Elections 2015 Askofu Mwingira: "Rais wa awamu ya tano siyo katoliki wala uislam"

Kama Ponda, lakini akisema askofu walaa sio uchochezi.
ni mola pekee ndiyo mwenye uwezo wa kujua nini kitatokea kesho wala sio binadamu yeyote,hao watabiri wamekutana na watu wajinga na wanawapa ujinga,na wao wanaamini ujinga.
Mwenye akili anamtumaini mungu tu kwa kila kitu.
 

lowasa hawezi kupita mkuu.......
 

Ataa waislamu sina kuna madhehebu .mfano dhehebu kubwa la waislam Tanzania ni sunni el shafii..inafuata answar suna.ithinashari.shia el jamaa.na mengine mengi.
 
Dr Slaa alisema maaskofu wamenunuliwa na Lowassa mkataka ushahidi..haya ushahidi ndi huu sijui mnataka nini kingine...Na ndugu zangu wa chadema mkiitwa ni chama cha wakristo sijui bado mtakataa.

Hapa ni UKAWA tu mpaka kieleweke .......!! Waislam wanalia mfumo Kristo wa CCM. Wewe unadai CDM chama cha Kikristo then what ..... Mabadiliko ni muhimu sana Tanzania ili kila mtu ajisikie ni Mtanzania kama Watanzania, ili Watanzania wengine wasiwaone wenzao ni Wapumbavu na Malofa!!!
 
Hivi idadi ya hawa walokole na waprotestant wapo wangapi nchini? Kwa upande wangu naamini Waislam na Wakatoliki ndo wengi zaidi
Ukiona mtu kaandika kwa mwelekeo wa ushabiki wa kidini puuza, kwani amani yetu ni bora kuliko magufuri na ni bora kuliko lowasa, baada ya oct awe ni magufuli kashnda au ni lowasa basi yeyote kati yao atakuwa ni raisi wako tu.

Acheni udini
 

Mwenyezi na aamue kwa haki.Kwa wanachofanya ccm,nawafananisha na utawala wa Sauli.Ee Mwenyezi,mapenzi yako yafanyike!
 
Mwingira tapeli tu hana lolote ni nabii wa uongo pamoja na gwajima wake miujiza feki ya kishetani na tabiri za uongo namfahamu vizuri mme wangu tangu aingie kusali efata ndo kawa mbaya kuliko. Kawa na tabia mbaya mpaka basi

Mmh? Kweli?? Au chuki binafsi
 
usijaribu kupuuza maneno ya watu wa Mungu .

mkuu unamahaba na lowasa mpaka unaumwa???
Kulingana na maandiko ya biblia hao wanajiita manabii hao ndio wale wa uwongo. Utawatambua hata kwa matendo yao. Wameacha kaz yao sasa wamejikita kuchonganisha watu
 
lowasa hawezi kupita mkuu.......

We we unasema kama nani !!??maana sisi tunasema Lowasa kwani niaba ya wapumbavu na malofa wote Tanzania .nakama unavujua tena wapumbavu na malofa ni asilimia 90 ya watanzania.wewe unapata wapi kiburi chakusema !!??
 
Why awataje waislam wakati wagombea wawili powerful hakuna muislam?
halafu ana wa group waisla na wakatoliki kundi moja...why?

Na why washabiki wa Lowassa wanaamini Lowassa ni mlokole wakati yeye anasema ni mlutheri?

Kuna watu wanna Amini kuwa Ikulu ...rais lazima awe mkristo mkatoliki au Muislamu Sunni ..ndio theory ninazosikia Mitaaani

Mimi nitafurahi kuwa tusiangalie dini ...dhehebu Kabila ..wala nini ...
 
Why awataje waislam wakati wagombea wawili powerful hakuna muislam?
halafu ana wa group waisla na wakatoliki kundi moja...why?

Na why washabiki wa Lowassa wanaamini Lowassa ni mlokole wakati yeye anasema ni mlutheri?

Hahahaaaaa inaonekana unajuta sana kumsikiliza Mwingira.
Ndo hivo yeye kafundisha biblia hatangazi siasa wala kampeni hapo.
 
Kuna watu wanna Amini kuwa Ikulu ...rais lazima awe mkristo mkatoliki au Muislamu Sunni ..ndio theory ninazosikia Mitaaani

Mimi nitafurahi kuwa tusiangalie dini ...dhehebu Kabila ..wala nini ...

Ni kweli mkuu hata mimi hizi theory nimesikia sana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…