Awamu ya Rais Samia ndiyo awamu iliyofeli kuliko awamu zote na kufanya wananchi kujutia zaidi uongozi huu

Awamu ya Rais Samia ndiyo awamu iliyofeli kuliko awamu zote na kufanya wananchi kujutia zaidi uongozi huu

Ongezeko la mshahara lina tija gani kwa mlala hoi!? Linaongeza mzunguko wa fedha mtaani!?.

Ongezeko lililofanywa kisiasa kwa kulenga 2025.

2025 we will murder someone, labda waweke mgombea mwingine.

You have my words.
Rudi darasani wewe mbumbumbu

Mlala hoi anauza mchicha ,anauza nguo,anatembeza samaki nk

Ongezeko.la salary inaongezeka purchasing power ya mtumishi (consumer) ambae automatically hakai na pesa ndani Bali ataongeza expenditures.

Same applied kwenye Ajira Mpya na Posho kuongezeka.
20230906_084539.jpg
 
Hakuna rais anayeweza kukuwekea pesa mfukoni mwako, utaendelea kulialla mpaka mwisho wa maisha yako.

JPM aliambiwa na wanyamwezi ndugu zake kwamba mzee huku kwetu kuna njaa sana!, akawaambia njaa mnataka nije niwapikie chakula nyumbani kwenu?. Hilo ndilo jibu la halali la kumpa mtu mvivu anayelialia siku nzima.
Mwambie anunue kipaza sauti aende stand kulalamika 😁😁
20230922_130530.jpg
 
Rudi darasani wewe mbumbumbu

Mlala hoi anauza mchicha ,anauza nguo,anatembeza samaki nk

Ongezeko.la salary inaongezeka purchasing power ya mtumishi (consumer) ambae automatically hakai na pesa ndani Bali ataongeza expenditures.

Same applied kwenye Ajira Mpya na Posho kuongezeka.View attachment 2758213
Tunajadiliana na watu wengi wajinga wajinga humu jukwaani. Haelewi maana ya purchasing power kuwa juu.
 
Vijana wa BBT unawajua wazazi wao?

Kama awamu zilizotangulia zilishindwa Kupeleka umeme na Barabara Vijijini ulitegemea Kwa miaka 2.5 Samia amalizie hizo shida zote? Though is doing excellent job than any other before.Kodi zimeanza awamu ya 6? Kama Kuna mfumuko wa bei Kwa nini huzungumzii mfumuko wa pesa walizopata Sasa ambazo kabla walikuwa Hawapati? Uwe unaweka ushahidi kama Mimi

View: https://www.instagram.com/p/CxWFJZ3M6QD/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

Mkoa kama wa Mwanza lini ulikuwa na uhakika wa Maji? Ni sasa ndio Samia anajenga chanzo kikubwa Cha Butimba Kumaliza shida ya Maji kama Dar.

Kwanza lazima uelewe hicho unachoita gharama za magonjwa ya figo ni zimeshuka half price,Mama alishusha kama unabisha Uliza daktari wako amkwambie bei za 2020 na Sasa.On top of that hata hizo CT Scan zilikuwa hospital kubwa Sasa ni Mikoa yote(Kazi ya Samia vinginevyo wewe ulitakiwa utoke Nanjilinji Kufuata CT Scan Dar).

Mwisho maisha ya Vijijini Kwa Sasa ni Bora zaidi kuliko miaka 2 iliyopita ndio maana hukuti watu kukimbilia Mjini , Kijijini Kuna umeme,maji,Huduma za Afya,Shule na uhakika wa usafiri.

View: https://twitter.com/ruwasatz/status/1697129408434151904?t=-Ga72_Cq00nO0Uo8etX08g&s=19

Tunazungumzia kodi isiyo kandamizia kandamizi kwa mwananchi wa kawaida.

Unataka kutuaminisha na data zako plus mabandiko yako ya kupika yaliyoandaliwa na chawa kama wewe.
 
Tunazungumzia kodi isiyo kandamizia kandamizi kwa mwananchi wa kawaida.

Unataka kutuaminisha na data zako plus mabandiko yako ya kupika yaliyoandaliwa na chawa kama wewe.
Na wewe Tuletee mabandiko ya kuchemsha ambayo hayajapikwa.

Kodi kandamizi ni kama zipi? Zimeanza na Samia? By the way Samia amezifita Kodi nyingi sana na kurahisisha mambo ya regulatory kiasi kwamba Leo kama unadaiwa Kodi hufunhiwi biashara kama kule mlikokuwa mnapora pesa za wafanyabiashara
 
Mimi naona ni awamu iliyo fanikiwa kuliko iliyopita.

Miradi mingi ya kimkakati imeanzishwa na mingine kumaliziwa ya awamu ya tano na ikiendelezwa vizuri.

Bei ya bidhaa kama Korosho , ufuta na Mbaazi kuimalika.

Biashara kuimalika

Ajira zinatangazwa na watoto wa masikini wanaajiriwa

Mzunguko wa pesa kuonekana

Uchumi wa mtu mmoja mmoja kuboreka na huduma za kifedha kuwa Bora zaidi hasa kibenki

Foreign direct Investment imeongezeka na viwanda vipya vinafunguliwa huko Mkuranga na Kibaha

Uboreshaji wa maslahi ya watumishi angalau kidogo

Uhuru wa mawazo na mikutano ya kisiasa umezidishwa

Wakulima angalau wanaona faida

Elimu ya juu pesa imeongezwa.
HII mbona kinyume chake
 
Tatizo lenu ni hilo hilo kukimbilia maongezi ya matumizi ya neno chawa. Hasira zenu hazina msaada wowote wa kubadili hiyo hali.

Umaskini upo na utaendelea kuwepo kwa miaka mingi. Lakini nakataa kusema kwamba awamu ya sita haifanyi lolote. Yapo mengi sana ya kiuchumi yanayoendelea kufanyika muda huu.

Kuna suala la mishahara kuongezeka huwa haliongelewi, kuna masuala ya msururu wa kodi kufutwa hata siku moja hayasemwi.

Ukiamua kuyaongelea unapachikwa jina la Chawa!, kisa unajitegemea kwenye suala la kutoa maoni.
Kufanya mengi ndo kuongeza mishahara?

Mlioko kwenye mnyororo wa kiunyonyaji bhana! Natamani ningelikuwa nakujua ningelikuchapa kibao
 
Kufanya mengi ndo kuongeza mishahara?

Mlioko kwenye mnyororo wa kiunyonyaji bhana! Natamani ningelikuwa nakujua ningelikuchapa kibao
Mimi pia ningekuchapa kibao cha uso. Pesa imeongezeka mtaani, TRA hawafungi biashara za watu kwa kuwakomoa kisa vyeo vyao, wanatumia njia za kistaarabu za kupata pesa yao ya kodi.
 
Rudi darasani wewe mbumbumbu

Mlala hoi anauza mchicha ,anauza nguo,anatembeza samaki nk

Ongezeko.la salary inaongezeka purchasing power ya mtumishi (consumer) ambae automatically hakai na pesa ndani Bali ataongeza expenditures.

Same applied kwenye Ajira Mpya na Posho kuongezeka.
Na wewe Tuletee mabandiko ya kuchemsha ambayo hayajapikwa.

Kodi kandamizi ni kama zipi? Zimeanza na Samia? By the way Samia amezifita Kodi nyingi sana na kurahisisha mambo ya regulatory kiasi kwamba Leo kama unadaiwa Kodi hufunhiwi biashara kama kule mlikokuwa mnapora pesa za wafanyabiashara
Una akili mbovu sana, kwahiyo unaamini kutofungiwa biashara ndo kupunguza ukali wa kodi!?

Mama ako aliamua kuzipunguza baada ya kuona maji yamemfika shingoni.

Mkuu ongezeko la mshahara lilifanywa kwaajili ya kukufumba macho mjinga kama wewe ambaye haujielewi ili 2025 ukawachague.

Grow up and open your eyes.
2025 we gonna murder you and your grandma😀.
 
Una akili mbovu sana, kwahiyo unaamini kutofungiwa biashara ndo kupunguza ukali wa kodi!?

Mama ako aliamua kuzipunguza baada ya kuona maji yamemfika shingoni.

Mkuu ongezeko la mshahara lilifanywa kwaajili ya kukufumba macho mjinga kama wewe ambaye haujielewi ili 2025 ukawachague.

Grow up and open your eyes.
2025 we gonna murder you and your grandma😀.
Umeandika pumba 🗑️🗑️🗑️

Kutofungwa biashara kunakupa uhakika wa existence kwenye soko na wateja kujenga trust na Biashara Yako na mwisho faida

Mama yangu aliamua kuzipunguza kutoa nafuu zaidi Kwa Mwananchi,kumfika Shingo ipi wewe nyumbu? Kwani aliziweka yeye?

Ajira Mpya, Ongezeko la salary ni njia za kuongeza money supply kwenye uchumi hivyo kuchochea uchumi zaidi,huo ushuzi umeandika kamsimulie mkeo.

Mwisho on top of that watu wanazidi kupiga hela wewe unalalamika 🤣🤣🤣🤣🤣

View: https://www.instagram.com/p/CxXXcYVsRKC/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
 
Una akili gani? Bei ya vyakula sasa ni sawa na wakati ule? Unajua JPM aliacha unga na mchele sh ngapi? Unajua aliacha mafuta bei gani? Serikali imeshindwa kuthibiti mfumko wa bei. Kisingizio cha global issues ni kichaka cha wahuni ku inflate bei ya vitu kuliko uhalisia.

Sasa kama dollar hakuna, mafuta hayashikiki, maji hayaeleweki, na sasa umeme masaa hadi 15 hakuna utasema kuna watu wanafanya kazi? Unajua biashara ngapi zinapepesuka? Au upo kwenye AC office za umma unafikiri kila mtu yupo hivyo?

Umeme kipindi chote cha JPM ulikuwa unakatika kawaida lakini si mgao! JPM alileta mvua? JPM alikuwa na vyanzo vipya vya umeme? Tena si alitimua baadhi ya vyanzo umizi kama IPTL lakini bado nchi ilipata umeme.

Hii nchi imejaa wahuni, hawa wahuni wakikuona legelege wanafanya watakalo na ndio kinachoendelea.
Tuwekee bei hivyo vitu ulivyo vitaja kipindi cha JK, JPM na sasa tulinganishe.
 
Huduma zote mhimu kwa wananchi zimefeli vibaya mno

Ripoti za CAG zinawekwa makabatini tu kwa mh sipika bila kufanyiwa kazi na wahusika wapo, hii ni dhambi kubwa sana na unyanyasaji kwa vibaka wa kuiba kuku huku mafisadi yakilelewa na viongozi!

Huduma za matibabu hovyo

Dollar hakuna

Umeme hakuna

Huduma ya maji safi ni taabu

Pesa mtaani hakuna

Bidhaa juu, hadi kero

Mafuta hayana mdhibiti, mfanya biashara akiamka vibaya tu, hasira zote anazielekezea kwa walala hoi, anapandisha bei ama kuficha bidhaa hiyo

Bei za vifaa vya ujenzi havishikiki!

Bandari zimemshinda kuzisimamia

Ni awamu itakayeongoza kuwapeleka jela wanawake

Kodi nyingi na za ajabu ajabu, ni awamu hii

Lilianza suala la umeme, kutoka 27,000 hadi malaki ya fedha kuingiziwa umeme, badaye kulifuata Bima ya mtoto utadhani mtoto ana hatia kuzaliwa duniani!

