Azam TV badilisheni Tamthilia zenye mlengo wa itikadi za kidini

Dah wekezeni msiibe ela serikalini mkanunulia still na masherehe out that utatumia bidha ukitaka usitake ukiwa mzima aunumekufa
 
Walikufuata nyumbani ama walikushikia risasi ununue king'amuzi chao???
wacha manung'uniko ewe mtanzania, ving'amuzi viko vingi sana kurupuka.

Hallelujah!!!
Nilidhani utanzania kwanza kumbe mwenye kisimbuzi ana vipaumbele vyake
 
Je ni kweli hao wakristu na wapagani walikuwa ni wabaya sana hata kuhusisha na imani ndani yake
Askari wa vita vya msalaba walikua peku,hawajui kusoma na kuandika,wezi/waporaji,wauaji wa wanawake na watoto
 
Askari wa vita vya msalaba walikua peku,hawajui kusoma na kuandika,wezi/waporaji,wauaji wa wanawake na watoto
Cheki hii chuki angalau Haina ushahidi kama ule ulioainishwa katika kuluwani na Hadith
 
Cheki hii chuki angalau Haina ushahidi kama ule ulioainishwa katika kuluwani na Hadith
Tatizo lenu hampendi kusoma

How were the Crusades bad?


Enflamed by hate-filled sermons, Crusaders massacred Jewish communities in Europe on their way to the Middle East and sacked and murdered some of the Christian communities they found in the Levant as well.24 Feb 2011

World Edition - The Atlantic β€Ί archive

Hey,

Hiyo ni kidogo tu,sasa tafuta mwenyewe zaidi​

 
Hebu soma suratul baqarah ndo ujue kwanini ikaja crusade
 
Kwanini unanielekeza nikajifunze kwa mtu mmoja unayemjua wewe wakati historia iko wazi?
Crusade sio historia ya kujificha ina vyanzo lukuki
Sababu kuna utofauti kujifunza kwa Layman na kwa proffesional, unaweza weka mtu wa level ya Roy professor wa Historia ambaye anasema otherwise?
 
We atheist gani unashindwa kupambanua mambo vizuri??
Waturuki ni waislam majority na maudhui yao lazima yapendelee upande huo. Sasa kuleta content kama hizo katika nchi yenye dini nyingi kama hii yetu unadhani ni sahihi ???
Kwa nini hazilalamikiwi tamthilia za nchi nyingine ila wao tu kila siku??
 
Angalia upo nchi gani. Hii ni Tanzania na sio India.
Dini ni influencial Kwa wale wanaoiamini. This is Tanzania yenye waislam na wakristo Kwa wingi,hayo mambo ya wahindu ni nothing to us. Tatizo ni pale zinapoguswa zinazotuhusu.
 
Hizo ni historian za vita vya zamani vya Waturuki sawa na za Kichina utaona ma Shaolin Temple monks wanawatwanga watu wa Imani nyingine ni historia na kama zinakukera hapo Azam Kuna chanel za Tumaini, Upendo, Arise and Shine,WRM, Hope , Jehovah Jire za dini za Kikristo si ungalie huko.
Ukiacha kulipia king'amuzi cha Azam itakuwa na impact gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…