dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
hapana, siyo kwenye friza, kwenye friji, ila nishapiga like 10 mins ago,Kwahiyo unapiga pul na barafu[emoji23][emoji23][emoji23],
niko mwepesi tayari kwenda kibaruani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana, siyo kwenye friza, kwenye friji, ila nishapiga like 10 mins ago,Kwahiyo unapiga pul na barafu[emoji23][emoji23][emoji23],
Hela anayo bwqna watu wote humu wana helaHivi nyie mnafikiri kila mtu ana uwezo wa kua na TV mbili nyumbani, kweli watu wengine ana chumba na sebule hizo kelele za tv mbili utaweza kuzimudu ulipie vinga'mzi viwili, unakipato cha kutosha mpaka kumpa mwanamke pesa zaidi, ninacho fahamu zaidi ya 80% ya wanaumme kipata chao ni hand to mouth economy.........mwanamke mdokozi hata umpe shilling ngapi atadokoa tu.
[emoji23][emoji23][emoji23],endelea kujikondesha,hapana, siyo kwenye friza, kwenye friji, ila nishapiga like 10 mins ago,
niko mwepesi tayari kwenda kibaruani
Mapumziko mema mkuuUmuofia kwenu!!
Kama mada ilivyo, nimempeleka kwanza kwao kwa muda usiopungua miezi miwili.....akajifunze kitu (kama ni mwenye kujifunza). Siku moja tu baada ya kutoka kwake;........
1. Leo kwa mara ya kwanza, katika kipindi cha mwaka mmoja na nusu, nimefanikiwa kutulia nyumbani saa mbili usiku na kuangalia taarifa ya habari mwanzo mwisho. Kabla, ilikuwa sikai maana nikibadilisha channel tu na kuweka kituo changu pendwa cha StarTv kuangalia taarifa basi manung'uniko yenye kukera huanza kukimbizana kutoka nje ya kinywa chake.......
"Tutaacha vp kubadilishiwa channel wakati TV sio yetu na hata bei yake hatuijui..."
"Hata kuzima we zima tu, nini kubalisha channel" Dah
2. Nimepumzika kushuhudia mabegi na makwapa ya mke wangu yakionwa na watoto muda wote awapo nyumbani. Jitihada za kumrekebisha ili aendane na desturi yangu, daima huenda sambamba na ugomvi....
3. Nimepumzika kuona sura ya kununanuna pale ninapotoa maelekezo....
4. Udokozi wa vielfu tano tano vyangu katika tigopesa yangu utakoma kwa muda....
5. Nitapumzika kusikia matusi kama 'nyoko we' n.k yanayotolewa kwa watoto kila siku....
6. Nitafurahia vichenji vinavyobaki katika matumizi madogomadogo na kuziweka mezani. Kwa kawaida hivi hutoweka dakika moja tu baaada ya kuviweka.....hata kama akiwa amelala basi huamka ghafla na kuvichukua kisha kulala tena.
Mbona nina furaha sana sasa?!!! Atarudi kweli?!!!!! Arudi ili nije kupata stress tena?!!!!!!!
Ndoa..........mh!
😂 😂 😂 😂 naokoa kibunda[emoji23][emoji23][emoji23],endelea kujikondesha,
Baadae ulalamike mara mgongo mara kiuno[emoji2088]
Kwani mafuta unayapata kwa hisani ya watu wa marekani?? Si unanunua[emoji16][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] naokoa kibunda
Blaza una uhakika kweli kuwa ni Umeaoa?Umuofia kwenu!!
Kama mada ilivyo, nimempeleka kwanza kwao kwa muda usiopungua miezi miwili.....akajifunze kitu (kama ni mwenye kujifunza). Siku moja tu baada ya kutoka kwake;........
1. Leo kwa mara ya kwanza, katika kipindi cha mwaka mmoja na nusu, nimefanikiwa kutulia nyumbani saa mbili usiku na kuangalia taarifa ya habari mwanzo mwisho. Kabla, ilikuwa sikai maana nikibadilisha channel tu na kuweka kituo changu pendwa cha StarTv kuangalia taarifa basi manung'uniko yenye kukera huanza kukimbizana kutoka nje ya kinywa chake.......
"Tutaacha vp kubadilishiwa channel wakati TV sio yetu na hata bei yake hatuijui..."
"Hata kuzima we zima tu, nini kubalisha channel" Dah
2. Nimepumzika kushuhudia mabegi na makwapa ya mke wangu yakionwa na watoto muda wote awapo nyumbani. Jitihada za kumrekebisha ili aendane na desturi yangu, daima huenda sambamba na ugomvi....
