ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Sasa ulitaka afanyaje ikiwa hata hela za kuendeshea ofisi yake ni hisani ya Serikali kuu?CAG kaachwa solemba analalamika tu peke yake watu wanajipigia kama hakuna serikali vile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ulitaka afanyaje ikiwa hata hela za kuendeshea ofisi yake ni hisani ya Serikali kuu?CAG kaachwa solemba analalamika tu peke yake watu wanajipigia kama hakuna serikali vile.
Mkuu una ushahidi wowote wa hili mimi nilikuwa nategemea kura japo za hasira au wasimamizi wa ACT walihongwa?Mkuu, hawawapigii,
Ndugu yangu imhotep jaribu kuulizia kwa wananchi watakwambia
Hawawapigii ccm nakuhakikishia kuwa hawa ccm ni majambazi
Uliza na SGR ili nijibu yote kwa mpigo. Kila la heri.At least mkuu unaandika kwa hoja, kongole kwako.
Bei ya mahindi imeshuka, ukilinganisha na kipindi kipi?
Maana kulikuwa na wito wa kupiga marufuku mahindi yasiuzwe nje ya nchi, je Ile amri ilitekelezwa? Naomba majibu.
Pili Gunia la mahindi awamu iliyopita yalikuwa yanauzwa shilingi ngapi ili tulinganishe na Sasa.
Unaelewa nini tukisema FDI ili tuone uhusiano wake na umeme?
Maana miaka yote ya JK na Magu FDI ilikuwepo, je tulikuwa tumejitosheleza na umeme?
Nadhani BRT Mbagala inazinduliwa mwezi wa kumi mwaka huu ngoja tuone, maana Mimi mbonde yangu macho
BRT Gongo la Mboto unaendelezwa
Sasa wameingia mkataba BRT phase ya Tano.
Mambo ya JNHEP ni Engineering works na mradi haujaisha hivyo tupunguze mhemko tusubiri mpaka pale utakapo fikisha at least 90% ndio tuuongelee
Serikali ya Samia haiwezi enda na akili za kipumbavu kama hizi za kuua Kilimo.At least mkuu unaandika kwa hoja, kongole kwako.
Bei ya mahindi imeshuka, ukilinganisha na kipindi kipi?
Maana kulikuwa na wito wa kupiga marufuku mahindi yasiuzwe nje ya nchi, je Ile amri ilitekelezwa? Naomba majibu.
Pili Gunia la mahindi awamu iliyopita yalikuwa yanauzwa shilingi ngapi ili tulinganishe na Sasa.
Unaelewa nini tukisema FDI ili tuone uhusiano wake na umeme?
Maana miaka yote ya JK na Magu FDI ilikuwepo, je tulikuwa tumejitosheleza na umeme?
Nadhani BRT Mbagala inazinduliwa mwezi wa kumi mwaka huu ngoja tuone, maana Mimi mbonde yangu macho
BRT Gongo la Mboto unaendelezwa
Sasa wameingia mkataba BRT phase ya Tano.
Mambo ya JNHEP ni Engineering works na mradi haujaisha hivyo tupunguze mhemko tusubiri mpaka pale utakapo fikisha at least 90% ndio tuuongelee
Kaa usitafute link utaona moto utaishia kulalamika hivyo hivyoMaisha yamekuwa bora sana kwa waliopo kwenye link, Hao mdo utawakuta sites zao mbalimbali wakifanya ujenzi n.k, Kiufupi wao ukiwaambia habari za awamu hii kuwa ni mbaya hawatakuelewa hata kidogo... Ila kiuhalisia Mwananchi wa hali ya chini anaisoma namba kweli kweli
Umeongea vyema kwamba shida zilianza Toka zamani ila kwangu binafsi naona mwanga awamu ya 6 Kwa sababu zifuatazo.Kwanza itambulike hii nchi haina sera ya kuwainua Watanzania wa asili kiuchumi.
Kama ipo sera na mipango hiyo naomba mnikosoe kwa kuiweka.
Kila kitu nchi hii ni kodi na hakuna nafuu kwa Raia Toka awamu zilizopita mpaka hii.
Tukija kwenye jicho la kijasiriamali Mkulima atafaidika kwa kupata fedha zaidi baada ya kuuza bidhaa kwa bei nzuri hivyo kupunguza ukali wa maisha na kumudu gharama za maisha.
