Baada ya Humphrey Polepole kuteuliwa kuwa Mbunge. Je, nani kuchukua nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi ndani ya CCM?

Hamna atapatikana tu mwingine,kumbuka nape nauye alipoingia bungeni nakuteuliwa polepole kwa muda mrefu sana poleple akaonekana kashindwa kuvaa viatu vya nape nauye mpaka ilipofika kipindi cha uchaguzi 2020 ndipo walau polepole ali shaini
Nape hakufanya kazi ya uenezi kisasa na kisayansi.
Polepole was the best from day one.. sema mliozoea uenezi kelele za misemo na mbwembwe za majukwaani, propaganda za kizamani kama za akina Tambwe Hiza au Kibajaji mlimuona Nape anafaaa.

Nape alibebwa na kazi za Mzee Kinana na wenzie.
 
Kuna wenezi wengi sana wa wilaya hadi mkoa.wachoropoe humo
 
Sifikiri kama CCM watataka kuweka mtu ambaye sio smart. HP ni smart hata kama wengine hatumpendi. PM sioni kama ni smart kutosha kuvaa viatu vya HP. Maoni yangu tu.
Sema DB
 
Reactions: SMU
Sifikiri kama CCM watataka kuweka mtu ambaye sio smart. HP ni smart hata kama wengine hatumpendi. PM sioni kama ni smart kutosha kuvaa viatu vya HP. Maoni yangu tu.
Kile kizee kitarajiwa na kinachohisiwa kichawi ndio kilikuwa smart?!
Haya sasa, kimehamishiwa bungeni, kiende sasa kikaapishwe chap chap na Ndugai kwenye vyoo vya wabunge wa kike ili kianze majukumu yake.
 
CCM imejaa uozo tupu
 
Ninadhani ni mmoja kati ya hawa wafuatao
1.Bashite
2.Halima Mdee
3.Mzee Kessy
 
Polepole anaweza kuwa Katibu Itikadi na Uenezi na akawa mbunge kwa pamoja.. Tena itakuwa nzuri sana
 
Je, mi wangapi mnaamini baba kegani, atateuliwa kua mbunge na Kisha uwaziri, je wangapi mnaamini Hilo, Basi nawang'ata sikio tu, Hilo Ni swala la muda, muda utaongea.
 
Timu Bashite mmeanza ramli chonganishi! Chakubanga Slowslow, ndiyo habari ya mujini!
Muacheni a-trend!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Timu Bashite mmeanza ramli chonganishi! Chakubanga Slowslow, ndiyo habari ya mujini!
Muacheni a-trend!

Everyday is Saturday............................... [emoji41]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…