frankkilulya
JF-Expert Member
- Apr 6, 2022
- 590
- 1,494
magufuli seen
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Athari yake ni nchi kutumia niuz nyingine kupata mapato, mfano ni kuintroduce Kodi sehemu nyingi. Leo ukipata mita mpya ya umeme utapaswa kulipa Deni la tokea 2021Miimi nina mtazamo tofauti na wengi. Hiyo Bandari ikodishwe tu waje Watu wenye akili walete ufanisi.
Wakimaliza waje wabinafsishe na Custom ya border ya Tunduma. Lori moja linatumia karibia dakika 20 mpaka nusu saa kupita kwenye scaner wakati kuna malori zaidi ya 500 kwenye foleni. Hakuna ubunifu ni uzembe tu. Waje tu Watu wenye akili wawekeze tu.
Common sense tu wala huitaji utafute mganga, uwekezaji mkubwa kama huo unawezaje kuwa wa mwaka mmoja? Serikali wanajua baada ya mwaka mtazoea tu na hakuna wa kuulizia tena, atayeuliza ataambiwa kuna vitu havijakamilika wanatakkwa kuendeleaMbona Serikali inatuchanganya? Which is which? Who when why?
Mkataba wa Mwaka au Jiti? Faida ya Trilioni 14 zinaatikanaje kwa huo mwaka? Maana ufafanuzi unasema Waarabu wataongeza mapato kutoka 7T mpaka 21T kwa mwaka.
Wameonaa tunapiga kelele miak 100 wameonaa wapunguzee miaka ila bado nina maswaliu mengi sana yani kwenye hay matrilion ya msaada hatuwezi kuleta kampuni ikajengaa miundo mbinu mizuri ya bandari na kuweka system za kuoperate mpaka tubinafsishe bandari? hatari sanaaa hili limedhihirishaa VIONGOZI WETU HAWAJITAMBUI KABISAA yani hili suala kulijadili bungeni ni matusi makubwa mnooooo...mnooo bora wajadili USHOGA KAMA HAWANA KAZI.Common sense tu wala huitaji utafute mganga, uwekezaji mkubwa kama huo unawezaje kuwa wa mwaka mmoja? Serikali wanajua baada ya mwaka mtazoea tu na hakuna wa kuulizia tena, atayeuliza ataambiwa kuna vitu havijakamilika wanatakkwa kuendelea
Tabu ni baadae raisi atayekuja na kulalamika hili wote watapiga u-turn
Bandari ilishajengwa na tbc juzijuzi wakasifiaa kasi ya upanuaji bandari, kila sifa ikamwagwa. Huyu mwarabu kajiokotea dodo, kakuta tayari uwekezaji mkubwa ushafanyikaWameonaa tunapiga kelele miak 100 wameonaa wapunguzee miaka ila bado nina maswaliu mengi sana yani kwenye hay matrilion ya msaada hatuwezi kuleta kampuni ikajengaa miundo mbinu mizuri ya bandari na kuweka system za kuoperate mpaka tubinafsishe bandari? hatari sanaaa hili limedhihirishaa VIONGOZI WETU HAWAJITAMBUI KABISAA yani hili suala kulijadili bungeni ni matusi makubwa mnooooo...mnooo bora wajadili USHOGA KAMA HAWANA KAZI.
