Awamu ya Rais Samia ndiyo awamu iliyofeli kuliko awamu zote na kufanya wananchi kujutia zaidi uongozi huu

Awamu ya Rais Samia ndiyo awamu iliyofeli kuliko awamu zote na kufanya wananchi kujutia zaidi uongozi huu

Mkuu, hawawapigii,

Ndugu yangu imhotep jaribu kuulizia kwa wananchi watakwambia


Hawawapigii ccm nakuhakikishia kuwa hawa ccm ni majambazi
Mkuu una ushahidi wowote wa hili mimi nilikuwa nategemea kura japo za hasira au wasimamizi wa ACT walihongwa?

Au Wananchi wanakisubiri CHADEMA ndio wakipigie kura?

Changamoto kwenye Chaguzi huwa hazikosekani lakini huko Mbarali ACT alikuwa ameachwa mbali sana.

Kama wangekuwa wamepishana kura 1000 au 2000 tungesema YES wamepora na hapohapo tungesema Wananchi wameonyesha hasira zao kwenye Ballot Box lakini walikuwa wamepishana mbaaali sana.

Je Mtanzania kweli yuko ready kwa Mabadiliko au ni mtu wa kulalama kutwa kuchwa?
 
At least mkuu unaandika kwa hoja, kongole kwako.

Bei ya mahindi imeshuka, ukilinganisha na kipindi kipi?
Maana kulikuwa na wito wa kupiga marufuku mahindi yasiuzwe nje ya nchi, je Ile amri ilitekelezwa? Naomba majibu.

Pili Gunia la mahindi awamu iliyopita yalikuwa yanauzwa shilingi ngapi ili tulinganishe na Sasa.

Unaelewa nini tukisema FDI ili tuone uhusiano wake na umeme?
Maana miaka yote ya JK na Magu FDI ilikuwepo, je tulikuwa tumejitosheleza na umeme?

Nadhani BRT Mbagala inazinduliwa mwezi wa kumi mwaka huu ngoja tuone, maana Mimi mbonde yangu macho

BRT Gongo la Mboto unaendelezwa

Sasa wameingia mkataba BRT phase ya Tano.

Mambo ya JNHEP ni Engineering works na mradi haujaisha hivyo tupunguze mhemko tusubiri mpaka pale utakapo fikisha at least 90% ndio tuuongelee
Uliza na SGR ili nijibu yote kwa mpigo. Kila la heri.
 
At least mkuu unaandika kwa hoja, kongole kwako.

Bei ya mahindi imeshuka, ukilinganisha na kipindi kipi?
Maana kulikuwa na wito wa kupiga marufuku mahindi yasiuzwe nje ya nchi, je Ile amri ilitekelezwa? Naomba majibu.

Pili Gunia la mahindi awamu iliyopita yalikuwa yanauzwa shilingi ngapi ili tulinganishe na Sasa.

Unaelewa nini tukisema FDI ili tuone uhusiano wake na umeme?
Maana miaka yote ya JK na Magu FDI ilikuwepo, je tulikuwa tumejitosheleza na umeme?

Nadhani BRT Mbagala inazinduliwa mwezi wa kumi mwaka huu ngoja tuone, maana Mimi mbonde yangu macho

BRT Gongo la Mboto unaendelezwa

Sasa wameingia mkataba BRT phase ya Tano.

Mambo ya JNHEP ni Engineering works na mradi haujaisha hivyo tupunguze mhemko tusubiri mpaka pale utakapo fikisha at least 90% ndio tuuongelee
Serikali ya Samia haiwezi enda na akili za kipumbavu kama hizi za kuua Kilimo.

Ili kuondoa maelfu ya watu kwenye umaskini uliotopea huko Vijijini,Kilimo kimefanywa biashara na juzi hapo Rais kawaambia watu huko Mtwara kwamba mbaazi sio mboga ni biashara hivyo they should think in business way likewise kwenye mazao mengine yote.

