ATCL, Reli ya Kati, TAZARA na SGR tuwape wanaoweza kuendesha kwa ufanisi mapema kabla ya kuumizwa

ATCL, Reli ya Kati, TAZARA na SGR tuwape wanaoweza kuendesha kwa ufanisi mapema kabla ya kuumizwa

Wewe Kwa akili Yako unategemea hayo kukisekana kwenye public institution? DART inapata faida?

Mwisho,Kwa taarifa Yako tuu reli haiwezi pata faida Kwa kutegemea abiria tofauti na mzigo.

Na Kwa position ya Mwanza unadhani Kila kitu wanafuata au kuuza Dar wakati wako jirani na Uganda,Kenya na Nchi nyingine?

Masisitiza hakuna mzigo wa kuleta faida kwenye Sgr ,elewa Hilo maana 70% ya mzigo wa Dar Port unaenda DRC na Zambia ,1.5mln Rwanda Sasa huko Mwanza na Kigoma Kuna kipi Cha kubeba?

Yaani badala ya kufanya upembuzi yakinifu wa kibiashara nyie mlikuwa mnafanya maamuzi ya kujenga sgr Kwa hisia,ngoja muone moto kwanza ndio akili zitawajia.
Acha uongo na upotoshaji, kama mabasi yanapata faida kwa kupakia abiria na kila siku wafanyabiashara wanaongeza mabasi kwa nini reli isipate faida??

Tunahitaji reli kwa ajili ya abiria na mizigo na vyote vina faida kama reli itaendeshwa kwa ufanisi.
 
Wanaoweza.
Shida ni kuwa wewe unawaza wapewe waarabu kwa kufikiria kidini zaidi.
Lakini nakuambia nchi hii sasa hivi inao watu capable wa kuendesha kila kitu wenyewe ili mradi CCM isiwepo kabisa katika usimamizi wa lolote.
CCM ndio Chanzo Cha Matatizo.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Acha uongo na upotoshaji, kama mabasi yanapata faida kwa kupakia abiria na kila siku wafanyabiashara wanaongeza mabasi kwa nini reli isipate faida??

Tunahitaji reli kwa ajili ya abiria na mizigo na vyote vina faida kama reli itaendeshwa kwa ufanisi.
Huna akili, gharama za Kuendesha Mabasi ni sawa na treni? Treni Inavutia behewa ngapi?

DART Ina njia yake,vipi wanapata faida? Kwani daladala za Dad hazipati faida?

Kwa taarifa Yako tuu subiria lugha kuja kubadilika kwamba Sgr ni Huduma ya Umma baada ya hasara kuanza kujidabo 😆😆😆

Kama huwezi jifunza Tazara kajifunze Kenya na Ethiopia
 
Huna akili, gharama za Kuendesha Mabasi ni sawa na treni? Treni Inavutia behewa ngapi?

DART Ina njia yake,vipi wanapata faida? Kwani daladala za Dad hazipati faida?

Kwa taarifa Yako tuu subiria lugha kuja kubadilika kwamba Sgr ni Huduma ya Umma baada ya hasara kuanza kujidabo [emoji38][emoji38][emoji38]

Kama huwezi jifunza Tazara kajifunze Kenya na Ethiopia
Amtrak ya Marekani na treni nyingi za Japan biashara kubwa zaidi wanayofanya na inayowaingizia mapato ni abiria.
Bullets train za China ni kwa ajili ya abiria zaidi.
 
Amtrak ya Marekani na treni nyingi za Japan biashara kubwa zaidi wanayofanya na inayowaingizia mapato ni abiria.
Bullets train za China ni kwa ajili ya abiria zaidi.
Huku ni Marekani? Perchasing power ni sawa? Kwani hujui kusafiri Kwa Tanzania ni sababu ya matatizo na sio leisure na Utalii?

Muwe mnajielimisha kuliko kufanya uamzi Kwa kutegemea hisia na stori za kuambiwa.

Mwisho hata England na Ulaya yote kiujumla ikiwemo huko Marekani Kila aina ya michezo Huwa inajaza watu viwanjani,nyie huku mnasubiria Yanga na Simba Sasa usije wekeza kwenye viwanja ulitegemea vitakulipa.
 
Ungekuwa si mjinga leo hii wewe usingeshindwa kuiendesha bandari.

kapewa nani vile aiendeshe?
Bandari kuna Ujinga na ujuaji wa kipumbavu kudhani waarabu wanaweza wakati tatizo ni usimamizi, hizi si zama za kuteua watu.. kuna shida gani kutangaza hizo kazi za usimamizi wa bandari watu waombe na washindane kwa uwezo? Wewe hujui hili au unajitoa ufahamu kupima kiwqngo cha ujinga wako..
 
Huku ni Marekani? Perchasing power ni sawa? Kwani hujui kusafiri Kwa Tanzania ni sababu ya matatizo na sio leisure na Utalii?

Muwe mnajielimisha kuliko kufanya uamzi Kwa kutegemea hisia na stori za kuambiwa.

Mwisho hata England na Ulaya yote kiujumla ikiwemo huko Marekani Kila aina ya michezo Huwa inajaza watu viwanjani,nyie huku mnasubiria Yanga na Simba Sasa usije wekeza kwenye viwanja ulitegemea vitakulipa.
Tanzania ina maelfu ya wanafunzi wanasafiri kila mara na huwa wanahangaika sana kupata usafiri, watu wa Kaskazini kila mwisho wa mwaka huwa wanahangaika sana na usafiri, kila siku kuna wafanyabiashara wanasafiri kwenda Dar na kutoka Dar. Hawa wote ni biashara kubwa sana kwa usafiri wa reli kama reli itafanya kazi kwa ufanisi.