Ulitaka wakubali?Mbona serikali imekanusha Hilo la miaka 100
yani kwanza mkataba wa bagamoyoo Magu alisema wazi ni mkataba wa ovyoo na kiwendawazimu ila kwa kuwa hayupo wameamua waufufue upya.. Unajenga bandari kwa mkataba wa ovyoo kama uleee bado bandari kuu ya dar unampa MWARABU???? ila aisee ni vile tu hii nchi ina amani ila something must be done.... kuna ujinga mwingi sana unaendelea.Bandari ilishajengwa na tbc juzijuzi wakasifiaa kasi ya upanuaji bandari, kila sifa ikamwagwa. Huyu mwarabu kajiokotea dodo, kakuta tayari uwekezaji mkubwa ushafanyika
Alafu walivyo wasahaulifu, wamesema bandari ya dar imefikia kikomo ndio maana wanataka bandari bagamoyo, hapohapo wanasema mwarabu atafanya uwekezaji mkubwa wa kupanua hii bandari
Hauhitaji kumuomba radhi Mangungo kwa mkataba ambao bado haujasainiwa.NATAMANI KUWAOMBA MSAMAHA KINA CHIEF MANGUNGO
____________________
Kuna nyakati huwa Natamani Sisi Watanzania Kuwaomba Msamaha mababu zetu akiwemo Chief Mangungo kwa KUWACHEKA na Kuwa na HASIRA nao kwa kuingia Mkataba wa Ulaghai na Dr. Carl Peters wa Ujerumani ambao ndio uliidhinisha mwanzo wa utawala wa Kikoloni Karne ya 19.
Ni wazi kabisa kizazi chetu cha sasa kila kinaporejea kusoma namna mababu zetu walivyoingizwa Kingi kwenye mikataba ya ulaghai hasa kwa kumrejea Chief Mangungo wa Msowero hucheka na kuona walikuwa wajinga kiasi gani mpaka wakubali?
Lakini mababu hawa kina Chief Mangungo hawakuwa na elimu yoyote, hawakuwa wametembea sehemu mbalimbali yaani hawakuwa na exposure, mababu hawa walidanganywa kwasababu hawakuwa na elimu yoyote ya darasani na hata kutia saini walitumia dole gumba huku wakiwa hawaelewi kilichoandikwa.
Kizazi hikihiki cha baada ya Ukoloni, kizazi chenye elimu, kizazi kinachojua lugha zote rasmi duniani, kizazi cha kidigitali, kinashindwa kujiuliza na kuhoji na kuwacheka viongozi wake ambao wamekuwa wakisaini mikataba ya miaka ya zaidi ya 100 ambayo ndani yake kuna athari za kizazi na kizazi. Mikataba inayokuwa inamnufaisha mwekezaji zaidi na kuwanyonya wazawa.
Mikataba inasainiwa na viongozi waliosoma na kusomeshwa kwa fedha za umma na wana Degree, Masters na PhD, mikataba wanayosaini ni ya kinyonyaji na ya hovyo lakini mikataba inatetewa kwamba wawekezaji hawa wataongeza ajira na kizazi cha Kisomi kinafurahia na kushangilia, hakuna kuhoji, hakuna kuuliza. Ajira zinazoongezwa ni za Malipo ya bora mkono uende kinywani. Ajira zisizo za ukombozi wa kiuchumi.
Nimebahatika kuona mahali kwa macho yangu, Kiwanda ambacho kipo Tanzania eneo kilipo kuna makubaliano ya kimkataba miaka 100 kinazalisha nguo ambazo zinakwenda kuuzwa nje. Nguo zimeandikwa Made in China ila zinatengenezwa hapa kwetu. Kina wafanyakazi zaidi ya 400 (Mia nne) Mishahara wanayolipwa take home Yaani baada ya makato yote ni Sh. 90,000TZS na masaa ya kufanya kazi ni saa mbili asubuhi hadi saa moja usiku, Jumatatu hadi Ijumaa na Jumamosi ni mwisho saa nane mchana. Makontena na makontena huingia na kutoka kila wiki. Je, huyu mwekezaji ana Faida gani kwa nchi yetu kama sio unyonyaji ni nini?
Hivi mbele ya kizazi chenye wasomi lukuki viongozi wanathubutu kusaini mkataba wa kuuza bandari ya Dares salaam kwa miaka mia moja?
Je, mkataba kama huu, ulisainiwa na Mangungo? Kwanini tuwacheke wazee wetu ambao hawakuwa na elimu yoyote?
Natamani Kuwaomba msamaha kina Chief Mangungo.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.View attachment 2648183
hapana mpaka bunge kuleta ule mswada hadharani sidhani kama haujasainiwaa ila wanafanya hivii ili kesho ukikutaa hata makuli ni waarabu pale bandari usishangae... yani kubinafsisha bandari ni UTAHIRAAAAAAAAAAA hakuna namna nyingine unaweza lisema hili.Hauhitaji kumuomba radhi Mangungo kwa mkataba ambao bado haujasainiwa.
