Paschal Malaya sorry Mayala hio nafasi ataimudu sawia kabisa, make ana njaa Kali na wenye njaa Kali ukimwambia hilo koleo/chepe kawatangazie kuwa ni kijiko kikubwa, bila aibu wala shida kabisa paschal kila mtu atamwanisha kile ni kijiko kikubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Team Lowassa ndio wakati wao Bashe amewawakilisha vizuri sana!Team Lowassa huyu. Magufuli bado ana nongwa.
Ni mmachame!Kwani nae ni msukuma?tuanzie apo kwanza.
Bwashee huwezi ukampa mtu nafasi nyeti namna hii huku ukijua kabisa ana njaa. Kama mnataka kukidhalilisha chama, mpeni muone.WanaJf ni lazima tupendane.
Kwa namna mkuu Pascal Mayalla anavyoipigania CCM na kwa taaluma yake ya uandishi wa habari na sheria, ninamuona kama mtu sahihi katika nafasi iliyoachwa wazi na Polepole.
Wanaccm wenye mapenzi mema maoni yenu Tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!
Pasco namuona kama Mashinji tu!WanaJf ni lazima tupendane.
Kwa namna mkuu Pascal Mayalla anavyoipigania CCM na kwa taaluma yake ya uandishi wa habari na sheria, ninamuona kama mtu sahihi katika nafasi iliyoachwa wazi na Polepole.
Wanaccm wenye mapenzi mema maoni yenu
Hjyo atazidi kuwapeleka chaka.WanaJf ni lazima tupendane.
Kwa namna mkuu Pascal Mayalla anavyoipigania CCM na kwa taaluma yake ya uandishi wa habari na sheria, ninamuona kama mtu sahihi katika nafasi iliyoachwa wazi na Polepole.
Wanaccm wenye mapenzi mema maoni yenu Tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!