Badala yake, tumeona sheria za wake za maraisi kuingizwa kwenye kulipwa utadhani na wao wanaingia ofisini

Mbona hawazungumziwi na au sheria hiyo kuwahusu wake za watumishi wote wa umma?

Vijana wanabuya unga tu na kuwa kama mazezeta, maana yake, awamu hii wauza unga wanatamba tu hawana mtu wa kuwatisha!

Ni tafrani tupu
Huduma zote zimefeli mno kama Huduma gani na thibisha.

Dola sio kesi ya Tanzania tuu ni tatizo la Dunia.

Serikali haijaleta Ukame unaokausha mabwawa ya umeme

Lini na wapi huduma ya maji safi ilikuwa 100%? Inajaribu kimdanganya nani?

Pesa mtaani haipo,umewahi sikia kwamba vyuma vimekaza?

Bidhaa kuwa chini ni dalili ya mdororo wa uchumi,kama bidhaa ziko Juu umewahi sikia wafanyabiashara wanakwambia wanapata hasara? Au bidhaa hazinunuliki?

Tanzania haizalishi mafuta,mafuta yangekuwa Juu Wakenya wasingekimbilia kununua Tanzania.Nchi ipi mafuta ni bei cheapa hapa EAC?

Tangu lini bei ya bidhaa za ujenzi ilishuka? Unakumbuka uhaba wa saruji 2020? Alikuwa Samia? Vifaa vya ujenzi vipianda Toka 2019 Kwa hiyo acha uzushi.

Kama Bandari zimemshinda mapato mengi ya serikali yanatoka wapi? Unajua Bandari zetu Hadi 2022 zimevunja rekodi ya volume kubwa ya mzigo? Acha utoto

Kodi nyingi na za ajabu ajabu kama.kodi zipi mbona huzitaji unaongea kama unachambana? 🤪🤪

Aliyekwambia umeme wa REA sio 27,000 Vijijini na Urban Peripheral ni nani? Unadanganya Ili umnufaishe nani? Wewe unanufaikaje?

Mwisho unawafahamu hao wanaopuyanga unga? Wanawake wataenda jela how? Na wewe kuwa Mke wa mkubwa upate mafao.

Your Magufuli aliongoza Nchi kwenye kipindi hakuna Changamoto zozote za Dunia au za ndani ya Nchi.

View: https://twitter.com/mamayukokazini/status/1705167780528472297?t=zfdnSzUC70GSTYgl9G7tFQ&s=19
 
Huduma zote mhimu kwa wananchi zimefeli vibaya mno

Ripoti za CAG zinawekwa makabatini tu kwa mh sipika bila kufanyiwa kazi na wahusika wapo, hii ni dhambi kubwa sana na unyanyasaji kwa vibaka wa kuiba kuku huku mafisadi yakilelewa na viongozi!

Huduma za matibabu hovyo

Dollar hakuna

Umeme hakuna

Huduma ya maji safi ni taabu

Pesa mtaani hakuna

Bidhaa juu, hadi kero

Mafuta hayana mdhibiti, mfanya biashara akiamka vibaya tu, hasira zote anazielekezea kwa walala hoi, anapandisha bei ama kuficha bidhaa hiyo

Bei za vifaa vya ujenzi havishikiki!

Bandari zimemshinda kuzisimamia

Ni awamu itakayeongoza kuwapeleka jela wanawake

Kodi nyingi na za ajabu ajabu, ni awamu hii

Lilianza suala la umeme, kutoka 27,000 hadi malaki ya fedha kuingiziwa umeme, badaye kulifuata Bima ya mtoto utadhani mtoto ana hatia kuzaliwa duniani!

Badala yake, tumeona sheria za wake za maraisi kuingizwa kwenye kulipwa utadhani na wao wanaingia ofisini

Mbona hawazungumziwi na au sheria hiyo kuwahusu wake za watumishi wote wa umma?

