Baada ya bandari kubinafisishwa kwa miaka 100, ninamuomba radhi chifu Mangungo

Wapi Bunge limejadili?
hilo bunge Mungu alilaani kwa kukubali uzandiki uendelee ndani ya nchi karne hii.ni bunge la hovyo ambalo halijawahi tokea tangu tupate uhuru.tuhamasishane katiba mpya pamoja na kuwaondoa kwenye sanduku la kura wabunge wote wa bunge hili.leo nimesikia tbc radio serikali inawaondoa wananchi wote waliovamia ardhi ya zanzibar pale bagamoyo.nimejiuliza sana tena kwa uchungu inakuwaje zanzibar wanakuwa na ardhi bagamoyo?Mungu inusuru nchi hii na haya majanga ambayo yana athari kubwa huko mbeleni.
 
apo maana yake ni kwamba nchi inakuwa uchi kwa mfano jeshi letu linataka kuingiza siraha mpya au mitambo ao waarabu watajua kilakitu..
 
Mbona wanauza vya Tanganyika tu ?
 
Mbona wanauza vya Tanganyika tu huko kwao hawana cha kuuza ?
 
Serikali ya tanzani imejaza viongozo wala rushwa na wezi
 
Na bado mpaka mje kuamka mtajikuta na minyororo Shingoni......
 
Kama watu ndiyo wajinga kama nyie bora bandari ibinafshwe Tu
Ungejua kwanza mimi sinaga ushabiki na mtu au vitu...Am afree mind personality, we kikitajwa jina la JPM unahemka tu bila kujali katajwa kwa lipi? Is he your idol?
 
Pana muda naaacha kufatilia mambo ya Siasa unaona unaumiza moyo tuu maana watu wakitoka kwenye mikataba ya Kimangungo wanakuja kuongeza Tozo daah aisee kazi tunayo...
 
Kwaheri mama Tanganyika karibu utumwa kwa hisani ya Samia.
 
Mbona Serikali inatuchanganya? Which is which? Who when why?

Mkataba wa Mwaka au Jiti? Faida ya Trilioni 14 zinaatikanaje kwa huo mwaka? Maana ufafanuzi unasema Waarabu wataongeza mapato kutoka 7T mpaka 21T kwa mwaka.
 
Nchi hii hakuna tunachoweza labda ufisadi. Nitajie kitu kimoja tu ambacho kama Mtanzania unaweza kusimama mbele ya dunia ukajipiga kifua kuwa tumeweza kukiendesha kwa ufanisi. Nipo nimekaa paleeee!

Yakianzishwa mashindano ya ufisadi tunaibuka videdea bila kupingwa hata Wanaija safari hii tunawakalisha dadeki! 🚮🚮🚮
 
Kinachonishangaza ni hiki hiyo Bandari hatuwezi kuindesha wenyewe mpaka tuwape watu wengine na kwa nini vinafanyika vitu ambavyo kwa macho tuu unaona havina faida kwa Watanzania na vinakubaliwa ni kwa faida ya nani kweli Bandari tuu inatushinda tutaweza kufanya nini? Vijana wapo mtaani huko wanazagaa kama vile Nchi sio yao harafu waliopewa dhamana wanaingia mikataba isiyoeleweka kwa nini hiyi mikataba isijadiliwe Bungeni kama ni faida ya Wananchi na sio Watawala wanaogopa nini?
 
Mkuu kusimamia Bandari mimi sioni kama ni kazi sana mpaka tuwape watu au mimi pana vitu sielewi kuhusu bandari yetu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…