NAKAZIAUafrika hasa utanzania ni LAANA
Kwanza hakuna huo mkataba na barua ya kukanusha ipo. Pili nitajie menejimenti moja iliyopewa bandari na ikafanya kazi kwa ufanisi mkubwa. Masuala ya bandari inayokutanisha wadau wa mataifa mengi kwa wakati mmoja sio ya kuendeshwa na watu wasio na uzoefu wa kutosha kwa maana ya kuwa wataalam wa uchumi waliobobea.hapana mpaka bunge kuleta ule mswada hadharani sidhani kama haujasainiwaa ila wanafanya hivii ili kesho ukikutaa hata makuli ni waarabu pale bandari usishangae... yani kubinafsisha bandari ni UTAHIRAAAAAAAAAAA hakuna namna nyingine unaweza lisema hili.
Kinara wa kusifu na kuabudu umeamua kubadili mtazamo ni vizuri nadhani umejifunza kitu.NATAMANI KUWAOMBA MSAMAHA KINA CHIEF MANGUNGO
____________________
Kuna nyakati huwa Natamani Sisi Watanzania Kuwaomba Msamaha mababu zetu akiwemo Chief Mangungo kwa KUWACHEKA na Kuwa na HASIRA nao kwa kuingia Mkataba wa Ulaghai na Dr. Carl Peters wa Ujerumani ambao ndio uliidhinisha mwanzo wa utawala wa Kikoloni Karne ya 19.
Ni wazi kabisa kizazi chetu cha sasa kila kinaporejea kusoma namna mababu zetu walivyoingizwa Kingi kwenye mikataba ya ulaghai hasa kwa kumrejea Chief Mangungo wa Msowero hucheka na kuona walikuwa wajinga kiasi gani mpaka wakubali?
Lakini mababu hawa kina Chief Mangungo hawakuwa na elimu yoyote, hawakuwa wametembea sehemu mbalimbali yaani hawakuwa na exposure, mababu hawa walidanganywa kwasababu hawakuwa na elimu yoyote ya darasani na hata kutia saini walitumia dole gumba huku wakiwa hawaelewi kilichoandikwa.
Kizazi hikihiki cha baada ya Ukoloni, kizazi chenye elimu, kizazi kinachojua lugha zote rasmi duniani, kizazi cha kidigitali, kinashindwa kujiuliza na kuhoji na kuwacheka viongozi wake ambao wamekuwa wakisaini mikataba ya miaka ya zaidi ya 100 ambayo ndani yake kuna athari za kizazi na kizazi. Mikataba inayokuwa inamnufaisha mwekezaji zaidi na kuwanyonya wazawa.
Mikataba inasainiwa na viongozi waliosoma na kusomeshwa kwa fedha za umma na wana Degree, Masters na PhD, mikataba wanayosaini ni ya kinyonyaji na ya hovyo lakini mikataba inatetewa kwamba wawekezaji hawa wataongeza ajira na kizazi cha Kisomi kinafurahia na kushangilia, hakuna kuhoji, hakuna kuuliza. Ajira zinazoongezwa ni za Malipo ya bora mkono uende kinywani. Ajira zisizo za ukombozi wa kiuchumi.
Nimebahatika kuona mahali kwa macho yangu, Kiwanda ambacho kipo Tanzania eneo kilipo kuna makubaliano ya kimkataba miaka 100 kinazalisha nguo ambazo zinakwenda kuuzwa nje. Nguo zimeandikwa Made in China ila zinatengenezwa hapa kwetu. Kina wafanyakazi zaidi ya 400 (Mia nne) Mishahara wanayolipwa take home Yaani baada ya makato yote ni Sh. 90,000TZS na masaa ya kufanya kazi ni saa mbili asubuhi hadi saa moja usiku, Jumatatu hadi Ijumaa na Jumamosi ni mwisho saa nane mchana. Makontena na makontena huingia na kutoka kila wiki. Je, huyu mwekezaji ana Faida gani kwa nchi yetu kama sio unyonyaji ni nini?
