Baada ya kumchuna miaka 3, nimekula dili na mama amkatae siku ya kumtambulisha

Huu ushenzi jamaa atalipiwa na huyo atakayekuoa
 
Siku ukiwa na family yako, utapenda haya yatokee kwa kijana wako? Au Mwana familia Yako?
 
Kuna wenzio wanamlilia huyo, ipo ck utamkumbuka pia n ww unakotegemea kitakachokupata utatamn huyo unayemuacha apokee cm ili umsimulie
 
Una muwaa au una rambooo mleta uzi maana mada zako huwaga mashkeli mageni[emoji38][emoji38]

Hii ni[emoji477][emoji477][emoji477]
 
Binti wa Belizebuli wewe. Na hiyo dhambi utailipa hapa hapa duniani kabla hujafa. Unafikiri unaweza kuchezea hisia za mtu unavyotaka na ukabaki salama? Nyambaf ....
 
Tembea na K_Y atakuletea mabaunsa wakupe shukrani
 
Una muwaa au una rambooo mleta uzi maana mada zako huwaga mashkeli mageni[emoji38][emoji38]

Hii ni[emoji477][emoji477][emoji477]
Hiliblijitu halielewekagi kuwa ni nyoka, kenge ama mjusi
 
Hiyo karma yake itakayokupata nakuhurumia
Kweli kabisa, madam alikuwa na nia njema basi akimfanyia hivyo hajui atakuja kumfanyia nini. Au hata akinyamaza kimya anaweza kupata balaa akajutia baadae. Anaweza pia kupata jimtu hilo likamfanyia vituko akaja kujuta.
 
Huwa nakua na hofu na wanaume wanaokubali kutongonoka mpaka ndoa.

Sawa wanaume tumetofautiana lakini sidhani kama ni kwa kiwango hicho.

Kua makini usije geuzwa msukule
 
Bora Mama yako amkatae mana huyo jamaa atasota sana huko mbeleni
 
Japo jinsi Yako huwa inabadilika

Ila kwa wasichana wa dizaini hii ingekuwa mimi naenda kukusemea kwa BABU

nitakukata ngebe ujutie maisha yako yote

Shwaini wasichana na Wanawake wote wenye hizi Tabia chafu.
 
Ile mimba ulipewaga na mwalimu wa mazoezi ulishajifungua?

Anatuma matunzo lakini!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…