Vijana wa BBT unawajua wazazi wao?
Kama awamu zilizotangulia zilishindwa Kupeleka umeme na Barabara Vijijini ulitegemea Kwa miaka 2.5 Samia amalizie hizo shida zote? Though is doing excellent job than any other before.Kodi zimeanza awamu ya 6? Kama Kuna mfumuko wa bei Kwa nini huzungumzii mfumuko wa pesa walizopata Sasa ambazo kabla walikuwa Hawapati? Uwe unaweka ushahidi kama Mimi
View: https://www.instagram.com/p/CxWFJZ3M6QD/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Mkoa kama wa Mwanza lini ulikuwa na uhakika wa Maji? Ni sasa ndio Samia anajenga chanzo kikubwa Cha Butimba Kumaliza shida ya Maji kama Dar.
Kwanza lazima uelewe hicho unachoita gharama za magonjwa ya figo ni zimeshuka half price,Mama alishusha kama unabisha Uliza daktari wako amkwambie bei za 2020 na Sasa.On top of that hata hizo CT Scan zilikuwa hospital kubwa Sasa ni Mikoa yote(Kazi ya Samia vinginevyo wewe ulitakiwa utoke Nanjilinji Kufuata CT Scan Dar).
Mwisho maisha ya Vijijini Kwa Sasa ni Bora zaidi kuliko miaka 2 iliyopita ndio maana hukuti watu kukimbilia Mjini , Kijijini Kuna umeme,maji,Huduma za Afya,Shule na uhakika wa usafiri.
View: https://twitter.com/ruwasatz/status/1697129408434151904?t=-Ga72_Cq00nO0Uo8etX08g&s=19