ATCL, Reli ya Kati, TAZARA na SGR tuwape wanaoweza kuendesha kwa ufanisi mapema kabla ya kuumizwa

ATCL, Reli ya Kati, TAZARA na SGR tuwape wanaoweza kuendesha kwa ufanisi mapema kabla ya kuumizwa

Kuwawachia Watanzania waendeshe nashirika hayo makubwa ni ujinga uliokithiri.

Hivi hatuelewi mashirika hayo yaliuliwa na kina nani mpaka kuwa chali?

Tumeona mwendokasi imetushinda kuendesha na sio kwa mara ya kwanza.

ATC tuliiuwa na sasa ipo njiani kuuliwa tena.

Reli ya kati na TAZARA hatujajifunza tu? Sasa tunarudia makosa yaleyale, tunawakabidhi SGR wauwaji.

Hivi lini tutapata akili?
Mashirika yetu hayauwawi na wala hayakuuwawa na CEOs. Yanauwawa na Viongozi wetu tuliowachagua. Fedha za mashirika zinachukuliwa kuimarisha chama, kuhonga uchaguzi, posho, kuinvest kwenye miradi ya kifisadi, ufisadi nk. Ilitakiwa nchi yetu ibadilishwe katiba ili mwizi wa fedha za Umma hasa viongozi wa juu kuanzia Rais,mawaziri nk wapigwe risasi hadharani kama hukumu.
Tumechoka na uwongo huu.
Ukitaka kujua ninachosema, nenda Namibia na Botswana ukutane na MaCEOs wa Kitanzania walivyo waaminifu na wapiga kazi!!
Kila Kiongozi anayeingia madarakani ananunua media kumsifia ananunua makunfi ya watu kupiga sound siku hizi wanaitwa chawa nk. Ila uhalisia kiasi tunauona kwenye ripoti za kina Kichere na wengine.
Kuna mtu anaitwa Kadogosa alituaminisha alichokuwa akisema Dr. Magufuli kuwa tunajenga SGR yetu kwa fedha zetu na tutaiendesha wenyewe. Ameingia Mama yetu Samia,hoja zimegeuka kuwa ni mikopo. Na isitoshe majuzi hapa kaanda kongamano kutafuta ushauri namna ya kuiendesha SGR. Leo nasikia Mwarabu kapatikana wa kuiendesha. Kadogosa aliyetudanganya bado yupo na anadunda!!!.
 
Mashirika yetu hayauwawi na wala hayakuuwawa na CEOs. Yanauwawa na Viongozi wetu tuliowachagua. Fedha za mashirika zinachukuliwa kuimarisha chama, kuhonga uchaguzi, posho, kuinvest kwenye miradi ya kifisadi, ufisadi nk. Ilitakiwa nchi yetu ibadilishwe katiba ili mwizi wa fedha za Umma hasa viongozi wa juu kuanzia Rais,mawaziri nk wapigwe risasi hadharani kama hukumu.
Tumechoka na uwongo huu.
Ukitaka kujua ninachosema, nenda Namibia na Botswana ukutane na MaCEOs wa Kitanzania walivyo waaminifu na wapiga kazi!!
Kila Kiongozi anayeingia madarakani ananunua media kumsifia ananunua makunfi ya watu kupiga sound siku hizi wanaitwa chawa nk. Ila uhalisia kiasi tunauona kwenye ripoti za kina Kichere na wengine.
Kuna mtu anaitwa Kadogosa alituaminisha alichokuwa akisema Dr. Magufuli kuwa tunajenga SGR yetu kwa fedha zetu na tutaiendesha wenyewe. Ameingia Mama yetu Samia,hoja zimegeuka kuwa ni mikopo. Na isitoshe majuzi hapa kaanda kongamano kutafuta ushauri namna ya kuiendesha SGR. Leo nasikia Mwarabu kapatikana wa kuiendesha. Kadogosa aliyetudanganya bado yupo na anadunda!!!.

Yanuwawa na kila mfanyakazi.

Ujinga wa Mtanzania ndiyon
unaua kila shirika.

Unategemea nini kwa wananchi wansotegemea uchawi zaidi ya kazi zao?

Wawache kina Mo watutawale.
 
Bodi zinatangaza hizo kazi vizuri tuu lakini hakuna jipya kwa sababu muundo wa Mashirika sio huru kuwezesha biashara.

Yanatakiwa kuwa pure private entity na Serikali iwe na hisa tuu ikishbiria gawio sio kuingilia maamuzi Kisiasa.
Nafasi za CEO na bodi members kwa bandari, ttcl, atcl zilitangazwa?
 