Bidhaa za ujenzi zilipanda toka awamu zilizopita na hata Sasa zitaendelea kupanda sio tu kwa mkulima Bali kwa walala hoi wote watateseka.
Hakuna sera ya nchi kupambana na tatizo hili, chanzo kikubwa ikiwa ni Kodi na gharama kubwa za uendeshaji.
Sio wakulima tu, vipi vibarua wa viwanda mbali mbali mbona hamuwaangalii maslahi yao?
Vipi kazi za bar, migahawa, hoteli na wenyewe sio wanyonge? Tuna sheria za kuwalinda?
Tatizo kubwa la Watanzania hata kwenye huu Uzi ni unafiki na roho ya kwa nini au kifupi roho mbaya badala ya kupigania maslahi ya nchi wenyewe hufurahi kundi fulani likinyanyasika.
Wenyewe hutazama kundi la wafanyakazi kama wezi wakati tunajisahau dhima tuliyompa Mwalimu kulea Vijana wetu au Mkunga na wagonjwa wetu.
Umeongea vyema kwamba shida zilianza Toka zamani ila kwangu binafsi naona mwanga awamu ya 6 Kwa sababu zifuatazo.
1.Serikali inajaribu kuwa na sera zinazotabirika kwenye biashara na uwekezaji Ili kuwe na consistent ya mambo
View: https://twitter.com/dailynewstz/status/1704733721885045057?t=ehCbYaUxdFhf6Yzl-9CpoQ&s=19
2.Serikali imepunguza vikwazo vya biashara Kwa kiasi Fulani na soon watakuwa na single payment window badala ya kulipia Kila taasisi,kupunguza utitiri wa leseni nk
3.Serikali ya Sasa inasema Kilimo ni biashara hivyo imepunguza ukiriyimba huko,imeshusha riba za mikopo Kwa Kilimo ambapo ni 9% tuu na on top of that ime priotise irrigation farming na kutafuta masoko ndio sababu sekta ya Kilimo ndio inaongoza Kwa mikopo ya biashara,the so called ajenda 10/30 is real.
4.Swala la vibarua na Wafanyakazi sekta binafsi wanalipwaje Hilo hakuna Serikali itaingilia maana ni makubaliano binafsi.
Kiufupi awamu ya 6 is doing good than all other past awamu ndio sababu the so called matatizo eg umeme ni matokeo ya mafanikio na uzembe wa awamu zilizotangulia.
Mimi naona ni awamu iliyo fanikiwa kuliko iliyopita.
Miradi mingi ya kimkakati imeanzishwa na mingine kumaliziwa ya awamu ya tano na ikiendelezwa vizuri.
Bei ya bidhaa kama Korosho , ufuta na Mbaazi kuimalika.
Biashara kuimalika
Ajira zinatangazwa na watoto wa masikini wanaajiriwa
Mzunguko wa pesa kuonekana
Uchumi wa mtu mmoja mmoja kuboreka na huduma za kifedha kuwa Bora zaidi hasa kibenki
Foreign direct Investment imeongezeka na viwanda vipya vinafunguliwa huko Mkuranga na Kibaha
Uboreshaji wa maslahi ya watumishi angalau kidogo
Uhuru wa mawazo na mikutano ya kisiasa umezidishwa
Wakulima angalau wanaona faida
Elimu ya juu pesa imeongezwa.
Namba ndio zinaongea sio porojo zako.Huna akili wewe
Kitaalamu tunakuita chawa promax. Uko beyond ya uchawa.Petrol inatoka nje ya nchi inanunuliwa kwa fedha ya kigeni, hakuna namna ambayo sisi tunaweza kuwa na utawala wa bidhaa ya kutoka nje, wanaitawala wenye kumiliki hizo biashara na sio sisi.
Huko Lindi wamepata hospitali mpya tangu nchi ipate uhuru, unapowaambia awamu hii ni mbovu inabidi uje na hoja zenye kuingia vichwani mwao.
Kodi huwezi kukwepa kuzilipa iwapo unataka huduma ziboreshwe. Hao wanaotupa misaada wanajinyima matanuzi ili sisi tuweze kuishi, kumbuka hilo kabla hujaendelea kulialia.
