Lukuvi
Membe
 
Huwezi amini mara anachaguliwa Dkt Ummy Mwalimu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si zamu yao bana?! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Nimefarijika sana Kuwaona Marais Wastaafu ambao pia Walikuwa WENYEVITI wa CCM Katika KIKAO cha KAMATI KUU. Uwepo wao ni MUHIMU sana ili Aweze Kupatika MTU sahihi Muadilifu, Mchapakazi Si Mkabila wa Kumsaidia Rais Wetu Mama SAMIA.
Kumekuwa na TETESI za Kutafuta UONGOZI kwa RUSHWA.
 
Katika wote waliotajwa hakuna hata mmoja anaefaa bora madam President akachukue mzee mmoja kitaa huko kuliko wachumia tumbo hao,tena hawakawii kumrestisha ili urais ubaki wao
 
Kwani Mzee Magu alichaguliwa au kushinikizwa kumchagua mtu fulani kuwa makamo wake?



Naona miruzi imekuwa mingi!
 
Eeenh Heeee,

Hakuna popote palipoandikwa kuwa ni "zamu yao", hilo umelizusha wewe.

Kama Rais ataona pendekezo lako, na akakubaliana nawe, sina shida naye. Bila shaka kutakuwa na vigezo atakavokuwa amevifikia.
 
Eeenh Heeee,

Hakuna popote palipoandikwa kuwa ni "zamu yao", hilo umelizusha wewe.

Kama Rais ataona pendekezo lako, na akakubaliana nawe, sina shida naye. Bila shaka kutakuwa na vigezo atakavokuwa amevifikia.
Kwani kuna kifungu chochote nimetaja kinasema hivyo, acha ushamba soma tena post.
 
Kwan uzi unahusu wanawake huu au nan wa kua vice[emoji3][emoji3]
Hapana.

Ila pametokea mkanganyiko kwa uliosababishwa na moderator aliyeamua kuchanganya niliyokuwa nimeweka kama mada.

Simlalamikii moderator, lakini nadhani hakufanya uamzi mzuri.
 
Kwani kuna kifungu chochote nimetaja kinasema hivyo, acha ushamba soma tena post.
Tulia mkuu, pametokea mkanganyiko uliofanywa na modrator aliyefanya uamzi wa kuunganisha mada bila ya kupima uhusiano wa mada mbili.

Sitaki tuanzishe malumbano hapa kwa makosa ya mtu mwingine.
 
Yeyote watakayeona anafaa wananchi hatuna budi kukubaliana na maamuzi yao maana wao wanawafahamu viongozi wa juu kuliko sisi wananchi wa kawaida, ngoja tusubiri tuone busara zao tuliowapa mamlaka hiyo.
 
Kwani Mzee Magu alichaguliwa au kushinikizwa kumchagua mtu fulani kuwa makamo wake?



Naona miruzi imekuwa mingi!
Mzee alikuwa mbinafsi na aliota mapembe kiasi kwamba yeye na kundi lake walitaka kutaifisha chama na nchi kwa manufaa yao,
 
Kwahiyo hakuna Mkristo anayefaa hapo katika Wakristo wote mpaka ujaze Waislam kwenye nafasi hizo zote za juu?
 
Dr. Bashiru hatapotea leo wala kesho kwenye hizi siasa za Tanzania. Mark my words. Tukumbuke ndio uchaguzi wa mwisho wa JPM. haikuwa bahati mbaya. It was for a good reason
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…