Awamu ya Rais Samia ndiyo awamu iliyofeli kuliko awamu zote na kufanya wananchi kujutia zaidi uongozi huu

Awamu ya Rais Samia ndiyo awamu iliyofeli kuliko awamu zote na kufanya wananchi kujutia zaidi uongozi huu

Mimi naona ni awamu iliyo fanikiwa kuliko iliyopita.

Miradi mingi ya kimkakati imeanzishwa na mingine kumaliziwa ya awamu ya tano na ikiendelezwa vizuri.

Bei ya bidhaa kama Korosho , ufuta na Mbaazi kuimalika.

Biashara kuimalika

Ajira zinatangazwa na watoto wa masikini wanaajiriwa

Mzunguko wa pesa kuonekana

Uchumi wa mtu mmoja mmoja kuboreka na huduma za kifedha kuwa Bora zaidi hasa kibenki

Foreign direct Investment imeongezeka na viwanda vipya vinafunguliwa huko Mkuranga na Kibaha

Uboreshaji wa maslahi ya watumishi angalau kidogo

Uhuru wa mawazo na mikutano ya kisiasa umezidishwa

Wakulima angalau wanaona faida

Elimu ya juu pesa imeongezwa.
Miradi gani "mingi" ya kimkakati iliyoanzishwa..?
 
Unajua kipimo cha CT SCAN ni shilingi ngapi!?
Na hospitali ngapi zina huduma hiyo maana ulivo punga umejikita kusini tu.

Chawa promax hebu tupe na hospital zingine zenye hiyo huduma na ni bei gani kwa kipimo.
Kabla ya Rais Samia ulikuwa unaijua hata CT Scan wewe?

Samia kafunga CT Scan hospital zote za Mikoa ambapo kabla hazikuwepo isipokuwa hospital za Kanda tuu.

Swala la gharama ni issue nyingine ila wahitaji wanapata Huduma

View: https://twitter.com/wizara_afyatz/status/1702728608739910044?t=cpVnWoih_vZTFHSDgM-1hQ&s=19
 
Huduma zote mhimu kwa wananchi zimefeli vibaya mno

Ripoti za CAG zinawekwa makabatini tu kwa mh sipika bila kufanyiwa kazi na wahusika wapo, hii ni dhambi kubwa sana na unyanyasaji kwa vibaka wa kuiba kuku huku mafisadi yakilelewa na viongozi!

Huduma za matibabu hovyo

Dollar hakuna

Umeme hakuna

Huduma ya maji safi ni taabu

Pesa mtaani hakuna

Bidhaa juu, hadi kero

Mafuta hayana mdhibiti, mfanya biashara akiamka vibaya tu, hasira zote anazielekezea kwa walala hoi, anapandisha bei ama kuficha bidhaa hiyo

Bei za vifaa vya ujenzi havishikiki!

Bandari zimemshinda kuzisimamia

Ni awamu itakayeongoza kuwapeleka jela wanawake

Kodi nyingi na za ajabu ajabu, ni awamu hii

Lilianza suala la umeme, kutoka 27,000 hadi malaki ya fedha kuingiziwa umeme, badaye kulifuata Bima ya mtoto utadhani mtoto ana hatia kuzaliwa duniani!

Badala yake, tumeona sheria za wake za maraisi kuingizwa kwenye kulipwa utadhani na wao wanaingia ofisini

Mbona hawazungumziwi na au sheria hiyo kuwahusu wake za watumishi wote wa umma?

Vijana wanabuya unga tu na kuwa kama mazezeta, maana yake, awamu hii wauza unga wanatamba tu hawana mtu wa kuwatisha!

Ni tafrani tupu
Mnashindwa kuelewa kuwa awamu hii ya sita imeingia madarakani kipindi dunia ikiwa inahangaika na madhara ya vita kati ya Russia na nchi za NATO huko Ukraine. Hivyo mambo ya bei za bidhaa kuendelea kupaa, umeme kukatika katika, dollar kuadimika, maji kukatika katika na kadhalika, ni matokeo ya hiyo vita ya dunia inayoendelea hadi sasa. Pia mabadiliko ya tabia nchi.

