fordrick2012
Member
- Sep 3, 2020
- 54
- 61
tutashinda kwa kikshindo kwa mfumo wa uwazi na kukumbushana majukumu yetu
ccm oyweeee
ccm oyweeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iko sawa, Unapokua mgombea wa ccm unabeba image ya chama so unapaswa kuishi kwa kutambua kuwa unabeba tswira ya chamaSiiingilii maisha binafsi,hakuna maisha binafsi unapokuwa mgombea ccm
Kiswahili kigumu nadhani[emoji1438]♂
Kwa maoni yangu Hamisi Kigwangalla ana hujumu kampeni za CCM kwa kujua au kutokujua. Majibizano yake na Mo yameanzisha mijadala kwenye social network zote, baada ya watu kufuatilia ahadi zinazotolewa na mwenyekiti wake, badala yake watu wanafuatilia mabishano yake na Moo.
Anajua fika kuwa ukigusa simba na yanga nchi hii unawagusa wengi hivyo watu wameacha siasa wanamtetea Mo.
Hamisi ajue CCM inatumia gharama kubwa kwenye kampeni hizi hivyo kuyumbisha watu kwa namna yoyote ile ni kujitia hasara wenyewe pia ajue mitandao ya kijamii ni muhimu sana kipindi hiki kwani kuna wafuatiliaji wengi.
Hatujui kwa nini alete madai haya kipindi hiki cha kampeni.
Kukopa kuna kupata na kukosa, kama alikunyima kukukopesha achana nae.
Naam si busara kutoka jimboni, haijalishi umepita bila kupingwa au unanguvu zaidi ya wapinzani wakoNape naye kaambiwa arudi Lindi akaandae mkutano wa Kikwete kwani huko Ilemela alikokwenda hakuna aliyemtuma
sahihi lakini mpaka anamtarget yeye ni kwa sababu ya kilichikuwa kinaendelea na kama angekuwa too general utekelezaji usingelikuwa instant kama ilivyokuwa inahitajika na pia kumbuka huyo ni mgombea wa ubunge katki ajimbo lake alikuwa tayari ameshasahau majukumu yake kwa kipindi hichi cha uchaguzi ya kunadi ilani na sera za mgombea uraisi wa chama chake na kuengage zaidi kwenye mitandao ya kijamiiAkumbushe wanachama wote basi, sasa yeye mpaka aone kichaka ndo mavi yambane??
Nape bwana.Haueleweki..
kweli kabisa na katibu mkuu katimiza majukumu yake ya kuwarekebisha wanachama wake pale wanapokuwa wapo nje ya mstariwamekosea mno wamestahili onyo kali
Planned ya kuwaondoa watu kwenye reli ccm sio wa kuwaaminikweli kabisa na katibu mkuu katimiza majukumu yake ya kuwarekebisha wanachama wake pale wanapokuwa wapo nje ya mstari
naskia bashiru kashampiga msumari
Kigwa kanyea kambi, Wakati Moo akiiitumia Simba Day kumnadi Na 1 na kuchombeza Salam za Chama Tawala yeye ameona hiyo haifai anaamua kumpaka matope. Hakika Kigwa umeeenda chakka kumgusa Moo kipindi hiki kisa tu Bodaboda za Mkopo zimebuma.
Lakini Hamisi kasema ukweli 20 B za Simba zilipwe,no free lunch kwa MO.Hahahha naona wameamua mumfunga breki bwana Hamis
Aisee si uitoe hiyo maendeleo hayana vyama. Inanikera km hajismanara anavowakera utoDr Kigwangalla yuko sahihi Mo Dewji alipe sh bilioni 20 za Simba.
Maendeleo hayana vyama!