Bandari inapata mwekezaji DP World na mwezi Novemba anaanza kazi, kule Mbegani Bagamoyo pia anakwenda kupatikana mwendeshaji mahiri, hiyo sekta ya uchukuzi serikali imejipanga kisawasawa.
Masuala mengi ya kiuchumi yanakwenda kupata ufumbuzi.
Punguza kulialia.
Mimi Huwa sijali kuitwa chawa Kwa sababu am not Chawa na Wala silipwi na yeyote hapa ,natumia mda na rasilimali zangu kama raia Mzalendo na shabiki wa Samia.Unajitahidi kufafanua kinachofanywa na awamu ya sita lakini huwezi kuepuka kuitwa chawa wa mama.
Kwa haraka haraka ukiangalia biashara za frames za maduka mitaani utaona kuna uhai, nyingi zinafunguliwa na zile zilizoachwa magofu zinaendelea kufufuliwa. Kuna mzunguko wa pesa huko mitaani.
SSH anaendeleza kile kilichoanzishwa na marais wengine na ndio maana ya kupokezana vijiti.
SSH anafanya kazi nzuri na sisi tunaoishi mijini huwa hatuoni matokeo ya kazi hiyo.Kitaalamu tunakuita chawa promax. Uko beyond ya uchawa.
Hamuwezi kuona Kwa sababu mna alternative nyingi ila sie wa Vijijini tunaona kinachofanyika.SSH anafanya kazi nzuri na sisi tunaoishi mijini huwa hatuoni matokeo ya kazi hiyo.
Kuna vijana 270 wapo Israel wanajifunza masuala ya kilimo, watakaporudi watakuja na fikra za kimapinduzi kwenye suala zima la kilimo na hakuna mtanzania anayewazungumzia.
Hao vijana unajua wazazi wao ni akina nani!?. Fuatilia then niambie kama kuna mtoto wa mlala hoi hata mmoja!SSH anafanya kazi nzuri na sisi tunaoishi mijini huwa hatuoni matokeo ya kazi hiyo.
Kuna vijana 270 wapo Israel wanajifunza masuala ya kilimo, watakaporudi watakuja na fikra za kimapinduzi kwenye suala zima la kilimo na hakuna mtanzania anayewazungumzia.
Vijana wa BBT unawajua wazazi wao?Hao vijana unajua wazazi wao ni akina nani!?. Fuatilia then niambie kama kuna mtoto wa mlala hoi hata mmoja!
Halali umsifie mama kuwa anaupiga mwingi maana upo mjini, tembelea mikoani (vijijini) uone jinsi gani wananchi wanateseka kwa sababu ya ukosefu wa maji, umeme, kodi na mfumuko wa bei za bidhaa.
Hivi can you imagine mkoa kama wa mwanza unakosa maji wiki nzima wakati ziwa victoria lipo karibu namna ile.
Gharama za matibabu zimepanda watu wa kawaida hawawezi kuaford hizo gharama.
Watu wanachangamoto za figo, figo hazifanyi kazi vizuri na hawana uwezo wa kuaford dialysis hakuna msaada wowote kutoka kwa serikali, lakini akina professa J walioharibu figo zao kutokana na life style ndo wanasaidiwa, can you imagine that huh!. Kuna wagonjwa hawawezi hata kufanya vipimo kama CT SCAN na MRI.
Halafu chawa kama wewe unaibuka from no where unasema mama anaupiga mwingi huku miradi haikamiliki ndani ya muda.
Next time kabla haujajibu swali kukuhusu kumtetea mamaako Samia inatakiwa uende vijijini ukajionee maisha ya watanzania wenye hali ya chini. Nenda hata manzese ujionee watu wanavyoishi maisha ya shida.
Tatizo lenu ni hilo hilo kukimbilia maongezi ya matumizi ya neno chawa. Hasira zenu hazina msaada wowote wa kubadili hiyo hali.Hao vijana unajua wazazi wao ni akina nani!?. Fuatilia then niambie kama kuna mtoto wa mlala hoi hata mmoja!
Halali umsifie mama kuwa anaupiga mwingi maana upo mjini, tembelea mikoani (vijijini) uone jinsi gani wananchi wanateseka kwa sababu ya ukosefu wa maji, umeme, kodi na mfumuko wa bei za bidhaa.