Kila awamu ilikuwa kwenye mazingira tofauti, hivyo huwezi kuzilinganisha kirahisi namna hiyo. Mazingira ya awamu hii ni magumu kuliko ya awamu zote. Imepambana na kufanikiwa kwa kiwango kikubwa ukilinganisha na hali ilivyo kwa nchi zingine za Afrika hususani majirani zetu Kenya. Inawezekana kuwarudisha baadhi ya vijana kama Nape na January kumsaidia katika mapambano haya ya kiuchumi na kuwaondoa baadhi ya wazee kama Kabudi na Lukuvi halikuwa jambo sahihi sana, lakini yeye ndiye anajua na amekuwa akifanya mabadiliko ya mara kwa mara. Tuko vizuri, nchi imetulia, ajira za kumwaga, demokrasia imeshamiri, miundombinu inajengwa, viwanda vinajengwa, siasa zinaendeshwa kistaarabu isipokuwa wachache kama TL wanakiuka kidogo na kurudishwa msitarini etc.
 
Mnashindwa kuelewa kuwa awamu hii ya sita imeingia madarakani kipindi dunia ikiwa inahangaika na madhara ya vita kati ya Russia na nchi za NATO huko Ukraine. Hivyo mambo ya bei za bidhaa kuendelea kupaa, umeme kukatika katika, dollar kuadimika, maji kukatika katika na kadhalika, ni matokeo ya hiyo vita ya dunia inayoendelea hadi sasa. Pia mabadiliko ya tabia nchi.

Kila awamu ilikuwa kwenye mazingira tofauti, hivyo huwezi kuzilinganisha kirahisi namna hiyo. Mazingira ya awamu hii ni magumu kuliko ya awamu zote. Imepambana na kufanikiwa kwa kiwango kikubwa ukilinganisha na hali ilivyo kwa nchi zingine za Afrika hususani majirani zetu Kenya. Inawezekana kuwarudisha baadhi ya vijana kama Nape na January kumsaidia katika mapambano haya ya kiuchumi na kuwaondoa baadhi ya wazee kama Kabudi na Lukuvi halikuwa jambo sahihi sana, lakini yeye ndiye anajua na amekuwa akifanya mabadiliko ya mara kwa mara. Tuko vizuri, nchi imetulia, ajira za kumwaga, demokrasia imeshamiri, miundombinu inajengwa, viwanda vinajengwa, siasa zinaendeshwa kistaarabu isipokuwa wachache kama TL wanakiuka kidogo na kurudishwa msitarini etc.
Unapoteza mda wako bure
 
Huduma zote mhimu kwa wananchi zimefeli vibaya mno

Ripoti za CAG zinawekwa makabatini tu kwa mh sipika bila kufanyiwa kazi na wahusika wapo, hii ni dhambi kubwa sana na unyanyasaji kwa vibaka wa kuiba kuku huku mafisadi yakilelewa na viongozi!

Huduma za matibabu hovyo

Dollar hakuna

Umeme hakuna

Huduma ya maji safi ni taabu

Pesa mtaani hakuna

Bidhaa juu, hadi kero

Mafuta hayana mdhibiti, mfanya biashara akiamka vibaya tu, hasira zote anazielekezea kwa walala hoi, anapandisha bei ama kuficha bidhaa hiyo

Bei za vifaa vya ujenzi havishikiki!

Bandari zimemshinda kuzisimamia

Ni awamu itakayeongoza kuwapeleka jela wanawake

Kodi nyingi na za ajabu ajabu, ni awamu hii

Lilianza suala la umeme, kutoka 27,000 hadi malaki ya fedha kuingiziwa umeme, badaye kulifuata Bima ya mtoto utadhani mtoto ana hatia kuzaliwa duniani!

