Baada ya kumwambia mume wangu haniridhishi, kasitisha kufanya tendo la ndoa na mimi kabisa

Polee
 
Tabia za baadhi ya wanaume wenye upungufu wa nguvu za kiume
 
Please check me nikupe mbinu
 
Kwa fikra zangu usuluhishi katika ndoa unatofautiana baina ya dini na dini au tamaduni, fuata taratb za dini yako, halafu hapa huwezi kuambulia chochote katika ushauri, kwa sbb inabidi huyo mumeo nae aje atueleze stori ya upande wake, kwa sbb huenda hana hamu na ww kwa sbb hujui mapenzi, au mchafu, au hajajakuta bikra and may be alidhani hivyo, au n.k ,Kwa hio dada kaa na mumeo na asipo kuelewa rudini kwa wazz wako ikibidi imeshindakana hakutaki basi jivue tu kwake maana yy sio roho kusema ukijiondoa kwake utakufa
 
Inategemea, mke ni mama wa nyumbani hana kipato chochote, kila kitu anaomba, mafuta anapaka vaselin za watoto maana mume akiomba hela ya lotion angalau upendeze ukipaka hatoi, hyo supu yenyewe unapika supu ya bamia? Maana ndo zimejaa kwenye friji hkuna hata viminofu vya nyama wala samaki.

Mm naona wote mnatakiwa kushirikiana ili kuridhishana mwanaume kama una uwezo mtunze mke wako, kama ni mafuta mazuri mnunulie anukie, ukitaka raha za hvyo jitahd friji linone asipopendeza wala kupika vzuri basi lalamika, lakin mwanaume anaona apeleke kuku wa kienyeji kwa mchepuko sasa lazima utakula vzuri huko wakat hata kwa mkeo ungekula vzuri tu, tatizo mkizoeana mnaonana kama bibi na babu
 
Kwanza Pole

Nimejaribu kukuchunguza kidogo una miaka 33 lakini ushapitia sana matatizo ya kimahusiano na inaelekea unapenda sana kuliko kupendwa.

Huenda wala hata huyo Jamaa yako hayuko hivyo lakini wewe tu unakitu kinakusumbua unajihisi sana kuliko uhalisia wenyewe.

Jambo jingine wewe ni kibonge sasa huenda unaona sms za mumeo akisifia vipotable hii inakufanya ujione hufai.

Mengine nitakuambia wakati mwingine.
 
Hivi kwanini wanaume wanaofanya dk2 kama kuku na wenye vibamia vywa ukweli huwa wahangaikaji sana??? [emoji28][emoji28][emoji28]
Yaaani hajihurumii aibu zake anataka ulimwengu mzima ujue
Hili hata mimi nimeligundua, sijui anakuwa anataka kuprove nini, una mke ndani unatumia dakika mbili tatu kumaliza tendo LA ndoa, kwasabbu ni mke wako anakutunzia heshima wala hathubutu kukunanga wala kusema kokote lakin wewe mwanaume kutwa kubadilisha wanawake ili wajue nawewe unajuaga kutongoza. Aiseee!!!!
 
Lady in action nimepitia nyuzi zako kama nne humu jf niseme tu unatunywesha chai
 
Lady in action nimepitia nyuzi zako kama nne humu jf niseme tu unatunywesha chai
Yawezekana ana ndugu wa karibu au jamaa na marafiki wanaopitia changamoto hizo kwahiyo analeta mada kwa uwakilishi
 
Ndo kuchat na wanawake wengine kimahaba mbele ya mkewe bila hata kujificha,,, shida zimeanza kitambo hii kujifanya kaumia na hiyo kauli ni kiegesho tu Cha kuhalalisha tabia yake
 
kama ni muislamu hakuna ndoa hapo ni talaka hiyo tay

Hapo Kaka nakupinga kuna vitu vya kijiridhisha toka ndani yako,unajua ndoa hasa inabebwa na tendo la ndoa ni hitaji la kiasili la miili yetu,na ndio maana mtu akikosa ndani ya ndoa ataenda kupata nje ya ndoa,hatuwezi kukimbia ukweli na ndio maana kama mwanaume hawezi kabisa kuimuingilia mwanamke ni Bora asioe au amuache kwasababu atamsababishia mwwenzake kuingia ktk zinaa ambayo mungu hapendi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…