Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Hii team lumumba mpya utopolo inakuja kasi kama nyuki kuokoa jahazi linalozama!yaani kuelezea na kukumbushia majukumu ndio kumfokea?
chama ni lazima siku zote kilelewe katika nidhamu na utii na hiyo ndiyo slogan ya chama ha mapinduzi.
h0ongera katbu mkuu kwa kuwakumbusha wanchama wako juu ya mienendo mizuri na utekelezaji wa wajibu na majukumu yao