Huwezi ondoa watu kwenye umaskini Kwa kununua mazao Yao Kwa bei za kutupa ambazo haziwasaidii kutoka kwenye umaskini,huo upumbavu ni WA awamu ya 5 na watu wa Vijijini hawawezi kuendelea kuwa maskini wa kuwanugaisha nyie wa Mjini.

Ndio maana Sasa Kwa miaka 3 Sasa sekta ya Kilimo inaongoza Kwa kupokea mikopo Mingi.

View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1704830802461118496?t=prLLyiPA2iAgAYvaz8JjGw&s=19
 
Maisha yamekuwa bora sana kwa waliopo kwenye link, Hao mdo utawakuta sites zao mbalimbali wakifanya ujenzi n.k, Kiufupi wao ukiwaambia habari za awamu hii kuwa ni mbaya hawatakuelewa hata kidogo... Ila kiuhalisia Mwananchi wa hali ya chini anaisoma namba kweli kweli
Kaa usitafute link utaona moto utaishia kulalamika hivyo hivyo

Ni awamu ya 6 ndio inaongoza kufanya haya
-Serikali inaajiri sana kuliko wakati mwingine wowote
-Biashara zinafunguliwa Kwa Kasi kuliko awamu yeyoey kabla
-Kilimo.kinakua kuliko wakati mwingine wowote
-Sekta ya ujenzi hasa private imeanza kukua Kwa Kasi sana
-Uwekezaji hasa wa Kilimo,viwanda na ujenzi unakua kuliko Wakati mwingine wowote
-Public expenditure ni kubwa kuliko Wakati wowote maana Kuna utitiri wa miradi sekta zote.

Sasa baba endelea kulalamika utaona moto, wakulima wa stakabadhi ghalani wanaendelea kula maisha 👇

View: https://twitter.com/thebizwiztz/status/1704149977050517902?t=hzybYpNR5HTthUdYVOSG6A&s=19
 
Kwanza itambulike hii nchi haina sera ya kuwainua Watanzania wa asili kiuchumi.
Kama ipo sera na mipango hiyo naomba mnikosoe kwa kuiweka.

Kila kitu nchi hii ni kodi na hakuna nafuu kwa Raia Toka awamu zilizopita mpaka hii.

Tukija kwenye jicho la kijasiriamali Mkulima atafaidika kwa kupata fedha zaidi baada ya kuuza bidhaa kwa bei nzuri hivyo kupunguza ukali wa maisha na kumudu gharama za maisha.

Bidhaa za ujenzi zilipanda toka awamu zilizopita na hata Sasa zitaendelea kupanda sio tu kwa mkulima Bali kwa walala hoi wote watateseka.

Hakuna sera ya nchi kupambana na tatizo hili, chanzo kikubwa ikiwa ni Kodi na gharama kubwa za uendeshaji.

Sio wakulima tu, vipi vibarua wa viwanda mbali mbali mbona hamuwaangalii maslahi yao?

Vipi kazi za bar, migahawa, hoteli na wenyewe sio wanyonge? Tuna sheria za kuwalinda?

Tatizo kubwa la Watanzania hata kwenye huu Uzi ni unafiki na roho ya kwa nini au kifupi roho mbaya badala ya kupigania maslahi ya nchi wenyewe hufurahi kundi fulani likinyanyasika.

Wenyewe hutazama kundi la wafanyakazi kama wezi wakati tunajisahau dhima tuliyompa Mwalimu kulea Vijana wetu au Mkunga na wagonjwa wetu.
Umeongea vyema kwamba shida zilianza Toka zamani ila kwangu binafsi naona mwanga awamu ya 6 Kwa sababu zifuatazo.

