Tumbili wa mjini
JF-Expert Member
- Nov 2, 2024
- 1,125
- 2,233
- Thread starter
- #161
Alichaguliwa na wazaziSasa alimtongozaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alichaguliwa na wazaziSasa alimtongozaje?
Duh.Muulize Magonjwa Mtambuka
Watu wanawaogopa ropo ropo jazz bandHumu ndani siku hizi kila mtu anaulizia kuhusu jambo la mtu fulani, kwani ukisema ni wewe kuna shida gani mkuu?
Blaza mbona kama unanitusiSiku ya kwanza anadinywa yeye jamaa yako,siku ya pili anadinywa mkewe,Siku ya tatu unadinywa wewe mpambe.
Na ndo ilivyokuwa hvyo,alikuwa ana hang out na mim ila kuna mhuni mmoja alikuwa anakula,maana kuna siku alikuwa na mtoko,huo mtoko niliushutkia,Demu wako kiaje wakati umesema hukumla! Amka kijana unahudumia sio wa kwako alafu nyapi anapewa mwingine
Mnaulizaga maswali ya kijinga hapa JF! Kaa mwaka mzima bila kumgusa boya wewe!Habari, nimekuja kuwauliza kwa niaba ya rafiki yangu ambae kesho anafungana ndoa ila kichwani anawaza sana akae siku ngapi baada ya kufunga ndoa ndipo afanye tendo na mke wake?
Nimemwambia afanye tendo usiku wa ndoa yeye akasema anaogopa mke wake akamuwazia vibaya kwamba alimuoa kwa tamaa za kimwili na kwamba ni malaya.
Mpenzi ushauri jamaa
N. B MIKI NI KATAA NDOA
Kwa mawazo haya, huyo hakutakiwa kuoa.Habari, nimekuja kuwauliza kwa niaba ya rafiki yangu ambae kesho anafungana ndoa ila kichwani anawaza sana akae siku ngapi baada ya kufunga ndoa ndipo afanye tendo na mke wake?
Nimemwambia afanye tendo usiku wa ndoa yeye akasema anaogopa mke wake akamuwazia vibaya kwamba alimuoa kwa tamaa za kimwili na kwamba ni malaya.
Mpenzi ushauri jamaa
N. B MIKI NI KATAA NDOA
Hatari bloh sasa anakasirika nini alafu mzigo hakupi? Mimi demu labda awe bikra ndio naweza kumuelewa akiniambia tufanye tendo mpaka ndoa ila hawa mitumba siwezi kusikiliza maana kama alijua hivyo kwanini alikubali kuingiliwa kabla ya ndoa?Na ndo ilivyokuwa hvyo,alikuwa ana hang out na mim ila kuna mhuni mmoja alikuwa anakula,maana kuna siku alikuwa na mtoko,huo mtoko niliushutkia,
Nilikuwa nae lakin na mim nilikuwa na sehemu za kujipoza,kuna siku alinifuma alikasirika sana ila maisha yaliendelea
Shangazi kwakua umeniita vita basi na weww ni boya kubwa Lao! Swali gani la kijinga wakati kuuliza sio ujingaMnaulizaga maswali ya kijinga hapa JF! Kaa mwaka mzima bila kumgusa boya wewe!
Alitakiwa afanyaje blaza?Kwa mawazo haya, huyo hakutakiwa kuoa.
Kafulila huyo 🤣Picha yakoView attachment 3214954
🤭🤭Hiyo picha ya kitambo sana blazaPicha yakoView attachment 3214954
Naam niambie kijana fukaraTumbili wa mjini