Hero
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 3,932
- 2,839
Hiyo ni kazi ya Mama Samia, tena nafikiri angemchagua Mama Janeth Magufuli tu mfyuuuuu!Kwani Mzee Magu alichaguliwa au kushinikizwa kumchagua mtu fulani kuwa makamo wake?
Naona miruzi imekuwa mingi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni kazi ya Mama Samia, tena nafikiri angemchagua Mama Janeth Magufuli tu mfyuuuuu!Kwani Mzee Magu alichaguliwa au kushinikizwa kumchagua mtu fulani kuwa makamo wake?
Naona miruzi imekuwa mingi!
Hiyo ni kazi ya Mama Samia, tena nafikiri angemchagua Mama Janeth Magufuli tu mfyuuuuu!Kwani Mzee Magu alichaguliwa au kushinikizwa kumchagua mtu fulani kuwa makamo wake?
Naona miruzi imekuwa mingi!
Mnaenda nae wapi mkuuTunaenda na Makamba Jr
Naomba nikujibu, ndio walikuwa waislamu ila mawaziri Wakuu na jaji mkuu alikuwa wakristo. Tofauti na sasa wote waislamMbona kikwete na mwinyi makamu wake wote walikuwa waislamu na wanaume hawakuwa jinsia tofauti
Tunaenda na Makamba Jr
Wote hamna kitu hapoMwigulu Nchemba.
Palamagamba Kabudi.
Phillip Mpango.
Wote hamna kitu hapo
Katiba hairuhusuYes hata mimi nimewaza, serikali ya maridhiano
Hiyo ni kazi ya Mama Samia, tena nafikiri angemchagua Mama Janeth Magufuli tu mfyuuuuu!
Huyo January ni wale kama Nchimbi watafutaji madaraka tu ila hawatupeleki tunapotaka.Umewaza kama mimi Chief, namuona January akienda kushine tena, japo inaweza isiwe kirahisi sana.
Kwa elimu yake anafaa kuwa kocha wa timu ya taifaMajaliwa anafaa kuwa makamu wa rais au rais.
Majaliwa hana shule ya kueleweka..Inawezekana.
..Option nyingine ni kum-promote Majaliwa na kutafuta Waziri Mkuu kati ya wabunge vijana vipenzi wa Magufuli.
Hakuna kitu baraza aliloacha JPM mabadiliko ni kidogo tu kutokana na kuepuliwa makamu wa RaisWale waliounga juhudi sijui itakuwaje.
Sawa [emoji120]Tulia mkuu, pametokea mkanganyiko uliofanywa na modrator aliyefanya uamzi wa kuunganisha mada bila ya kupima uhusiano wa mada mbili.
Sitaki tuanzishe malumbano hapa kwa makosa ya mtu mwingine.
Majaliwa hana shule ya kueleweka
Hiyo ni given na inaeleweka...MAKAMBA akipewa Basi ujiandae kuwa na waziri mkuu mpya...Mana serikal haiwez kuundwa na waislam tupu
Kwenye umakamu... Yeye ndiye makamu ajaye.. hapo vp...??Mnaenda nae wap mkuu
Kwani Mama Suluhu ni kabila gani?Wacha masihara wewe, sasa hivi habari za wasukuma zimeshapitwa na wakati.