1.Serikali inajaribu kuwa na sera zinazotabirika kwenye biashara na uwekezaji Ili kuwe na consistent ya mambo

View: https://twitter.com/dailynewstz/status/1704733721885045057?t=ehCbYaUxdFhf6Yzl-9CpoQ&s=19

2.Serikali imepunguza vikwazo vya biashara Kwa kiasi Fulani na soon watakuwa na single payment window badala ya kulipia Kila taasisi,kupunguza utitiri wa leseni nk

3.Serikali ya Sasa inasema Kilimo ni biashara hivyo imepunguza ukiriyimba huko,imeshusha riba za mikopo Kwa Kilimo ambapo ni 9% tuu na on top of that ime priotise irrigation farming na kutafuta masoko ndio sababu sekta ya Kilimo ndio inaongoza Kwa mikopo ya biashara,the so called ajenda 10/30 is real.

4.Swala la vibarua na Wafanyakazi sekta binafsi wanalipwaje Hilo hakuna Serikali itaingilia maana ni makubaliano binafsi.

Kiufupi awamu ya 6 is doing good than all other past awamu ndio sababu the so called matatizo eg umeme ni matokeo ya mafanikio na uzembe wa awamu zilizotangulia.
 
Umeongea vyema kwamba shida zilianza Toka zamani ila kwangu binafsi naona mwanga awamu ya 6 Kwa sababu zifuatazo.

1.Serikali inajaribu kuwa na sera zinazotabirika kwenye biashara na uwekezaji Ili kuwe na consistent ya mambo

View: https://twitter.com/dailynewstz/status/1704733721885045057?t=ehCbYaUxdFhf6Yzl-9CpoQ&s=19

2.Serikali imepunguza vikwazo vya biashara Kwa kiasi Fulani na soon watakuwa na single payment window badala ya kulipia Kila taasisi,kupunguza utitiri wa leseni nk

3.Serikali ya Sasa inasema Kilimo ni biashara hivyo imepunguza ukiriyimba huko,imeshusha riba za mikopo Kwa Kilimo ambapo ni 9% tuu na on top of that ime priotise irrigation farming na kutafuta masoko ndio sababu sekta ya Kilimo ndio inaongoza Kwa mikopo ya biashara,the so called ajenda 10/30 is real.

4.Swala la vibarua na Wafanyakazi sekta binafsi wanalipwaje Hilo hakuna Serikali itaingilia maana ni makubaliano binafsi.

Kiufupi awamu ya 6 is doing good than all other past awamu ndio sababu the so called matatizo eg umeme ni matokeo ya mafanikio na uzembe wa awamu zilizotangulia.

Unajitahidi kufafanua kinachofanywa na awamu ya sita lakini huwezi kuepuka kuitwa chawa wa mama.

Kwa haraka haraka ukiangalia biashara za frames za maduka mitaani utaona kuna uhai, nyingi zinafunguliwa na zile zilizoachwa magofu zinaendelea kufufuliwa. Kuna mzunguko wa pesa huko mitaani.

SSH anaendeleza kile kilichoanzishwa na marais wengine na ndio maana ya kupokezana vijiti.
 
Mimi naona ni awamu iliyo fanikiwa kuliko iliyopita.

Miradi mingi ya kimkakati imeanzishwa na mingine kumaliziwa ya awamu ya tano na ikiendelezwa vizuri.

Bei ya bidhaa kama Korosho , ufuta na Mbaazi kuimalika.

Biashara kuimalika

Ajira zinatangazwa na watoto wa masikini wanaajiriwa

Mzunguko wa pesa kuonekana

Uchumi wa mtu mmoja mmoja kuboreka na huduma za kifedha kuwa Bora zaidi hasa kibenki

Foreign direct Investment imeongezeka na viwanda vipya vinafunguliwa huko Mkuranga na Kibaha

Uboreshaji wa maslahi ya watumishi angalau kidogo

Uhuru wa mawazo na mikutano ya kisiasa umezidishwa

Wakulima angalau wanaona faida

Elimu ya juu pesa imeongezwa.