Badala yake, tumeona sheria za wake za maraisi kuingizwa kwenye kulipwa utadhani na wao wanaingia ofisini

Mbona hawazungumziwi na au sheria hiyo kuwahusu wake za watumishi wote wa umma?

Vijana wanabuya unga tu na kuwa kama mazezeta, maana yake, awamu hii wauza unga wanatamba tu hawana mtu wa kuwatisha!

Ni tafrani tupu
Duuuh umesahau na ajira hakuna. Yani mifumo ya kutengeneza ajira imekufa yote while vigogo wananeemeka kwa kununua mavitu ya thaman kama magar, mabasi na mengineyo
 
Duuuh umesahau na ajira hakuna. Yani mifumo ya kutengeneza ajira imekufa yote while vigogo wananeemeka kwa kununua mavitu ya thaman kama magar, mabasi na mengineyo
Labda mna laana sio bure.Ila sio mbaya maana mtu atahukumiwa na ulimi wake.

Hakuna awamu watu wamepata Ajira kama awamu ya 6 za government na private sector.

Yaani uchumi unavyokua hivi harafu unasema hakuna Ajira? Uko Tanznaia au Burundi?

Mwisho usipopata kazi awamu ya 6 hutokuja kupata kamwe,shika hiyo itakusaidia.
 
Kabla ya Rais Samia ulikuwa unaijua hata CT Scan wewe?

Samia kafunga CT Scan hospital zote za Mikoa ambapo kabla hazikuwepo isipokuwa hospital za Kanda tuu.

Swala la gharama ni issue nyingine ila wahitaji wanapata Huduma

View: https://twitter.com/wizara_afyatz/status/1702728608739910044?t=cpVnWoih_vZTFHSDgM-1hQ&s=19

Kama haujui me ni medical personel, ndo maana nikakuuliza wewe chawa wa mama unafahamu bei ya kipimo cha CT SCAN!?

Je hiyo bei ya kipimo ni afordable kwa mtanzania!?.
 
Labda mna laana sio bure.Ila sio mbaya maana mtu atahukumiwa na ulimi wake.

Hakuna awamu watu wamepata Ajira kama awamu ya 6 za government na private sector.

Yaani uchumi unavyokua hivi harafu unasema hakuna Ajira? Uko Tanznaia au Burundi?

Mwisho usipopata kazi awamu ya 6 hutokuja kupata kamwe,shika hiyo itakusaidia.
😂😂😂😂Chawa kama chawa. Kila post ambayo iko against j serikali yako umo
 
Kama haujui me ni medical personel, ndo maana nikakuuliza wewe chawa wa mama unafahamu bei ya kipimo cha CT SCAN!?

Je hiyo bei ya kipimo ni afordable kwa mtanzania!?.
Kwani kuwa medical personnel kunafanya wewe usiwe hater?

Hoja sio gharama za CT scan hoja ni kwamba CT scan kabla zilikuwepo?

Hata gharama za kusafisha Damu kwani hujui kwamba zimepunguzwa by half?
 


View:
Kwani kuwa medical personnel kunafanya wewe usiwe hater?

Hoja sio gharama za CT scan hoja ni kwamba CT scan kabla zilikuwepo?

Hata gharama za kusafisha Damu kwani hujui kwamba zimepunguzwa by half?
Mjinga haujui lolote lala mbele huko, nyokooo.
Kaa kimya you know nothing, kazi kusifia tu kumbe haujui hata unachosifia kina umuhimu gani kwa raia.
 
Umeme, maji, mafuta, ugumu wa maisha n.k

Ndiyo kitu mhimu kuliko huo ujinga
Vimefanyaje Sasa hivyo 🤣😂

Endelea kutapatapa dozi Iko pale pale🔨🔨

View: https://twitter.com/NuktaTanzania/status/1703028776269971573?t=GaZap9lYFocv0KC-2wvzXQ&s=19
20230922_205401.jpg
20230922_205613.jpg
 
Back
Top Bottom