwa mzuri mkamfurahia!????