Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,503
- 13,463
AzamNdugu mteja, kuanzia 01/04/2022, kuna mabadiliko ya bei kwa baadhi ya vifurushi; cha 20,000 kuwa 23,000; 13,000 kuwa 15,000; 4,000 kuwa 5,000: na 800 Kuwa 1000.
Vita ya Urusi na Ukraine inatuonyesha mambo.
Sent using Jamii Forums mobile app