Pale anapaswa kuwepo Mkristo, haiwezekaniPoleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina...
Mkuu unafahamu jinsi ya kuchokoza mada, nimekukubaliPoleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina...
Mbona uko nyuma sana kimawazo mkuu kwan wanatumia msahaf na bible pale au roho mbaya tuu pale sio uislam pale katiba mkuu ayo mawazo dunPale anapaswa kuwepo MKRISTO, haiwezekani Rais Muislam, Makamu wa Rais Muislam, Waziri Mkuu Muislam, Rais wa Zanzibar Muislam
Mwigulu na Kabudi hapana,, big NoMwigulu Nchemba.
Palamagamba Kabudi.
Phillip Mpango.
WeweeViti vya Wahudhuriaji wa Msiba havijapangwa bado hadi Ratiba ya Msiba ( Mazishi ) haijapangwa tayari mmeshaanza kuja na hopeless Speculations zenu, hivi mkiambiwa nyie ni Wachawi mtabisha au Kukataa?
Na anajua kujipendekeza sanaMwigulu saw this coming akaanza jifanya mkarimu mtandaoni
Dr.kimei
Prof Adolf
Lukuvi
Kikwete aliwahi kuwa na makamu mkristo?Kigezo cha kwanza kwenye majina lazima awe mkristo ili kubalance haiwezekani wote wakawa waislamu haya tuanze upya kufikiria
Maisha yamegeuka sio... tulizoea hotuba za kanisani sio.... Watu wameshika usukani sasa.Pale anapaswa kuwepo Mkristo, haiwezekani Rais Muislam, Makamu wa Rais Muislam, Waziri Mkuu Muislam, Rais wa Zanzibar Muislam
Kumuongoza mama vipi tena nae mama ndio rais?
February marope ndo ana uzoefu na mambo ya muunganoMwigulu Nchemba.
Palamagamba Kabudi.
Phillip Mpango.