Mashirika yetu hayauwawi na wala hayakuuwawa na CEOs. Yanauwawa na Viongozi wetu tuliowachagua. Fedha za mashirika zinachukuliwa kuimarisha chama, kuhonga uchaguzi, posho, kuinvest kwenye miradi ya kifisadi, ufisadi nk. Ilitakiwa nchi yetu ibadilishwe katiba ili mwizi wa fedha za Umma hasa viongozi wa juu kuanzia Rais,mawaziri nk wapigwe risasi hadharani kama hukumu.
Tumechoka na uwongo huu.
Ukitaka kujua ninachosema, nenda Namibia na Botswana ukutane na MaCEOs wa Kitanzania walivyo waaminifu na wapiga kazi!!
Kila Kiongozi anayeingia madarakani ananunua media kumsifia ananunua makunfi ya watu kupiga sound siku hizi wanaitwa chawa nk. Ila uhalisia kiasi tunauona kwenye ripoti za kina Kichere na wengine.
Kuna mtu anaitwa Kadogosa alituaminisha alichokuwa akisema Dr. Magufuli kuwa tunajenga SGR yetu kwa fedha zetu na tutaiendesha wenyewe. Ameingia Mama yetu Samia,hoja zimegeuka kuwa ni mikopo. Na isitoshe majuzi hapa kaanda kongamano kutafuta ushauri namna ya kuiendesha SGR. Leo nasikia Mwarabu kapatikana wa kuiendesha. Kadogosa aliyetudanganya bado yupo na anadunda!!!.
Bodi na CEO wa shirika waliopatikana kwa kuomba hizo kazi hawawezi kuruhusu ujinga wa aina hiyo! Mnazunguka kutafuta mchawi wakati mchawi anajulikana..ndio maana ya kutaka katiba mpya ili tupigie mstari mambo haya ya kuteua teua watu ovyo bila mipaka, uwezo hawana, ni wezi wakishirikiana na waliowapa uteuzi..mambo ya namna hii yafike mwisho! Mtu aliyeomba nafasi akiiba anajua fika atafia jela!
 
Mnakuwa na mkaguzi CAG kazi yake ni kuonyesha kasoro tu, nini chanzo cha kasoro hasemi, kasoro irekebishweje hasemi..bora huyo mkaguzi asiwepo kabisa tuone namna nyingine inayoweza kutoa majibu ya mapungufu yaliyopo taifa lisonge mbele.
 
LATRA kuna WASOMI wabobezi wa usafirishaji na uchumi, wakishirikiana na NIT, tatizo wanasiasa wanaingilia utendaji, nadhani hizi kampuni ziwekwe DSE.. na wale wataalam wa FINANCE watoe njia Bora yakuwakaba WEZI wa miundombinu.View attachment 2947486
Wasomi wapi wezi tuuh,nchi hii imekuwa trapped na mfumo wa wasomi ambao fikra Zao ni kuiba tuh,wasomi wa kanisa wengi wameilostish sana hii Nchi
 
Wasomi wapi wezi tuuh,nchi hii imekuwa trapped na mfumo wa wasomi ambao fikra Zao ni kuiba tuh,wasomi wa kanisa wengi wameilostish sana hii Nchi
Zaidi ya kweli..hata wasomi wa msikitini pia, japo angalau wana nidhamu kiasi!
 
Kabisa tena.

Kama tulivyoshindwa kuendesha bandari wao wameshinda zabuni, nasikia na juzi wameshinda zabuni ya kuendesha BRT.

Una tatizo na watu wa Dubai?
Kwa nini tusiwape Ikulu? Huoni huko ndiko kwenye madudu zaidi?
 
Kuwawachia Watanzania waendeshe nashirika hayo makubwa ni ujinga uliokithiri.

Hivi hatuelewi mashirika hayo yaliuliwa na kina nani mpaka kuwa chali?

Tumeona mwendokasi imetushinda kuendesha na sio kwa mara ya kwanza.

ATC tuliiuwa na sasa ipo njiani kuuliwa tena.

Reli ya kati na TAZARA hatujajifunza tu? Sasa tunarudia makosa yaleyale, tunawakabidhi SGR wauwaji.

Hivi lini tutapata akili?
Naunga mkono hoja. Watanzania ni wezi, wavivu na watu wa kuendekeza starehe.

Nyerere alianzisha mashirika 400 lakini yote yalkuwa dhoofu hali by 1995
 
Ikulu ya wapi tena?

Kwani hujaona jana ripoti imekabidhiwa wapi?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Ikulu anayokaa mama maushungi. Kwani ripoti ikikabidhiwa huko ndiyo imekuwa safi? Ina ufisadi kama sehemu nyingine.
 
Ikulu anayokaa mama maushungi. Kwani ripoti ikikabidhiwa huko ndiyo imekuwa safi? Ina ufisadi kama sehemu nyingine.
Unaonesha umesahau ulichouliza au hukielewi unachokiandika.

Akili za samaki - Amani Karume.
 
Tanzania Kuna vyuo vikuu vinne. Ina maana vyote hivi haviwezi kutoa watu wanaoweza kuendesha mashirika ya umma kwa ufanisi????
.DART....UOZO
NHIF....USHUZI
TANOIL.....UOZO
TANESCO.....KABURI
DAWASCO.....MAJANGA
NA BAADHI YA VYUO BIKUU VYA MICHONGO ......AJALI
 
Back
Top Bottom