Baada ya Humphrey Polepole kuteuliwa kuwa Mbunge. Je, nani kuchukua nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi ndani ya CCM?

Baada ya Humphrey Polepole kuteuliwa kuwa Mbunge. Je, nani kuchukua nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi ndani ya CCM?

Ni wakati sasa wanawake wakapewa nafasi muhimu katika sekretarieti ya CCM, hivyo napendekeza nafasi hiyo safari hii iwaangalie zaidi dada zetu.

Kama vipi yule mwenezi wa CCM Zanzibar apandishwe cheo awe wa taifa ama DC Jokate aliyewahi kuwa Katibu wa uenezi na hamasa UVCCM atatosha kuvaa viatu vya Polepole.

Maendeleo hayana vyama!
 
Baada ya Rais Magufuli kumteua Humphrey Polepole kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nafasi yake ya Katibu Itikadi na Uenezi ndani ya CCM ni rasmi sasa uko wazi kwani mheshimiwa Rais alishaweka utaratibu wake kwamba viongozi hawawezi kuvaa kofia mbili katika uongozi

Taarifa zinazorindima katika magrupu ya wanaccm na UVCCM ikiwemo ni kwamba nafasi hii ya Katibu Uenezi na itikadi unaenda kutwaliwa na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda

Nawasilisha
Nilihisi tu, makonda au Abdallaah Bulembo
 
Ni wakati sasa wanawake wakapewa nafasi muhimu katika sekretarieti ya CCM, hivyo napendekeza nafasi hiyo safari hii iwaangalie zaidi dada zetu.

Kama vipi yule mwenezi wa CCM Zanzibar apandishwe cheo awe wa taifa ama DC Jokate aliyewahi kuwa Katibu wa uenezi na hamasa UVCCM atatosha kuvaa viatu vya Polepole.

Maendeleo hayana vyama!
Pendekezo zuri. You never know mkuu. Anaweza kuwa hata dada yako.
 
Labda Pascal atakumbukwa. Maana anavyojipendekeza siku hizi mpaka imekuwa kero. Anafuata nyayo za yule jamaa yetu wa mkoani Singida aliyejipendeza mpaka akapata uwaziri dakika za mwisho kabla ya bunge kuvunjwa. Yetu masikio na wa kujipendekeza wataanza.
 
Ni wakati sasa wanawake wakapewa nafasi muhimu katika sekretarieti ya CCM, hivyo napendekeza nafasi hiyo safari hii iwaangalie zaidi dada zetu.

Kama vipi yule mwenezi wa CCM Zanzibar apandishwe cheo awe wa taifa ama DC Jokate aliyewahi kuwa Katibu wa uenezi na hamasa UVCCM atatosha kuvaa viatu vya Polepole.

Maendeleo hayana vyama!
Makonda anapewa uenezii subiri uonee
 
Mwanamke atakuwa na ujasiri wa kuratibu wizi wa kura na utekaji wa wagombea wa upinzani wakati wanarudisha NEC fomu za uteuzi? Sifa moja kuu kwenye hiyo nafasi uwe na roho ngumu ikiwezekana kuuua kwa ajili ya ushindi kwa chama😜😜😜
 
Ni wakati sasa wanawake wakapewa nafasi muhimu katika sekretarieti ya CCM, hivyo napendekeza nafasi hiyo safari hii iwaangalie zaidi dada zetu.

Kama vipi yule mwenezi wa CCM Zanzibar apandishwe cheo awe wa taifa ama DC Jokate aliyewahi kuwa Katibu wa uenezi na hamasa UVCCM atatosha kuvaa viatu vya Polepole.

Maendeleo hayana vyama!
Sauti ya zege?!
 
Apewe inginia isack kamwele...
Aliyekuw waziri wa ujenzi na miundombinu
 
Paul Makonda.
Ukisoma nyendo zake za siku za karibuni utaona kuna kitu kinakuja!!
 
Sifikiri kama CCM watataka kuweka mtu ambaye sio smart. HP ni smart hata kama wengine hatumpendi. PM sioni kama ni smart kutosha kuvaa viatu vya HP. Maoni yangu tu.
CCM hamna mtu smart.
CCM akili hazitakiwi kwani hazitumiki.
CCM kikubwa ni kujua wizi/ufisadi, uchawi, unafiki, uongo na kusifu.
 
WanaJf ni lazima tupendane.

Kwa namna mkuu Pascal Mayalla anavyoipigania CCM na kwa taaluma yake ya uandishi wa habari na sheria, ninamuona kama mtu sahihi katika nafasi iliyoachwa wazi na Polepole.

Wanaccm wenye mapenzi mema maoni yenu Tafadhali.

Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom