Baada ya kumwambia mume wangu haniridhishi, kasitisha kufanya tendo la ndoa na mimi kabisa

Hii iwekewe lamination fasta
 
R.i.p Iyo ndoa
Kama mwanamke ataamua ndoa ife itakufa, ila akijishusha kwa mumewe, na kuoomba rehema kwa Mungu.

Wakolosai 3:18

Enyi wanawake watiini waume zenu, ndivyo apendezwavyo Bwana.

Ndoa haitakufa kwani neno la Mungu linasema,

Ayubu 14: 7 kwani yapo matumaini kuwa mti ukikatwa utachipuka tena
 
Nahisi wewe ndo mwenye matatizo ..embu jifananishe na huyo anaechat nae ..utagundua kakuacha mbali sana....hauna mvuto wa mapenzi kwake hamu kwako imekata
Huyu demu alishaachwa muda tu hajiongezi ..anajua hana mwngne wa kumuoa hio ilikuwa bahat nasib
Ila familia yenu Ina majibu sio mchezo.View attachment 2287260
 
Nimefuatilia comment zenu Kwa Makini wengi mmesema kweli dada yetu amekosea,lakini pamoja na hayo kiukwel wanaume wengi kwenye tendo la ndoa tunazingua ni kwamba Tu hatuambiwI ukweli,lkn wengi wetu show mbovu.

Sasa kuna hasara ya kutoambiwa ukweli,maana yake mkeo ataenda kuchapwa nje na wakali wa hayo mambo,lkn mwanamke akikwambia ukweli itakusaidia kufanya maboresho na hatimaye kupiga show show,ingawa ni hekima uambiwe ktk namna nzuri,sasa huyo jamaa ingawa kaambiwa Kwa namna INAYO chukiza lkn angerudi nyuma na kuhakikisha anaweka mambo Sawa.

Lakini naona huyo mwanaume tayar hakuwa na interest na mkewe na ndio maana alifikia kufanya upuuzi wake wazi kabisa Yan kama mbwai mbwai na ndio maana kile kitendo cha kuambiwa Tu ndo ikawa kama sababu ya kususa kabisa,dada yangu kuna watu wametoa ushauri mzuri Sana,ufanyie kazi,jishushe,jipendekeze ili jamaa awe poa,mwambie ulitamka kutokana na hasira na kuona wivu labda wale ambao chat nao wanamfanya asikutamani na mengine utajazia hapo.

Sambamba na kumtumia msg kuonyesha jinsi gani unammiss mambo yake wakati yupo kazini,usitarajie atabadilika ghafla inaweza mchukua Muda kidogo lkn wewe endelea Tu baada ya Mda Fulani naamini atakuwa Sawa,jiweke kimvuto zaidi na heshima izidi kwake,Sisi bwana mbavu Tu hizi lkn ni wazaifu Sana ukijua namna ya kutukamata,hujachelewa bado pigania kilicho chako
 
Dizaini jamaa hana hamu na wewe kapoteza kabisa appetite kwahiyo inambidi ajiridhishe kwa kuwasiliana na wanawake wengine. Mtafute kungwi akufundishe jinsi ya kumrudisha mchezoni
 
Usishangae baadhi ya Me wakakwambia mwanaume kiasili ameumbiwa wanawake hivyo hiyo ni halali yake kuchati nao hao wote.

Wakasahau kuwa we hupati hitaji la muhimu ndani ya hiyo ndoa.
Kwani ni uongo ..ndio maana kuna ndoa za Mitala we are polygamist in nature
 
Naona wanaume wenye tamaa mafisi wanatumia kigezo hicho cha udhaifu wako kukuita pm

Wanakosea inabidi wakuweke sawa kisaikolojia embu njoo piemu tuone tunafanyaje
 
Pana wengine awaridhiki ni asili yao au ukosefu wa upendo sababu ya ukosefu wa heshima na utii upendo ufa,hamu ya tendo ufa, huwezi mpenda mwenza mtukanaji tena mbele za watu matusi mazito, mdomo mchafu ni lzm hamu ife
 
Hata Mimi nisingekupa dudu
Hana dude ana kibamia, ila mkewe alivyomchana sijui alitegemea hicho kibamia kitaongezeka?
Kuna maneno ya kurekebisha ila huwezi rekebisha kibamia kama ni kweli hata mimi ningeshindwa kufanya nae maana utahisi anakucheka tuu.
 
Hapo mumeo lazima ashidwe aisee, umesema ukweli sasa yeye afanyeje? Akuparamie na kibamia halafu umchane Tena au unataka afanyeje sasa maana hawezi kupata nyingine is iyo kibamia. Sasa wewe endelea kulinganisha za michepuko halafu uwe unamsimulia ulivyopata dude kubwa kwa baba junior.
 
Je, nifanyeje? Mi hasira zilinipanda mtu ndani sex unapimiwa halafu kutwa ni kuchat na wanawake tu
Hata mimi ungeniambia hivyo ningekupata talaka uende huko unakoridhishwa. Na hii ndio shida ya kuoa mwanamke aliekwisha tumika sana. Aliekwisha onja ladha tofauti tofauti.
 
Pana wengine awaridhiki ni asili yao au ukosefu wa upendo sababu ya ukosefu wa heshima na utii upendo ufa,hamu ya tendo ufa, huwezi mpenda mwenza mtukanaji tena mbele za watu matusi mazito, mdomo mchafu ni lzm hamu ife
Ni kweli kabisa hayo mambo nayo yanachangia Sana kupoteza MAHABA na hisia za mapenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…