Hivi mbele ya kizazi chenye wasomi lukuki viongozi wanathubutu kusaini mkataba wa kuuza bandari ya Dares salaam kwa miaka mia moja?
Je, mkataba kama huu, ulisainiwa na Mangungo? Kwanini tuwacheke wazee wetu ambao hawakuwa na elimu yoyote?
Natamani Kuwaomba msamaha kina Chief Mangungo.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.View attachment 2648183
Kumbe barua ipo, kama unayo tuwekee hapa.Kwanza hakuna huo mkataba na barua ya kukanusha ipo. Pili nitajie menejimenti moja iliyopewa bandari na ikafanya kazi kwa ufanisi mkubwa. Masuala ya bandari inayokutanisha wadau wa mataifa mengi kwa wakati mmoja sio ya kuendeshwa na watu wasio na uzoefu wa kutosha kwa maana ya kuwa wataalam wa uchumi waliobobea.
Kila rais anakuja na team yake pale bandarini na inaishia kuwa ya wezi na wapigaji, kwanini tusijaribu kuja na menejimenti nyingine?. Cha muhimu ni kuwa na taratibu za kazi zenye kueleweka kila upande.
Tunapiga makelele humu JF tukipewa jukumu la kuendesha bandari unakuwa ni utumbo ule ule wa kila siku.
Yani umeonaa tulivyolaaniwaa... wew unaamini Mwarabu au Mgeni anaweza kusimamia bandari kiusahihi kuliko mwafrika??? hapa shida unaweka watu kwa kujuana na kuamini aliesoma ndo ana uwezo mzuri wa kuongoza.. yule mkurugenzi aliiba akakutwa na mamilion kibao mwisho wa siku akarudishwaaaa... Hivi shida ni usimamizi au shida ni miundo mbinu???? tunajishusha sana na tunafanya kazi kwa kujuana na mazoeaa.Kwanza hakuna huo mkataba na barua ya kukanusha ipo. Pili nitajie menejimenti moja iliyopewa bandari na ikafanya kazi kwa ufanisi mkubwa. Masuala ya bandari inayokutanisha wadau wa mataifa mengi kwa wakati mmoja sio ya kuendeshwa na watu wasio na uzoefu wa kutosha kwa maana ya kuwa wataalam wa uchumi waliobobea.
Kila rais anakuja na team yake pale bandarini na inaishia kuwa ya wezi na wapigaji, kwanini tusijaribu kuja na menejimenti nyingine?. Cha muhimu ni kuwa na taratibu za kazi zenye kueleweka kila upande.
Tunapiga makelele humu JF tukipewa jukumu la kuendesha bandari unakuwa ni utumbo ule ule wa kila siku.
Tafuta humu humu JF asubuhi kuna mtu kaiweka.Kumbe barua ipo, kama unayo tuwekee hapa.
Mkuu mwafrika ni mwizi tu, kila report ya CAG ni madudu kwa kwenda mbele. Hatuna kipya chochote cha maana, ni mwendo wa urasimu ili mteja achukie atoe rushwa, bullshit kwa kifupi.Yani umeonaa tulivyolaaniwaa... wew unaamini Mwarabu au Mgeni anaweza kusimamia bandari kiusahihi kuliko mwafrika??? hapa shida unaweka watu kwa kujuana na kuamini aliesoma ndo ana uwezo mzuri wa kuongoza.. yule mkurugenzi aliiba akakutwa na mamilion kibao mwisho wa siku akarudishwaaaa... Hivi shida ni usimamizi au shida ni miundo mbinu???? tunajishusha sana na tunafanya kazi kwa kujuana na mazoeaa.
Kumbe huna umeiona mtu kaiweka humu JF una uhakika gani kama ni sahihi.Tafuta humu humu JF asubuhi kuna mtu kaiweka.