Huna akili wewe
 
Huna akili wewe
Namba ndio zinaongea sio porojo zako.

Kabla ya kuchukua na kununa tafuta Bajeti ya Wizara yeyote unayoijua wewe mwaka 2020 harafu fananisha na Sasa then uje na majibu.

Kama hutaki huko nenda kwenye private investments report ya mwaka 2020 harafu njoo ulingamishe na ya Sasa

Broo utanuna weee na kutukana ila ukweli utabakia hivyo hivyo na endelea kukaa uache kutafuta fursa utaona moto kitaa.

Mwaka Jana kulikuwa na shida ya Maji Dar,vipi saizi Bado? Nipe jibu bwashee

View: https://youtu.be/KwM9kyXbXzg?si=O9s4mi4sul1f86bk
 
Petrol inatoka nje ya nchi inanunuliwa kwa fedha ya kigeni, hakuna namna ambayo sisi tunaweza kuwa na utawala wa bidhaa ya kutoka nje, wanaitawala wenye kumiliki hizo biashara na sio sisi.

Huko Lindi wamepata hospitali mpya tangu nchi ipate uhuru, unapowaambia awamu hii ni mbovu inabidi uje na hoja zenye kuingia vichwani mwao.

Kodi huwezi kukwepa kuzilipa iwapo unataka huduma ziboreshwe. Hao wanaotupa misaada wanajinyima matanuzi ili sisi tuweze kuishi, kumbuka hilo kabla hujaendelea kulialia.

Bandari inapata mwekezaji DP World na mwezi Novemba anaanza kazi, kule Mbegani Bagamoyo pia anakwenda kupatikana mwendeshaji mahiri, hiyo sekta ya uchukuzi serikali imejipanga kisawasawa.

Masuala mengi ya kiuchumi yanakwenda kupata ufumbuzi.

Punguza kulialia.
Kitaalamu tunakuita chawa promax. Uko beyond ya uchawa.
 
Unajitahidi kufafanua kinachofanywa na awamu ya sita lakini huwezi kuepuka kuitwa chawa wa mama.

Kwa haraka haraka ukiangalia biashara za frames za maduka mitaani utaona kuna uhai, nyingi zinafunguliwa na zile zilizoachwa magofu zinaendelea kufufuliwa. Kuna mzunguko wa pesa huko mitaani.

SSH anaendeleza kile kilichoanzishwa na marais wengine na ndio maana ya kupokezana vijiti.
Mimi Huwa sijali kuitwa chawa Kwa sababu am not Chawa na Wala silipwi na yeyote hapa ,natumia mda na rasilimali zangu kama raia Mzalendo na shabiki wa Samia.

Proud of her leadership and resilience maana Kuna mambo ningekuwa Mimi nisingevumilia.

Binafsi ukitaka nigombane na Utawala basi awe na sera za Kijamaa kama za Mwendazake maana mara nyingi ni sera za Kuendeleza uvivuzulalamishi na umaskini ndio maana utakuta zinaongoza Kwa vitisho na propaganda.

Kazi nzuri kama hii ya Samia inafanywa kwenye Mikoa ya Iringa,Geita,Tanga na Lindi.

View: https://twitter.com/TaruraTz/status/1705137668500115750?t=mBHcn_E9EkrZ5_C3fkFGvg&s=19

View: https://twitter.com/TaruraTz/status/1705138930952110314?t=nVcdW414yvzhvEh7UIpWog&s=19

Hizo ni Barabara za lami Vijijini sio TanRoads Bali Tarura
 
Kitaalamu tunakuita chawa promax. Uko beyond ya uchawa.
SSH anafanya kazi nzuri na sisi tunaoishi mijini huwa hatuoni matokeo ya kazi hiyo.

Kuna vijana 270 wapo Israel wanajifunza masuala ya kilimo, watakaporudi watakuja na fikra za kimapinduzi kwenye suala zima la kilimo na hakuna mtanzania anayewazungumzia.
 