3. Nimepumzika kuona sura ya kununanuna pale ninapotoa maelekezo....
4. Udokozi wa vielfu tano tano vyangu katika tigopesa yangu utakoma kwa muda....
5. Nitapumzika kusikia matusi kama 'nyoko we' n.k yanayotolewa kwa watoto kila siku....
6. Nitafurahia vichenji vinavyobaki katika matumizi madogomadogo na kuziweka mezani. Kwa kawaida hivi hutoweka dakika moja tu baaada ya kuviweka.....hata kama akiwa amelala basi huamka ghafla na kuvichukua kisha kulala tena.
Mbona nina furaha sana sasa?!!! Atarudi kweli?!!!!! Arudi ili nije kupata stress tena?!!!!!!!
Ndoa..........mh!
Usiombe kuoa mwanamke mdokozi, hata umpe pesa, atadokoa tu zingine
Mke wa aina hiyo hafai kabisa kwani anaweza ambukiza tabia kwa uzao wake.nilimshangaa sana huyo mama, nilimwangalia kwa mshangao mpaka akajistukia akaangalia chini.
yes nanunua, ila kila baada ya miezi 6, na sh. 5000 tuKwani mafuta unayapata kwa hisani ya watu wa marekani?? Si unanunua[emoji16]
Usipooa,utaolewa[emoji419]Kwa nyakati hizi..
NDOA NI USHENZI
NDOA NI KWA WATU DHAIFU
NDOA NI ELEMAVU WA FIKRA
NDOA NI UKOLONI MAMBOLEO
NDOA NI KITEGAUCHUMI
NDOA NI CHANZO CHA KIFO
Ukioa hayo ma UTI utayasikia kwa jirani.yes nanunua, ila kila baada ya miezi 6, na sh. 5000 tu
sasa kununua ile nyingine, ni 40k kila round, bado kusikilizia UTI siku 3 mbeleni
SITAKI
Kabisa, yaani wakati anaoa alipaswa amjulishe mkewe kuwa akili watatumia za mume, za mke aache kwao,.sasa akawa anategemea akili za mke kwenye Ndoa akaona hazitoshi akamrudisha kwao kuongeza akili zaidi, huyu jamaa maisha ya ndoa hatayaweza, siku akikua na kuifahamu kanuni ya ndoa kwamba akili zinazotumika ni za mume sio za mke ndo ataiweza Ndoa 🤣Nimegundua mambo matatu kutoka kwako
1. Mkeo anakupelekesha
2. Mbinafsi
3. Bado hujawa mature enough to handle marriage.
thubutu, tena huko ndiyo nitamezeshwa Mbaazi za milele, ile midonge mikubwa kubwaUkioa hayo ma UTI utayasikia kwa jirani.
Ni mtazamo wako, labda ww baada ya kutokuoa uliolewa! Lkn mm njia niliyochagua ni sogea tukae baada ya mda unarudi kwako siwezi hemeana na binti ya mtu wiki mbili zoteUsipooa,utaolewa[emoji419]
Sana sanaaa nakaziaNa kuna wanaume wanaowapata wanawake ambao hawana tabia hata moja hapo halafu wao ndio wanazingua.
Maisha hayana usawa!
Basi asililize hata radio tu. Aache ufala wa vitu vidogo vidogo, kazi ya mume ni kuhudumia familia na sio kugombania remort ya TV na watoto, mimi hata kuwasha TV siku hizi siwezi,Unajua kwamba mbs ni gari kuliko kulipia kifurushi cha 10k kwa mwezi nzima.
Ndoa ni biashara ya mwanamkeWanawake wana mambo sana, kuna siku kwenye daladala mama mmoja akapiga simu alikuwa anaongea na house girl nadhani, akamuuliza baba kakupata sh ngapi ya matumizi....akaendelea basi sawa tumia elfu saba tu hyo elfu tatu weka pale tunapowekaga. Nilichoka na kuchoka mke anashirikiana na house girl kula ganchi kwa mumewe.
Hivi nyie mnafikiri kila mtu ana uwezo wa kua na TV mbili nyumbani, kweli watu wengine ana chumba na sebule hizo kelele za tv mbili utaweza kuzimudu ulipie vinga'mzi viwili, unakipato cha kutosha mpaka kumpa mwanamke pesa zaidi, ninacho fahamu zaidi ya 80% ya wanaumme kipata chao ni hand to mouth economy.........mwanamke mdokozi hata umpe shilling ngapi atadokoa tu.