Baada ya Kifo cha Rais Magufuli: Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais Tanzania?
..mimi naweka karata yangu kwa majaliwa kuwa VP.

..halafu tutapata PM mpya mwenye elimu/shule nzito.
Hiyo turufu umeipoteza mkuu Joka.

Haiwezekani kamwe Majaliwa kuwa VP wakati huu kwa sababu dhaifu, lakini ni sababu.

Atabaki kuwa Waziri Mkuu, lakini uongo aliousema akijua ni uongo umempunguzia sana heshima aliyokuwa nayo.

Ni bora kabisa angenyamaza na kuendelea na ziara yake bila kujali maswali aliyoulizwa.
 
Huwezi amini mara anachaguliwa Dkt Ummy Mwalimu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si zamu yao bana?! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
Usiwadharau
Soma Yeremia 31: 22.
 
Inawezekana Rais aliyepita alipendekeza kwa Makamu ampe nani umakamu kama ukienda mbele ya haki.
Ila nashauri. Makamu asifuate mapendekezo hayo na asiogope. Ampe umakamu mtu sahihi.
 
Inawezekana Raisi aliyepita alipendekeza kwa Makamu ampe nani umakamu kama ukienda mbele ya haki.
Ila nashauri. Makamu asifuate mapendekezo hayo, na asiogope. Ampe umakamu mtu sahihi.
Kamati kuu mbili zinazosimamia CCM na nchi hii kesho zitaamua Rais amteue nani kuwa VP na nani PM.

Kuna kila dalili CCM mpya ikashinda kwani ina nguvu itokanayo na mazee wengi kuwepo kwenye serikali na tayari VP mtarajiwa amefanya yake akiwa na timu yake yaani kujiimarisha.

Lengo ni kulinda maono ya aliepita na uchaguzi wa 2025 si vinginevyo.

Huu ni mtihani kwa wazee JK na Karume.
 
Kamati kuu mbili zinazosimamia CCM na nchi hii kesho zitaamua raisi amteue nani kuwa VP na nani PM.

Kuna kila dalili CCM mpya ikashinda kwani ina nguvu itokanayo na mazee wengi kuwepo kwenye serikali na tayari VP mtarajiwa amefanya yake akiwa na timu yake yaani kujiimarisha.

Lengo ni kulinda maono ya aliepita na uchaguzi wa 2025 si vinginevyo.

Huu ni mtihani kwa wazee JK na Karume.
Kulinda maono ya aliyepita tena, mwacheni apumzike.
Na CCM lazima iamue mambo yake kwa viongozi waliopo sasa.
Huyo muda wake umepita.
Na sio vema kuwategemea wasiokuwepo.
Mungu ametuumba tukiwa sawa kwa Hekima.
Wakati wa Nyerere umepita, sasa ni wakati Samia Suluhu.
Na ndio sasa tumheshimu na kumwamini yeye.
 
Another CAVEMAN atafaa. Muendelezo mubashara wa u-Flintstone.
B y the way, GENTAMYCIN upogo?
 
Tunatakiwa tusahau walau kwa muda aina hii ya majina! Sijui Injinia Mfugale, Doto James, Kabudi, Mpango, Kalemani!! and co. Ltd
Weweeee yaani hapa sasa ndo tunahitaji mtu wa kutupiga hadi makofi, acha anko Magu alikuwa anatupa pumbafu tu, kwa sasa inahitajika pumbafu na makofi, wakinikuta nimeboronga nibugie pumbafu na makofi.

Sisi ambao tayari tuna 18 na kuendelea tunahitaji kuandaa taifa la watoto na wajukuu wetu, la kwetu tulisha tumia na zaidi.
UNAHITAJIKA MCHAKAMCHAKA ZAIDI,
KWA KIFUPI TUSEME HATUPOI!
 
Hiyo turufu umeipoteza mkuu Joka.

Haiwezekani kamwe Majaliwa kuwa VP wakati huu kwa sababu dhaifu, lakini ni sababu.

Atabaki kuwa Waziri Mkuu, lakini uwongo aliousema akijua ni uongo umempunguzia sana heshima aliyokuwa nayo.

Ni bora kabisa angenyamaza na kuendelea na ziara yake bila kujali maswali aliyoulizwa.
Hatufai
 
Viti vya Wahudhuriaji wa Msiba havijapangwa bado hadi Ratiba ya Msiba (Mazishi) haijapangwa tayari mmeshaanza kuja na hopeless Speculations zenu, hivi mkiambiwa nyie ni Wachawi mtabisha au Kukataa?
Maisha lazima yaendelee
 
weweeee yaani hapa sasa ndo tunahitaji mtu wa kutupiga hadi makofi, acha anko Magu alikuwa anatupa pumbafu tu, kwa sasa inahitajika pumbafu na makofi, wakinikuta nimeboronga nibugie pumbafu na makofi.

Sisi ambao tayari tuna 18 na kuendelea tunahitaji kuandaa taifa la watoto na wajukuu wetu, la kwetu tulisha tumia na zaidi.
UNAHITAJIKA MCHAKAMCHAKA ZAIDI,
KWA KIFUPI TUSEME HATUPOI!
Hatari sana.
 
Yote 9 10 tuzingatie suala la dini. Ili kuleta balance na kuondoa maneno. Rais Muslim basi makamo awe Mkristo.
Rais samia suluhu-Muslim
Makamo.........
Waziri mkuu kassim majaliwa-muslim
Jajimkuu Ibrahim hamisi-muslim
Mh Magu hakuzingatia dini wala ukanda. Ni zamu yao hao waislam kutuendesha watakavyo. Walinyanyasika sana utawala wa Magu
 
Back
Top Bottom