SSH anafanya kazi nzuri na sisi tunaoishi mijini huwa hatuoni matokeo ya kazi hiyo.

Kuna vijana 270 wapo Israel wanajifunza masuala ya kilimo, watakaporudi watakuja na fikra za kimapinduzi kwenye suala zima la kilimo na hakuna mtanzania anayewazungumzia.
Hamuwezi kuona Kwa sababu mna alternative nyingi ila sie wa Vijijini tunaona kinachofanyika.

Hapo Mjini hata mkijengewa hospital ni kama hakuna kitu maana mna alternative za private pengine kina Mama ndio Huwa wanaona tofauti ila wanaume wa siku hizi ni hovyo kabisa kazi kulalamika tuu 😁😁

View: https://twitter.com/TaruraTz/status/1704884201378443280?t=oQojWRMPZ6rDhUsvPiKH6A&s=19

View: https://twitter.com/TaruraTz/status/1704887385438278066?t=o0LIVXIu2qiC3A_Dpm8wBQ&s=19
 
SSH anafanya kazi nzuri na sisi tunaoishi mijini huwa hatuoni matokeo ya kazi hiyo.

Kuna vijana 270 wapo Israel wanajifunza masuala ya kilimo, watakaporudi watakuja na fikra za kimapinduzi kwenye suala zima la kilimo na hakuna mtanzania anayewazungumzia.
Hao vijana unajua wazazi wao ni akina nani!?. Fuatilia then niambie kama kuna mtoto wa mlala hoi hata mmoja!

Halali umsifie mama kuwa anaupiga mwingi maana upo mjini, tembelea mikoani (vijijini) uone jinsi gani wananchi wanateseka kwa sababu ya ukosefu wa maji, umeme, kodi na mfumuko wa bei za bidhaa.

Hivi can you imagine mkoa kama wa mwanza unakosa maji wiki nzima wakati ziwa victoria lipo karibu namna ile.

Gharama za matibabu zimepanda watu wa kawaida hawawezi kuaford hizo gharama.

Watu wanachangamoto za figo, figo hazifanyi kazi vizuri na hawana uwezo wa kuaford dialysis hakuna msaada wowote kutoka kwa serikali, lakini akina professa J walioharibu figo zao kutokana na life style ndo wanasaidiwa, can you imagine that huh!. Kuna wagonjwa hawawezi hata kufanya vipimo kama CT SCAN na MRI.

Halafu chawa kama wewe unaibuka from no where unasema mama anaupiga mwingi huku miradi haikamiliki ndani ya muda.

Next time kabla haujajibu swali kukuhusu kumtetea mamaako Samia inatakiwa uende vijijini ukajionee maisha ya watanzania wenye hali ya chini. Nenda hata manzese ujionee watu wanavyoishi maisha ya shida.
 
Hao vijana unajua wazazi wao ni akina nani!?. Fuatilia then niambie kama kuna mtoto wa mlala hoi hata mmoja!

Halali umsifie mama kuwa anaupiga mwingi maana upo mjini, tembelea mikoani (vijijini) uone jinsi gani wananchi wanateseka kwa sababu ya ukosefu wa maji, umeme, kodi na mfumuko wa bei za bidhaa.

Hivi can you imagine mkoa kama wa mwanza unakosa maji wiki nzima wakati ziwa victoria lipo karibu namna ile.

Gharama za matibabu zimepanda watu wa kawaida hawawezi kuaford hizo gharama.

Watu wanachangamoto za figo, figo hazifanyi kazi vizuri na hawana uwezo wa kuaford dialysis hakuna msaada wowote kutoka kwa serikali, lakini akina professa J walioharibu figo zao kutokana na life style ndo wanasaidiwa, can you imagine that huh!. Kuna wagonjwa hawawezi hata kufanya vipimo kama CT SCAN na MRI.