Hivi can you imagine mkoa kama wa mwanza unakosa maji wiki nzima wakati ziwa victoria lipo karibu namna ile.
Gharama za matibabu zimepanda watu wa kawaida hawawezi kuaford hizo gharama.
Watu wanachangamoto za figo, figo hazifanyi kazi vizuri na hawana uwezo wa kuaford dialysis hakuna msaada wowote kutoka kwa serikali, lakini akina professa J walioharibu figo zao kutokana na life style ndo wanasaidiwa, can you imagine that huh!. Kuna wagonjwa hawawezi hata kufanya vipimo kama CT SCAN na MRI.
Halafu chawa kama wewe unaibuka from no where unasema mama anaupiga mwingi huku miradi haikamiliki ndani ya muda.
Next time kabla haujajibu swali kukuhusu kumtetea mamaako Samia inatakiwa uende vijijini ukajionee maisha ya watanzania wenye hali ya chini. Nenda hata manzese ujionee watu wanavyoishi maisha ya shida.
Huduma zote mhimu kwa wananchi zimefeli vibaya mno
Ripoti za CAG zinawekwa makabatini tu kwa mh sipika bila kufanyiwa kazi na wahusika wapo, hii ni dhambi kubwa sana na unyanyasaji kwa vibaka wa kuiba kuku huku mafisadi yakilelewa na viongozi!
Huduma za matibabu hovyo
Dollar hakuna
Umeme hakuna
Huduma ya maji safi ni taabu
Pesa mtaani hakuna
Bidhaa juu, hadi kero
Mafuta hayana mdhibiti, mfanya biashara akiamka vibaya tu, hasira zote anazielekezea kwa walala hoi, anapandisha bei ama kuficha bidhaa hiyo
Bei za vifaa vya ujenzi havishikiki!
Bandari zimemshinda kuzisimamia
Ni awamu itakayeongoza kuwapeleka jela wanawake
Kodi nyingi na za ajabu ajabu, ni awamu hii
Lilianza suala la umeme, kutoka 27,000 hadi malaki ya fedha kuingiziwa umeme, badaye kulifuata Bima ya mtoto utadhani mtoto ana hatia kuzaliwa duniani!
Badala yake, tumeona sheria za wake za maraisi kuingizwa kwenye kulipwa utadhani na wao wanaingia ofisini
Mbona hawazungumziwi na au sheria hiyo kuwahusu wake za watumishi wote wa umma?
Vijana wanabuya unga tu na kuwa kama mazezeta, maana yake, awamu hii wauza unga wanatamba tu hawana mtu wa kuwatisha!
Ni tafrani tupu
Nawakumbusha tuu kwamba ni Samia amefanya Dar wanapata maji Asilimia 100%Hata kwa kikwete mlisema hivi alipokuja magu napo mkasema hivi tena mkazidisha kilio saiv kwa mama wimbo wenu ule ule
Ongezeko la mshahara lina tija gani kwa mlala hoi!? Linaongeza mzunguko wa fedha mtaani!?.Tatizo lenu ni hilo hilo kukimbilia maongezi ya matumizi ya neno chawa. Hasira zenu hazina msaada wowote wa kubadili hiyo hali.
Umaskini upo na utaendelea kuwepo kwa miaka mingi. Lakini nakataa kusema kwamba awamu ya sita haifanyi lolote. Yapo mengi sana ya kiuchumi yanayoendelea kufanyika muda huu.
Kuna suala la mishahara kuongezeka huwa haliongelewi, kuna masuala ya msururu wa kodi kufutwa hata siku moja hayasemwi.
Ukiamua kuyaongelea unapachikwa jina la Chawa!, kisa unajitegemea kwenye suala la kutoa maoni.
Hakuna rais anayeweza kukuwekea pesa mfukoni mwako, utaendelea kulialla mpaka mwisho wa maisha yako.Ongezeko la mshahara lina tija gani kwa mlala hoi!? Linaongeza mzunguko wa fedha mtaani!?.
Ongezeko lililofanywa kisiasa kwa kulenga 2025.
2025 we will murder someone, labda waweke mgombea mwingine.
You have my words.