Baada ya Humphrey Polepole kuteuliwa kuwa Mbunge. Je, nani kuchukua nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi ndani ya CCM?


Hapa bila shaka anaweza kuwekwa James Kheri. Au ataibuliwa kijana mwingine kabisa kama ilivyotokea kwa Humphrey Polepole
 
Dr. Hassan Abbas, Dr. Kijazi(wa Tanapa na naibu katibu mkuu maliasili) wana kofia moja.

Tumetelekeza na tunasonga mbereeeeee.

CCM oyeeeeeeee
nilisha tabiri pole pole hajaitendea haki nafasi hii. Na . Ukimlinganisha na nape . Angalau bashiri kutolewa wala sishangai
 
Umeshamharibia Makonda! Bwana yule alishasema kabisa hapangiwi na kwa kuwa umeshamtaja Makonda, ndio umemharibia kabisa, hapewi ng'oooo!!
 
sijui kwanini huwa namkubali sana makonda paul..

naamini ni moja ya silaha hatari sana zilizo sub wakati huu...
 
Kama tunavojua mwenyekiti wa CCM aliwahi kutamka haiwezekani mavyeo mengi yote apewe mtu mmoja.

Na leo kamteua pole pole kuwa mbunge, kwa namna tunavojua mbunge anatakiwa mda mwingi awe bungeni na field kwa wananchi jumbo ambalo halita mpa nafasi kubwa pole pole ya kuoperate kama katibu muenezi, ikumbukwe kazi za uenezi ni nyingi kuliko za ubunge,uenezi unadeal na chama chote nchi nzima ikiwemo na watendaji wa serikali waliotokana na nafasi za kisiasa.

Kama atabaki kuwa katibu muenezi kuna mambo mawili.
1.kuwadhibiti wabunge wa ccm ndani ya bunge moja kwa moja.
2.kuna jambo mwenyekiti analitaka kwa wawakilishi wa wananchi ambalo linaitji uwakilishi wake wa moja kwa moja. Naomba mungu isiwe kuogeza miaka toka mitano hadi Saba. Narudia tena sio kuogeza muhula wa utawala kwamaana ya mitano tena
Maana hili aliisha likanusha bali namaanisha kuogeza miaka toka aliopo mpka msaba (miaka 2) bila uchaguzi ili amalize kazi.

Kama mwenyekiti wa ccm atasimamia dhana yake ya kofia moja kwa mtu mmoja ni wazi kwamba mwanga na upepo unamuelekea Makonda.
Hakuna mtu anayeiweza hiyo nafasi kwa sasa kama yeye.
No mbinifu anajua kujipendekeza n.a. kunyenyekea kwa mwenyekiti pia anajua kujibu hoja za wapinzani.

Naomba kuwasilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…