Sekta ya usifirishaji ni mojawapo ya Sekta kubwa sana za kiuchumi nchi hii na inakuwa kwa kasi, ndio maana kila siku unaona watu wanashindana kuingiza magari mapya sokoni.
 
Bandari kuna Ujinga na ujuaji wa kipumbavu kudhani waarabu wanaweza wakati tatizo ni usimamizi, hizi si zama za kuteua watu.. kuna shida gani kutangaza hizo kazi za usimamizi wa bandari watu waombe na washindane kwa uwezo? Wewe hujui hili au unajitoa ufahamu kupima kiwqngo cha ujinga wako..
Wewe Kwa akili Yako fupi Watanzania wamewahi faulu Kusimamia nini?

Magufuli aliweka Wanajeshi na tiss bandarini Hadi Merelani ,ulaji ulipungua? Merelani si ndiko walichomba shimo chini la kutorosha? Hao wanafanya hao ni Waarabu?

Wewe ndio mpumbavu unashindwa kuelewa kwamba Mali ya Umma ni shamba la bibi hakuna anseweza kushupalia Kulinda kama Mali yake na ukishupaa unauwawa au kupigwa chini au mizengwe.

Suluhisho ni private sector ,hakuna vimemo hapo
 
Huku ni Marekani? Perchasing power ni sawa? Kwani hujui kusafiri Kwa Tanzania ni sababu ya matatizo na sio leisure na Utalii?

Muwe mnajielimisha kuliko kufanya uamzi Kwa kutegemea hisia na stori za kuambiwa.

Mwisho hata England na Ulaya yote kiujumla ikiwemo huko Marekani Kila aina ya michezo Huwa inajaza watu viwanjani,nyie huku mnasubiria Yanga na Simba Sasa usije wekeza kwenye viwanja ulitegemea vitakulipa.
Hata posta ya Tanzania imedumaa kwa sababu ya ukosefu wa huduma bora za treni.
Posta inaendana na huduma za treni zaidi.
 
Huku ni Marekani? Perchasing power ni sawa? Kwani hujui kusafiri Kwa Tanzania ni sababu ya matatizo na sio leisure na Utalii?

Muwe mnajielimisha kuliko kufanya uamzi Kwa kutegemea hisia na stori za kuambiwa.

Mwisho hata England na Ulaya yote kiujumla ikiwemo huko Marekani Kila aina ya michezo Huwa inajaza watu viwanjani,nyie huku mnasubiria Yanga na Simba Sasa usije wekeza kwenye viwanja ulitegemea vitakulipa.
Uliza mabus mangapi yanatoka Dar kwenda Mwanza kila siku..tatizo ni usimamizi, popote pale usafiri wa treni kwa safari umbali mrefu ni bora zaid kuliko mabus.
 
Wewe unataka sisi tupandishe jazba tuharibu swaum zetu sio? Nani asiyejua mashirika yanakufa sababu serikali ya CCM imeshindwa kusimamia rasilimali za wananchi, wao wenyewe ndio wa kwanza kuchota fedha kutoka kwenye hayo mashirika. Leo NHIF ni kwikwi tu, huko kwenye ndege na reli nako ni balaa tupu. Ukweli hapa watanzania wameajiri fisi alinde bucha.
Kiongozi anaeshinda uchaguzi kwa kura za mchongo hawezi kuleta maendeleo, yuko hapo kwa maslahi yake binafsi.
Tuendelee tu kuandika topic za kusifia sifia viongozi.
 
Uliza mabus mangapi yanatoka Dar kwenda Mwanza kila siku..tatizo ni usimamizi, popote pale usafiri wa treni kwa safari umbali mrefu ni bora zaid kuliko mabus.
Wewe ni mjinga sana ,Kwa hiyo treni Zina Vituo vingi kama Mabasi? Nimekuuliza Kwa nini Mwendokasi haipati faida hujanijibu.
 
Wewe Kwa akili Yako fupi Watanzania wamewahi faulu Kusimamia nini?

Magufuli aliweka Wanajeshi na tiss bandarini Hadi Merelani ,ulaji ulipungua? Merelani si ndiko walichomba shimo chini la kutorosha? Hao wanafanya hao ni Waarabu?

Wewe ndio mpumbavu unashindwa kuelewa kwamba Mali ya Umma ni shamba la bibi hakuna anseweza kushupalia Kulinda kama Mali yake na ukishupaa unauwawa au kupigwa chini au mizengwe.

Suluhisho ni private sector ,hakuna vimemo hapo
Tangaza kazi watu waombe washindanishwe, Acha kuteua kupeana ulaji..hujasikia tu???
 
Kwa hiyo shirika la umma kazi hazitangazwi...
Bodi zinatangaza hizo kazi vizuri tuu lakini hakuna jipya kwa sababu muundo wa Mashirika sio huru kuwezesha biashara.

Yanatakiwa kuwa pure private entity na Serikali iwe na hisa tuu ikishbiria gawio sio kuingilia maamuzi Kisiasa.
 
Back
Top Bottom