Vijana wanabuya unga tu na kuwa kama mazezeta, maana yake, awamu hii wauza unga wanatamba tu hawana mtu wa kuwatisha!

Ni tafrani tupu
Huyu amefeli sana kwa kua mtu mjinga anayeyejiamini. Kumpinga magufuli ilikua kosa kubwa na ndicho kitu kilimtenga na umma wa wananchi.
 
Huyu amefeli sana 😁😁😁😁

Shule kama hizi Maalumu za Wasichana zinajengwa Mikoa 26 chini ya Samia,hakuna kima mwingine yeyote amewahi fanya hivi.

Hapo sijazungumzia Sekondari za O level,Shule za Msingi nk

View: https://twitter.com/ortamisemitz/status/1704203321022493104?t=EeU0isNSZMIWHQeOGITMEg&s=19View attachment 2758296

Kujengwa mikoa 26 ndo kitu gani? Na ni shule ngapi sasa hizo?

Kuna walijenga na kuanzisha vituo vya afya nchi nzima na kuingiziwa umeme wananchi kwa bei karibu ja bule, leo yako wapi? Huduma mhimu mnazifanya ziwe kama anasa kwa wananchi? Chawa mkubwa wewe

Hiyo ya kujenga shule 26 akiondoi ukweli kwamba, huduma kwa wananchi ni mbovu kuliko falme zozote zilizowahi kupita Tanzania
 
Kujengwa mikia 26 ndo kitu gani?

Hakiondoi ukweli kwamba, huduma kwa wananchi ni mbovu kuliko falme zozote zilizowahi kupita Tanzania
Na nyie mlioshindwa kuweka dawati za Watoto onyesheni mlichofanya 🤣🤣

Sasa kwani ukiongea wewe huo ujinga wako ndio inafanya Huduma kuwa mbovu? Endelea kuongea ila haibadili ukweli kwamba Samia amewafunika woooote hapa mnajifariji Kwa maumivu ya wivu tuu 😁😁

View: https://twitter.com/wizara_afyatz/status/1704379131322859950?t=LRpbxPr1Fjd23uX827wntA&s=19
-2005264593.jpg
-1584647326.jpg
-144532897.jpg
-858653199.jpg
-1026336207.jpg
110059642.jpg
 
Umeandika pumba 🗑️🗑️🗑️

Kutofungwa biashara kunakupa uhakika wa existence kwenye soko na wateja kujenga trust na Biashara Yako na mwisho faida

Mama yangu aliamua kuzipunguza kutoa nafuu zaidi Kwa Mwananchi,kumfika Shingo ipi wewe nyumbu? Kwani aliziweka yeye?

Ajira Mpya, Ongezeko la salary ni njia za kuongeza money supply kwenye uchumi hivyo kuchochea uchumi zaidi,huo ushuzi umeandika kamsimulie mkeo.

Mwisho on top of that watu wanazidi kupiga hela wewe unalalamika 🤣🤣🤣🤣🤣

View: https://www.instagram.com/p/CxXXcYVsRKC/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

Na nyie mlioshindwa kuweka dawati za Watoto onyesheni mlichofanya 🤣🤣

Sasa kwani ukiongea wewe huo ujinga wako ndio inafanya Huduma kuwa mbovu? Endelea kuongea ila haibadili ukweli kwamba Samia amewafunika woooote hapa mnajifariji Kwa maumivu ya wivu tuu 😁😁

View: https://twitter.com/wizara_afyatz/status/1704379131322859950?t=LRpbxPr1Fjd23uX827wntA&s=19View attachment 2758305View attachment 2758306View attachment 2758307View attachment 2758308View attachment 2758309View attachment 2758310

Unajua kipimo cha CT SCAN ni shilingi ngapi!?
Na hospitali ngapi zina huduma hiyo maana ulivo punga umejikita kusini tu.

Chawa promax hebu tupe na hospital zingine zenye hiyo huduma na ni bei gani kwa kipimo.
 
Back
Top Bottom