Baada ya kumwambia mume wangu haniridhishi, kasitisha kufanya tendo la ndoa na mimi kabisa

Naona wanaume wenye tamaa mafisi wanatumia kigezo hicho cha udhaifu wako kukuita pm

Wanakosea inabidi wakuweke sawa kisaikolojia embu njoo piemu tuone tunafanyaje
Pm ndio sina muda nako kabisa una ushaur niambie wazi, kama tusi nitukane hapa Ili nipone
 
Tatizo unamfatilia ndo unampa kichwa na anajiona kuwa huwezi kuishi bila yeye,cha msingi VUNGA TU ACHA KUMFATILIA KABISAAAA UTAKUJA KUNISHKURU
 
Nitumie namba yako pm nikupigie nikupe ushauri mzuri na kikubwa zaidi hutajuta. Mimi ni mcha Mungu
 
Naunga mkono hoja
 
Af ana makasiriko wenzie wanaomvutia wakiflirt naeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Anaonekana ana mdomo mchafu
 
Vunja mji ukadange vizuri
 
Dah![emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba tuwasiliane, nakuahidi utafurahia kuliko siku nyingine yoyote

NB
Nitatumia mundende, hivyo jiandae kisawasawa
 
Unasema wanaume wengi show mbovu, Sasa huko nje ataenda kuwapata wapi wenye show nzuri? Kwa hiyo atakua analala na wanaume wa kila aina ili kutafuta anayeweza kumridhisha?

Huyo dada ni malaya na inaonekana anapenda sana dudu. Ndio maana mnaambiwa kila siku msikosee kuoa, Sasa jamaa yeye kaenda kuoa nungayembe unategemea nini?
 
Dah mambo mengine yanahitaji ujasiri sana. Hivi mi naweza kumaliza hata wiki sijamla mke wangu? Aisee hata aniambie nini
Unasema wiki wakati wengine mwaka unakatika na akiambiwa anasusa kama huyo mjinga badala yakutafuta tiba anasusa, sijui kwanini wanaoa wakaage na Mama zao wawapikiage tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…