Halafu chawa kama wewe unaibuka from no where unasema mama anaupiga mwingi huku miradi haikamiliki ndani ya muda.

Next time kabla haujajibu swali kukuhusu kumtetea mamaako Samia inatakiwa uende vijijini ukajionee maisha ya watanzania wenye hali ya chini. Nenda hata manzese ujionee watu wanavyoishi maisha ya shida.
Vijana wa BBT unawajua wazazi wao?

Kama awamu zilizotangulia zilishindwa Kupeleka umeme na Barabara Vijijini ulitegemea Kwa miaka 2.5 Samia amalizie hizo shida zote? Though is doing excellent job than any other before.Kodi zimeanza awamu ya 6? Kama Kuna mfumuko wa bei Kwa nini huzungumzii mfumuko wa pesa walizopata Sasa ambazo kabla walikuwa Hawapati? Uwe unaweka ushahidi kama Mimi

View: https://www.instagram.com/p/CxWFJZ3M6QD/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

Mkoa kama wa Mwanza lini ulikuwa na uhakika wa Maji? Ni sasa ndio Samia anajenga chanzo kikubwa Cha Butimba Kumaliza shida ya Maji kama Dar.

Kwanza lazima uelewe hicho unachoita gharama za magonjwa ya figo ni zimeshuka half price,Mama alishusha kama unabisha Uliza daktari wako amkwambie bei za 2020 na Sasa.On top of that hata hizo CT Scan zilikuwa hospital kubwa Sasa ni Mikoa yote(Kazi ya Samia vinginevyo wewe ulitakiwa utoke Nanjilinji Kufuata CT Scan Dar).

Mwisho maisha ya Vijijini Kwa Sasa ni Bora zaidi kuliko miaka 2 iliyopita ndio maana hukuti watu kukimbilia Mjini , Kijijini Kuna umeme,maji,Huduma za Afya,Shule na uhakika wa usafiri.

View: https://twitter.com/ruwasatz/status/1697129408434151904?t=-Ga72_Cq00nO0Uo8etX08g&s=19
 
Hao vijana unajua wazazi wao ni akina nani!?. Fuatilia then niambie kama kuna mtoto wa mlala hoi hata mmoja!

Halali umsifie mama kuwa anaupiga mwingi maana upo mjini, tembelea mikoani (vijijini) uone jinsi gani wananchi wanateseka kwa sababu ya ukosefu wa maji, umeme, kodi na mfumuko wa bei za bidhaa.

Hivi can you imagine mkoa kama wa mwanza unakosa maji wiki nzima wakati ziwa victoria lipo karibu namna ile.

Gharama za matibabu zimepanda watu wa kawaida hawawezi kuaford hizo gharama.

Watu wanachangamoto za figo, figo hazifanyi kazi vizuri na hawana uwezo wa kuaford dialysis hakuna msaada wowote kutoka kwa serikali, lakini akina professa J walioharibu figo zao kutokana na life style ndo wanasaidiwa, can you imagine that huh!. Kuna wagonjwa hawawezi hata kufanya vipimo kama CT SCAN na MRI.

Halafu chawa kama wewe unaibuka from no where unasema mama anaupiga mwingi huku miradi haikamiliki ndani ya muda.

Next time kabla haujajibu swali kukuhusu kumtetea mamaako Samia inatakiwa uende vijijini ukajionee maisha ya watanzania wenye hali ya chini. Nenda hata manzese ujionee watu wanavyoishi maisha ya shida.
Tatizo lenu ni hilo hilo kukimbilia maongezi ya matumizi ya neno chawa. Hasira zenu hazina msaada wowote wa kubadili hiyo hali.

Umaskini upo na utaendelea kuwepo kwa miaka mingi. Lakini nakataa kusema kwamba awamu ya sita haifanyi lolote. Yapo mengi sana ya kiuchumi yanayoendelea kufanyika muda huu.

