Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Humu JF mashabiki wengi hata elimu ya kiwango chekechea hawana. Unashindwa kuelewa hata maana maneno katika sentensi moja tu!
Ni sifa ya msingi kwa sababu nafasi zinatangazwa watu wanashindanishwa. Kama mtu amekaa anasubiri mwanasiasa aingie madarakani ndipo awe na kipato huyo ni worse kuliko aliyejiajili/aliyeajiliwa.Sawa ndugu "muajiliwa"! Kuajiriwa ni ni sifa za kizamani sana tu wala sio issue
Mambo ya academic hayo dada!! Inaonekana umefundishwa kukumbuka na kukariri wala siyo kufikiri na kuelewa!hehehheheee le mbebez ..kwamba wewe "MUAJILIWA"? NANI "KAKUAJILI PUNGUWAN WEWE🤣🤣🤣🤣"AJILA" HOYYYEEEEE!.
kifupi mfate pm akupe walau tuition ya kuandika ujue sarufi na silabi😀mbaaafu
Ni sifa ya msingi kwa sababu nafasi zinatangazwa watu wanashindanishwa. Kama mtu amekaa anasubiri mwanasiasa aingie madarakani ndipo awe na kipato huyo ni worse kuliko aliyejiajili/aliyeajiliwa.
Kama kuna mambo yanakera na kuumiza ni kumuita mwanamke Malaya! Ndugu zetu wa CCM baada ya kuzidiwa points wameamua kuhamia kwenye matusi.
Huyu ni Mwakilishi wa CCM ngazi ya Wilaya huko Tarime akimuita Esther Matiko kama Malaya, kwakua huyu ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya tunaamini anachoongea ndio msimamo wa CCM Taifa kuwa CCM siku hizi wanawachukulia wanawake kama Malaya.
Cha kushangaza hutasikia NEC wakikemea jambo hili, hutasikia CWT wakikemea jambo hili, hutasikia hata Polisi wakikemea jambo hili.
Nawaomba wanawake wote, kwa umoja wenu, kataeni kudhalilishwa kisa tu ni kampeni. Utu wenu ni zaidi ya siasa.
Leo ameyasema kwa Matiko, kumbuka kesho itakua wewe, mama yako au wanao kuitwa Malaya.
Nimeweka ni video hapo, credi kwa Maria TsehaiView attachment 1554990View attachment 1554991
View attachment 1554992
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ulitudhalilisha sana sisi wanawakeAh Yule mtu anahaki bwana[emoji3][emoji119]
Hahahaha rudi kwenye mada please, relaxNi sifa ya msingi kwa sababu nafasi zinatangazwa watu wanashindanishwa. Kama mtu amekaa anasubiri mwanasiasa aingie madarakani ndipo awe na kipato huyo ni worse kuliko aliyejiajili/aliyeajiliwa.
Kwendraaaa...najua unamtetea ni chama moja kafieni front[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ulitudhalilisha sana sisi wanawake
Yaani wewe kuajiriwa ndo unaona umeyapatia maisha? Maskini..Unaogopa nini kuweka hiyo elimu yake . Kukusaidia tu mimi ni muajiliwa sio wewe unayeota ndoto za alinacha.
Ha haaaa jamani nimecheka kiboyaKwendraaaa...najua unamtetea ni chama moja kafieni front
Yaani wewe kuajiriwa ndo unaona umeyapatia maisha? Maskini..
Atakuwa msukuma wa burigi national parkHata andika yenyewe anashindwa. Eti ajila[emoji3][emoji3][emoji1732][emoji1787]
Swali zuri Sana la msomi hili!Huo "umalaya" wanafanya na nani???
Hapo kamtusi mpaka mama yake mzazi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣...huenda Kuna ukweli...hahahhaaa...lisukuma la Kayenzi huko mxiewAtakuwa msukuma wa burigi national park
Malaya kwa lugha ya kiingereza (english) "prostitute" ,lina maanisha mwanamke yeyote anayeutoa mwili wake kimapenzi ili alipwe.Kwani neno malaya matumizi yake ni yapi?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣...huenda Kuna ukweli...hahahhaaa...lisukuma la Kayenzi huko mxiew