Baada ya kumchuna miaka 3, nimekula dili na mama amkatae siku ya kumtambulisha

Utabaki sebuleni na mama ako kwa miaka 16 mbele
 
Ngoja risasi za kwenye chuchu
 

Wewe ni jinsia gani?
 
Baadae magazetini tusome, amuua mpenzi wake kwa ugomvi wa mapenzi,,,
 
Vitakutokea puani. Malipo ni papa hapa.
 
Tushawachoka na chai zenu.
 
Nakuhakikishia utafika 42 years hujaolewa, wait and see how bitchery karma is.
 
Unanifundsha cha kuandika? Nakuuliza Tena wewe ni jinsia gani?
Ha ha ha, matola bana.. kumbe bado upo anga hizi?
Anyway sexless ni me huyo, sema andiko lake linaelezea uhalisia kwa yanayotokea katika jamii[emoji2375]
 
Hakuna mwanaume wa aina hiyo miaka hii. Mleta mada changamsha genge tuuu
 
Atamkula mama yako jiandae kisaikolojia.
 
Kama nakiona kifo chako vileeee pangua ulicho panga
 
Utakuja kumkumbuka siku moja na itakuwa ushachelewa sasa hivi masharobaro wanakudanganya karma is real.
 
Kwahiyo hata mbususu hukumpa? Na inaonesha aliyekuwa anaichakata mbususu ni mtu mwingine. Daaah inauma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…