Azam kupandisha bei za vifurushi kuanzia tarehe 1 Aprili, 2022

Azam kupandisha bei za vifurushi kuanzia tarehe 1 Aprili, 2022

Ndugu mteja, kuanzia 01/04/2022, kuna mabadiliko ya bei kwa baadhi ya vifurushi; cha 20,000 kuwa 23,000; 13,000 kuwa 15,000; 4,000 kuwa 5,000: na 800 Kuwa 1000.

Vita ya Urusi na Ukraine inatuonyesha mambo.
Azam
Screenshot_2022-03-24-11-42-37-22.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nichukue nafasi hii kuwapa pole ndugu zangu mnaotumia Azam..poleni Sana.
 
Inawezekana gharama za uendeshaji zimeongezeka, kodi n.k ambazo mtumiaji ndio anayebebeshwa.
 
Wanatuuzia godoro afu wanatunyima usingizi
 
Hicho kifurushi cha buku ni cha katuni au [emoji2]
Hicho ni cha siku kwa wale watumiaji wa antenna, ki mahesabu ni gharama sana, kwani kwa mwezi labda kifurushi hicho ni tsh.13000, ukiona ni kubwa basi lipa 1000 kwa siku!!
 
Watz wengine kulalamika tu hata iongezeke 100 watapiga kelele na pengine wao hawana hata hivo TV
Tunatizama kwa majirani,sasa wataanza kututoza pesa kutizama BONDITA
 
Ndo najaribu kuhusanisha mafuta na vifurushi vya Azam!🙃
 
Kama kila kitu kinapanda kwa nini nao wasipandishe?

Ni wakati sasa wa kila mtu kupandisha bei ya vitu unavyozalisha, kama huzalishi imekula kwako.
 
Back
Top Bottom