Baada ya kukamatwa mtoto was El Chapo, Zimepigwa Kinoma Mexico

Kinachohitajika ni serikali kutenda haki na kuletea raia wake wote maendeleo.
 
sober methadone haitumiki inatolewa muhimbili pekee ! wapo watoto wakishua wanapelekwa na wazazi wao
Anasema madon wengi huwezi kuwakuta sober house. Ingawa watoto wa kishua huwa wao wanaowekwa kwenye mpango mkakati wa masoko yaani hao wanatengenezwa na watu wao wa karibu waingie kwenye uraibu, ili mzigo utembee kwa zungu.
 
Aha kwaiyo tatizo ni ulinzi hafifu yani jamaa anaeza kutoroka.
Makubaliano ya marekani na hizi nchi zenye cartels,marekani Kuna pesa anawapa,hata hapa kikosi Cha kupambana na drugs kinalipwa na marekani,na Obama alishatoa order ya kukamata drug kingpin wa hapa akiwemo mwamba wa magomeni aliyekuwa na mtandao USA
 
Ovidio El chapo Guzman.
 

Attachments

  • Screenshot_20230108-103115_Google.jpg
    24.3 KB · Views: 6
  • Screenshot_20230108-103137_Google.jpg
    24.2 KB · Views: 6
Naukute hao viongoz wajuu serikalin ndio wauza poda wakuu
 
Hii biashara inafanywa na magenge mengi tu kule na wote wanazo pesa, viongozi wengi wa serekali wamewekwa na magenge haya. Hata hii kamatakamata ni shinikizo tu kutoka nje. Serekali ya kule ni kivuli cha haya magenge.
Na wanachotaka mtu wao akikamatwa ashtakiwe palepale mexico kwa sababu wanaweza kumtoa wakitaka! Haijalishi yupo polisi au jela.
Na kama hakuna madhara wanamuacha jela lakini kila kitu kinakuwa under control.

Kiufupi jamii za wamexico zinafaidika kutoka kwa hizi cartel na zinawalinda.
Marekani kwa maslai yake ndo hawataki.
Hivo ni vita ya kibiashara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…