Kuna suala la mishahara kuongezeka huwa haliongelewi, kuna masuala ya msururu wa kodi kufutwa hata siku moja hayasemwi.

Ukiamua kuyaongelea unapachikwa jina la Chawa!, kisa unajitegemea kwenye suala la kutoa maoni.
 
Huduma zote mhimu kwa wananchi zimefeli vibaya mno

Ripoti za CAG zinawekwa makabatini tu kwa mh sipika bila kufanyiwa kazi na wahusika wapo, hii ni dhambi kubwa sana na unyanyasaji kwa vibaka wa kuiba kuku huku mafisadi yakilelewa na viongozi!

Huduma za matibabu hovyo

Dollar hakuna

Umeme hakuna

Huduma ya maji safi ni taabu

Pesa mtaani hakuna

Bidhaa juu, hadi kero

Mafuta hayana mdhibiti, mfanya biashara akiamka vibaya tu, hasira zote anazielekezea kwa walala hoi, anapandisha bei ama kuficha bidhaa hiyo

Bei za vifaa vya ujenzi havishikiki!

Bandari zimemshinda kuzisimamia

Ni awamu itakayeongoza kuwapeleka jela wanawake

Kodi nyingi na za ajabu ajabu, ni awamu hii

Lilianza suala la umeme, kutoka 27,000 hadi malaki ya fedha kuingiziwa umeme, badaye kulifuata Bima ya mtoto utadhani mtoto ana hatia kuzaliwa duniani!

Badala yake, tumeona sheria za wake za maraisi kuingizwa kwenye kulipwa utadhani na wao wanaingia ofisini

Mbona hawazungumziwi na au sheria hiyo kuwahusu wake za watumishi wote wa umma?

Vijana wanabuya unga tu na kuwa kama mazezeta, maana yake, awamu hii wauza unga wanatamba tu hawana mtu wa kuwatisha!

Ni tafrani tupu

Hata kwa kikwete mlisema hivi alipokuja magu napo mkasema hivi tena mkazidisha kilio saiv kwa mama wimbo wenu ule ule
 
Tatizo lenu ni hilo hilo kukimbilia maongezi ya matumizi ya neno chawa. Hasira zenu hazina msaada wowote wa kubadili hiyo hali.

Umaskini upo na utaendelea kuwepo kwa miaka mingi. Lakini nakataa kusema kwamba awamu ya sita haifanyi lolote. Yapo mengi sana ya kiuchumi yanayoendelea kufanyika muda huu.

Kuna suala la mishahara kuongezeka huwa haliongelewi, kuna masuala ya msururu wa kodi kufutwa hata siku moja hayasemwi.

Ukiamua kuyaongelea unapachikwa jina la Chawa!, kisa unajitegemea kwenye suala la kutoa maoni.
Ongezeko la mshahara lina tija gani kwa mlala hoi!? Linaongeza mzunguko wa fedha mtaani!?.

Ongezeko lililofanywa kisiasa kwa kulenga 2025.

2025 we will murder someone, labda waweke mgombea mwingine.

You have my words.
 
Ongezeko la mshahara lina tija gani kwa mlala hoi!? Linaongeza mzunguko wa fedha mtaani!?.

Ongezeko lililofanywa kisiasa kwa kulenga 2025.

2025 we will murder someone, labda waweke mgombea mwingine.

You have my words.
Hakuna rais anayeweza kukuwekea pesa mfukoni mwako, utaendelea kulialla mpaka mwisho wa maisha yako.

JPM aliambiwa na wanyamwezi ndugu zake kwamba mzee huku kwetu kuna njaa sana!, akawaambia njaa mnataka nije niwapikie chakula nyumbani kwenu?. Hilo ndilo jibu la halali la kumpa mtu mvivu anayelialia siku nzima.
 
Back
Top Bottom