AzamNdugu mteja, kuanzia 01/04/2022, kuna mabadiliko ya bei kwa baadhi ya vifurushi; cha 20,000 kuwa 23,000; 13,000 kuwa 15,000; 4,000 kuwa 5,000: na 800 Kuwa 1000.
Vita ya Urusi na Ukraine inatuonyesha mambo.
mama gani?Huyu mzee anatamaa za ki k sana, yaani kashindwa kubuni miradi mingine mpk atunyonye huku?anajiona sijui,MAMA tusaidie hawa matajiri wanaanza kutumaliza
Hicho ni cha siku kwa wale watumiaji wa antenna, ki mahesabu ni gharama sana, kwani kwa mwezi labda kifurushi hicho ni tsh.13000, ukiona ni kubwa basi lipa 1000 kwa siku!!Hicho kifurushi cha buku ni cha katuni au [emoji2]
Sasa hicho kifurushi ni kwa siku moja tu!!Aisee mmeanza kulia kifurushi hadi cha 1000? Kweli azam mnakula bata sisi tunaolipa 91,000 dstv tuseme nini sasa[emoji28]
Tunatizama kwa majirani,sasa wataanza kututoza pesa kutizama BONDITAWatz wengine kulalamika tu hata iongezeke 100 watapiga kelele na pengine wao hawana hata hivo TV
Were eh DSTV!!!!Dah!!
Mngejuwa starehe iliyopo DSTV msingehangaika na Azam TV.
Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
1000 ni cha 24000 hrs hata startime wanachoAisee mmeanza kulia kifurushi hadi cha 1000? Kweli azam mnakula bata sisi tunaolipa 91,000 dstv tuseme nini sasa[emoji28]
Hicho ni cha siku moja. Si unajua Bakhresa anatuuzia hadi chapati, na nazi!Hicho kifurushi cha buku ni cha katuni au [emoji2]
watanzania kinachowaogopesha dstv ni lugha , hivi wafuasi wa sinema ya sultan uwapeleke dstv kweli ?Dah!!
Mngejuwa starehe iliyopo DSTV msingehangaika na Azam TV.
Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Mbona bongo movies zipo kibao tu?watanzania kinachowaogopesha dstv ni lugha , hivi wafuasi wa sinema ya sultan uwapeleke dstv kweli ?